*Tandaza Jamvi Lako Na Meridianbet, Ufaidi Odds Bora!


ROBO fainali ya mashindano ya AFCON kuendelea wikiendi hii. Mataifa 8 kuipambania nafasi ya kutwaa ubingwa wa Afrika. Kule Ufaransa, Coupe de France itaendelea! Nani ni nani? 


Jumamosi hii, Gambia kuchuana na Cameroon katika mchezo wa kwanza wa robo fainali ya AFCON. Gambia wanaingia kwenye hatua hii kama underdog lakini, uwezo wao uwanjani sio kitu cha kubeza. Cameroon wanapewa nafasi kwenye mashindano haya, watafanikiwa? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.57 kwa Cameroon.


Mchezo wa pili Jumamosi hii utawakutanisha Burkina Faso vs Tunisia. Mataifa yote yametoka kwenye makundi magumu lakini, wamefika hatua ya robo fainali. Pengine Tunisia anapewa nafasi zaidi kutokana na uzoefu wake kwenye mashindano haya lakini, Burkina Faso nao wanajambo lao uwanjani. Dakika 90 kuamua. Odds ya 2.40 ipo kwa Tunisia.


Waarabu wa Misri kuchuana na wenzao wa Morocco. Hapatoshi! Mo Salah vs Hakimi, nani ni nani? Lolote linaweza kutokea kwenye mchezo huu ambao, pengine ni fainali kabla ya fainali. Meridianbet tumekupatia Odds ya 2.35 kwa Morocco.


Senegal watachuana na Equatorial Guniea katika mchezo wa mwisho wa robo fainali. Sadio Mane huyu sio yule wa Liverpool, amepoa sana kwenye mashindano haya. Je, nafasi ya kubeba kombe na timu ya Taifa itampatia motisha? Ifuate Odds ya 1.52 kwa Senegal.


Kwenye Coupe de France, PSG watachuana na Nice Jumatatu hii. Hili ni miongoni mwa makombe ya heshima kwenye soka la Ufaransa. Ni nani atakayejiweka kwenye nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa msimu huu? Odds ya 1.42 ipo kwa PSG ndani ya Meridianbet.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...