*Meridianbet Tumekuwekea Odds Za Kibingwa Kwenye Michezo Ya Kibabe!
MWEZI Disemba unaanza kwa burudani za
kibingwa. Kuanzia NBA, Ligi Soka
nchini Uingereza (EPL) na kule
kwenye Championship, ni vitasa vya
kila namna. Nani ni nani?
Ikaribishe Disemba Mosi kwa mchezo wa NBA
kati ya Phoenix Suns vs Golden State Warriors. Huu ni
mchezo unaozikutanisha timu mbili ambazo zinafanya vizuri kwenye NBA msimu huu.
Suns na Warriors wamekuwa ni vinara wa kuondoka na pointi viwanjani, wakutanapo
leo usiku nani ataondoka na furaha au maumivu? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.66 kwa Suns.
Kwenye soka, Merseyside Derby kuchezwa
Jumatano hii. Everton kuwaalika Liverpool pale Goodison Park. Pamoja na
upinzani wa timu hizi zinazotoka kwenye jimbo 1, huu ni mchezo ambao Rafa Benitez atacheza dhidi ya timu
aliyowahi kuiongoza. Benitez aliwahi kuiongoza Liverpool na sasa yupo Everton.
Kwa upande wa viwango, Liverpool wanatembeza vipigo vikubwa huku Everton akiwa
ametoka kupoteza mchezo dhidi ya Brentford. Odds
ya 1.42 imewekwa kwa Liverpool ndani ya Meridianbet.
Alhamisi utachezwa mchezo wa kukata na shoka pale Old Trafford. Manchester United kuwaalika Arsenal. United mpya chini ya kocha mpya, maisha mapya baada ya Ole Gunnar Solskjaer kuondolewa klabuni hapo. United ambayo haijapoteza mchezo chini ya Carrick, dhidi ya Arsenal yenye morali chini ya Mikel Arteta. Old Trafford imekuwa ni sehemu ya kuwaumizia United kwa siku za hivi karibuni, itaendelea kuwa hivyo au mambo yatabadilika? Ifuate Odds ya 2.06 kwa United kupitia Meridianbet.
Kwenye Championship Ijumaa hii, watakutana vigogo wawili wanaowania nafasi ya kucheza EPL msimu ujao. Bournemouth kuwaalika Fulham. Wikiendi yako inaanzaje? Uhakika wa magoli kwa timu hizi upo. Swali ni, nani ataondoka na pointi 3 za ushindi? Unaweza kuiweka karata yako kwa Fulham, odds ya 1.91 ipo Meridianbet.
Meridianbet,
Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...