RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Prof.Abdulrazak Gurnah, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi (2021) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 26-5-2022.akiwa Zanzibar kwa matembezi na kuhudhuria  Tamasha la Sanaa na  Utamaduni wa Muafrika lililofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi (2021) Prof Abdulrazak Gurnah. alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, akiwa Zanzibar kwa matembezi na kuhudhuria, Tamasha la Sanaa na Utamaduni wa Muafrika lililofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi (2021) Prof.Abdulrazak Gurnah, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-5-2022, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi (2021) Prof.Abdulrazak Gurnah.(kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Utali na Mambo ya Kale Zanzibar. Mhe.Simai Mohammed Said, baada ya kumaliza kwa mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-5-2022, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi (2021) Prof.Abdulrazak Gurnah, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-5-2022, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu.(Picha na Ikulu)  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...