Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari akitoa maelezo juu ya uendeshaji wa mamlaka hiyo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) Atupele Mwakibete mara baada kutembelea Makao Makuu ili kujifunza ufanyaji kazi wake
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wakifuatilia mkutano huo
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Uchukuzi) Atupele Mwakibete akipata maelezo kutoka kwa Muongoza ndege Mwandamizi, Shukuru Nziku (Mwenye shati la kitenge kulia) alipotembelea Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania
Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania CATC), Aristid Kanje (kulia) akitomaelekezo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) Atupele Mwakibete alipotembelea Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania ili kujifunza
Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania, Aristid Kanje (kulia) akitomaelezo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) Atupele Mwakibete na menejimenti ya TCAA mara baada ya kutembelea eneo ambalo linatarajiwa kujengwa Chuo cha kisasa cha  Usafiri wa Anga Tanzania
Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari (kushoto) akimpatia zawadi Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) Atupele Mwakibete baada ya kutembelea mamlaka hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...