Na Zainabu Hamisi,
YALE maonyesho makubwa ya 15 International Afrika Expo Festival Tubingen 2022,Ujerumani, yanatalajiwa kuanza mwanzoni mwa September 1 hadi 04 September 2022 katika viwanja vya maonyesho Fest Platz mjini Tuebingen, nchini Ujerumani.

Wasanii na wajasiliamali mbalimbali kutoka nchini Tanzania ndio wanaongoza kwa wingi katika kushiriki maonyesho hayo makubwa ya Kiafrika barani ulaya. 

Mojawapo wa watakao nogesha maoyesho hayo ni mwanamitindo mbunifu wa mitindo rafiki wa mazingira Bi DIANA JOHN MAGESA ambaye mara nyingi amewahai kuipeperusha bendera ya Tanzania katika maonyesho ya kimataifa kama vile New York Fashion Week, African Fashion Week Canada, UNESCO chini Ufaransa. 

Wasanii wa sanaa za maonyesho na wajasiriamali mbalimbali kutoka moja kwamoja nchi Tanzania wanatarajia kuonyesha kazi zao katika maonyesho hayo nchini Ujerumani. KARIBUNI UJERUMANI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...