Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimia na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Lindi alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea kwa ziara ya kikazi mkoani humo, Oktoba 24, 2021.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainabu Telack alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea kwa ziara ya kikazi mkoani humo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...