Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo akikagua ujenzi wa jengo la Wizara hiyo unaoendelea katika eneo la Mtumba jijini Dodoma. 

Wakati wa ukaguzi huo Katibu Mkuu huyo amepongeza juhudi na kasi ya ujenzi na kumtaka Mkandarasi ambaye ni SUMA JKT kuhakikisha inakamilika kwa wakati huku akiwataka TBA ambao ni Mshauri Mwelekezi kuhakikisha kazi inafanyika kwa kuzingatia viwango na ubora unaohitajika.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...