RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (mbele) akiwasalimia waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi baada ya Sala ya Ijumaa leo aliposhiriki katika Masjid Mahfoudh Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar.[Picha na Ikulu.]RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiagana na Viongozi mara baada ya kusalimiana na Waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi baada ya Sala ya Ijumaa leo aliposhiriki sala hiyo katika Masjid Mahfoudh Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar.[Picha na Ikulu.]
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...