Home
Unlabelled
muhimbili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HAPO DAR TU DITOPILE ANAUA BILA WOGA, JE HUKO TABORA NI VIPI KAMA ALIKUWA HANYONGI WATU KABISA HUKO SEMA HABARI HAZITUFIKII TU.
ReplyDeleteJamani twende mbele turudi nyuma huyu babu Dito kafanya kosa kuchukua sheria mkononi kama vile kaiumba yeye, lakini! jamani hawa madereva wametumalizia ndugu zetu sana na wakigonga huwa hawasimami hata kuokomaisha yao kuwakimbiza hosipitalini. watoto wa shule wamekufa wengi tu bila hatia kwa kusukumwa na makondakta je mlishawahi kuwachangia wazazi wao kwa msiba wa ghafla? sisemi kuwa huyu kijana aliyedhulumuwa nafsi yake ni sawa yaliotokea laa! ila nakumbusha tu. MIZANI
ReplyDeleteRais Jakaya Mrisho Kikwete apata mtihani wa kwanza akiwa kama Rais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania.Taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema "Dito unataka mimi nikubebe vipi sasa!!" alisikika JK
ReplyDeleteJe kikwete kuacha nyota yake inayong`aa iishie kwa mpumbavu mmoja aliyetaka kujioonyesha?Na kama kumbeba atambeba kwa staili ipi?
Kikwete sasa yuko kwenye "point of no return"'Ajimalize mwenyewe kisiasa kwa kumbeba huyu bwege !!!!Angarishe nyota yake kwa kuacha mkondo wa sheria uchukue nafasi yake.
Utemi kwa bwana Ditopile ni kitu cha kawaida,kama mtakumbuka alipofumaniwa kinondoni akila uroda na mke wa mtu wakati huo akiwa mkuu wa mkoa wa Dar-es -salaam ,hii ndiyo kauli aliyotoa"kwa kizaramu ukifumaniwa ni sifa yaani wewe ni dume huku akijinyoshea kidole"
SpoilerAtl niko very concerned na mashahidi,nyinyi angalieni jinsi watakavyouawa au kufa vifo vya ajabu ajabu.
Kwa mtazamo wangu mimi Ditopile aliwahi kuwa mwanajeshi hivyo ni mtu mwenye utaalam wa kutosha wa matumizi ya silaha.Bahati mbaya hapo hakuna kwani accident na bastola ni vitu viwili tofauti.Yule dereva alifuata taratibu zote ,kwani baada ya kumuona Ditopile kahamaki baada ya ajali alifunga kioo na mlango wa gari lake kuepusha shari!!Sasa wewe ungekuwa yule dereva ni nini ungefanya zaidi ya alichofanya??
LIFE IN PRISON WITHOUT PAROLE OR KITANZI NDIZO ADHABU ANAZOSTAHILI BWANA DITO!
Wenye maoni tofauti endelea....
N.B MICHUZI HALAANI MAUAJI WHITE HOUSE KIMYA!!!
KUNA FUNUNU NASIKIA DITO ANA NGOMA HII NI FRUSTRATION TU ILIMTUMA AUE AMEIPATA TABORA AKIWA NA BINTI MDOGO WA KINYIRAMBA AMBAYE ALIKUWA ANASOMA UHAZIRI ANAITWA PELAGIA SOLOMON, KWA SASA HUYO BINTI AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA TUMBI KALIBU KABISA NA TABORA YUKO HOI MAHUTUTI. INAWEZEKANA KABISA HII NI SABABU KUBWA YA HUYU BWANA KUUA AKIJUA WAZI HANA MUDA MREFU WA KUWA NASI HAPA DUNIANI KWENYE RAHA NA MAJUTO.
ReplyDeletetuwaombee wote na ile familia tuanzishe mfuko wa kuweza kuwasaidia.
ReplyDeletemwita wewe uko marekani hizi habari unazotoa umezipata wapi? ama wewe ndiyo mwenye nayo? acheni uzushi kwanza Baba ameua kwa bahati mbaya alikuwa anagonga dirisha na bastora ikafyatuka yenyewe, tutasubiri mahakama iamue lakini mimi najua baba hawezi kufyatua risasi kirahisi hivyo ni bahati mbaya jamani naomba mumsamehe jamani babu yangu.mwita unamzushia tu baba.
ReplyDeleteWEWE UNAYEJIITA MWITA CHACHA!!! Pelagia alikukataa ndo unamwanika hadharani...KWA TAARIFA YAKO PELAGIA ANA KISUKARI TU na sio NGOMA!!!
