Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha mikopo wa benki hiyo Bi Zainab Nungu (katikati) wakishiriki zoezi la usafi kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi jirani na Hospitali ya Ocean Road jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Usafi Duniani.

Kazi na Dawa! Wafanyakazi wa Benki ya Exim wakiwa kwenye picha ya pamoja na Diwani wa Kata ya Kivukoni Sharik Coughe  (wanne kushoto) wakati zoezi la usafi likiendelea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...