Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Said Yakub (katikati) akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) tiketi za mechi ya kufudhu mashindano ya mataifa ya Afrika kati ya Taifa Stars dhidi ya Uganda wakati akikabidhi tiketi hizo kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) mapema hii leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam, kulia ni rais wa shirikisho hilo Wallace Karia na kushoto ni Afisa Habari wa shirikisho hilo Clifford Ndimbo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Said Yakub (katikati) akimkabidhi rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, Wallace Karia Tiketi Thelasini Elfu za mechi ya kufudhu mashindano ya mataifa ya Afrika kati ya Taifa Stars dhidi ya Uganda mapema hii leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam, kushoto ni Afisa Habari wa shirikisho hilo Clifford Ndimbo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Said Yakub (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa shughuli ya kukabidhi tiketi za mechi ya kufudhu mashindano ya mataifa ya Afrika kati ya Taifa Stars dhidi ya Uganda kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) mapema hii leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam, kulia ni rais wa shirikisho hilo Wallace Karia na kushoto ni Afisa Habari wa shirikisho hilo Clifford Ndimbo.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Said Yakub (hayupo pichanii) wakati wa shughuli ya kukabidhi tiketi za mechi ya kufudhu mashindano ya mataifa ya Afrika kati ya Taifa Stars dhidi ya Uganda kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) mapema hii leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam.
Picha na Eliphace Marwa – WUSM – Dar es Salaam
26 Machi, 2023
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Wallace Karia (katikati) akitoa neon la shukrani kwa serikali kwa kuweza kulipatia shirikisho hilo jumla ya tiketi thelasini elfu kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mechi ya kufudhu mashindano ya mataifa ya Afrika kati ya Taifa Stars dhidi ya Uganda, kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Said Yakub na kushoto ni Afisa Habari wa shirikisho hilo Clifford Ndimbo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...