Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo Nje, Ulinzi na Usalama, kilichofanyika, Bungeni jijini Dodoma, o yleo. Kushoto kwa Naibu Waziri, ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, kilichofanyika, Bungeni jijini Dodoma, leo. Kushoto kwa Naibu Waziri, ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mussa Azzan Zungu akizungumza katika Kikao cha Kamati hiyo, kilichofanyika, Bungeni jijini Dodoma, leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji Vitambulisho vya Taifa, Edson Guyai akiwasilisha taarifa za NIDA katika Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, kilichofanyika, Bungeni jijini Dodoma, leo. Kushoto ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo, na katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...