Na Amiri Kilagalila,Njombe


Mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Njombe (CCM) ambaye ni diwani wa kata ya Njombe mjini Bwana. Romanus Mayemba (Starmius) amefariki Dunia jana Oktoba 23/2021 katika hospital ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu.

Mayemba alikwenda hospitali ya Benjamini Mkapa siku ya Ijumaa kwa ajili ya matibabu.

Aidha mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa na kurejea  mjini Njombe katika mtaa wa Msete hapo kesho Octoba 25/2021


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...