Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mhe. Lela Mohamed Mussa, akiwaeleza Waandishi wa habari lengo la Uzinduzi wa Tamasha la harusi Zanzibar (ZANZIBAR WEDDING FESTIVAL) wakati wa Uzinduzi wa Tamasha hilo, huko Hoteli ya Serena iliyopo Shangani Mjini Zanzibar.

Muongozaji wa Hamasa wa Tamasha la harusi Zanzibar (ZANZIBAR WEDDING FESTIVAL) Farid Fazach, akitoa maelezo kwa Waandishi wa habari kuhusu Uzinduzi wa Tamasha la harusi Zanzibar (ZANZIBAR WEDDING FESTIVAL) wakati wa Uzinduzi wa Tamasha hilo, huko Hoteli ya Serena iliyopo Shangani Mjini Zanzibar.
Baadhi ya waandishi wa habari waliyohudhuria katika Uzinduzi wa Tamasha la harusi Zanzibar (ZANZIBAR WEDDING FESTIVAL) wakati wa Uzinduzi wa Tamasha hilo, huko Hoteli ya Serena iliyopo Shangani Mjini Zanzibar.

Picha na Maryam Kidiko / Maelezo Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...