Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wa Benki Ya Equity (T) Isabella Maganga ( katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya 'Ishi Kisasa Pesa Mzigo'. Kampeni hiyo inahamasisha utumiaji wa huduma za Kibenki kidijitali kama njia mbadala wa kupata huduma za kibenki pamoja Shughuli zote zinaweza kutatuliwa kwa wakati na kwa usalama kwa kukamilisha miamala yao na malipo kwa kutumia simu zao kiganjani, kadi zao za benki na Internet Banking popote pale walipo. Kutoka kushoto ni Meneja Mwandamizi Kitengo cha Malipo, Victor Wairimu na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano, Grace Magige.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wa Benki Ya Equity (T) Isabella Maganga ( katikati), Meneja Mwandamizi Kitengo cha Malipo, Victor Wairimu na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano, Grace Magige wakizidua Kampeni ya 'Ishi Kisasa Pesa Mzigo'. Kampeni hiyo inahamasisha utumiaji wa huduma za Kibenki kidijitali kama njia mbadala wa kupata huduma za kibenki pamoja Shughuli zote zinaweza kutatuliwa kwa wakati na kwa usalama kwa kukamilisha miamala yao na malipo kwa kutumia simu zao kiganjani, kadi zao za benki na Internet Banking popote pale walipo.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya Equity wakipiga picha ya pamoja baada ya uzinduzi huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...