Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha mikopo wa benki hiyo Bi Zainab Nungu (katikati) wakishiriki zoezi la usafi kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi jirani na Hospitali ya Ocean Road jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Usafi Duniani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...