Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati)
akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony Blair
alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kwa mazungumzo akiwa na ujumbe wakeRais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(katikati) akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony
Blair alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kwa mazungumzo akiwa na ujumbe
wake.Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(katikati) akisisitiza jambo leo wakati alipokuwa na mazungumzo na
Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony Blair alipofika Ikulu Jijini
Zanzibar kwa mazungumzo akiwa na ujumbe wake.[Picha na Ikulu]
05/07/2022.Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
(kuliai) akiaagana na mgeni wake Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza
Mhe.Tony Blair baada ya mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Jijini
Zanzibar akiwa na ujumbe wake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...