ReplyDeleteDITO AMEUA KWA KUKUSUDIA HILI HALINA MJDALA. HUKUMU YAKE INAELEWEKA NA HUKUMU HIYO ITAKUWA FUNDISHO KWA WATU KAMA HAWA NGULUME AMBAO INASHANGAZA, PAMOJA NA KUKIUKA MISINGI YA UTAWALA BORA, BAADO WANAKUMBATIWA NA JK
ReplyDeleteAISEE, JAMANI KAMA KUNA ANONY WA TABORA HUKO HEBU FUATILIA UTUPE NYETI ZA HII HABARI HAPO KWA ANONY WA JUU.
ReplyDeletemwita chacha unahukakika? Je huko tabora. hivi JK ameisha chagua mkuu mwingine? make huyu dito ni byebye
ReplyDeleteDamu iliyomwgwa aijaenda chini kwenye ardhi bali imemwagikia kwenye vichwa vya watanzania wote wapendao haki na usawa.Marehemu Mbonde ulale mahala pema peponi amina.
ReplyDeleteMichuzi, hii ndio amani ambayo inadaiwa ipo Tanzania?Damu ya Huyu kijana aitapotea bure.Naamini wakati utafika watanzania watasimama na kusema hapana, tunaitaji amani ya kweli.
ReplyDeletefirst of all wewe uliyejiita Mwita chaha tafadhali tumia jina lako kuandikia upuuzi wako, usitumie majina ya watu. so what kama kapata ngoma?, dawa zipo, na hata kama hakuna dawa, ngoma haiuwi kwa dakika moja, so hiyo siyo justification ya as to why amemuuwa kijana wa watu.
ReplyDeleteSecond, anony wa Tuesday, November 07, 2006 5:28:37 AM, so what kama madereva wa mabasi huwa wanagonga watu na kukimbia?,madereva wa kawaida hawafanyi hivyo? una ushahidi kama huyu kijana alishawahi kutenda kosa hilo? Hata kama wanagonga na kukimbia, kuna hatua ambazo wanastahili kuchukuliwa, sio kuuawa kikatili kama alivyofanya muheshimiwa Ditopile. Namquote SpoilerAtlanta, "LIFE IN PRISON WITHOUT PAROLE OR KITANZI NDIZO ADHABU ANAZOSTAHILI BWANA DITO!" Yeah right SpoilerAtl
kama hiyo ngoma wala hajaanza kuipatia kwa pelagia kaipata ngoma hiyo Arusha na ni miaka mingi sana sasa kwa dada mmoja anitwa Zubeda ambaye kwa sasa ni marehemu na mtoto waliyezaa pia ni marehemu ni mtu mchafu tuuuu.
ReplyDeletemtu mwenye tabia ya kibabe kama huyu baba ditopile ujue ni mtu mwenye ghuluka chafu sana kwa kawaida watu wenye tabia ya kutumia nguvu hivi mara nyingi wao huyo ni
ReplyDelete1) wanyanyasaji
2) wafiraji na wanafira mtu yeyote hata kuku.(wabakaji)
3) wauwaji
4) wanyanganyi
5) wagomvi
6) walevi
7) waizi hili swala la wazi mfano mzuri wizi wa kura
8) wanapenda kutia vidole watoto wadogo
hiz tabia zote mbaya basi tuu ili mradi ajione ni mwenye power. tatizo lao kubwa ni kutaka power.
kwa hiyo mtu huyu akiachiliwa ni mtu hatari sanasana.
na kama ataachiliwa basi na kina babu seya nao waachiliwe maana tabia zao hazipishani kwa njia moja au nyingine.
Wewe malaya wa 12:58 unamaana gani kusema nitumie jina langu mimi naitwa Mwita chacha kama wewe unamjua mwingine basi hiyo ni sawa kama huyo unayemjua ni bwana wako poa lakini mimi hili ni jina langu na sioni ajabu kama kuna mwita wengine unaowajua, tafadhali argue kama msomi haya ni majina ya ukoo tu huko musoma tarime yamejaa tele wewe malaya unaye lopoka kabebe mabox! huyo pelagia tunamfahamu yuko Tumbi hospital hali yake ni mbaya sana... na tunafununu hii ni frastration ya mzee dito that is why he triggered his gun to a young dude kwa taarifa yako.
ReplyDeleteMIMI NAFIKIRI NI MTU HATARI SANA HUYU NIMEKUWA NAWAMBIA HAWA WAISLAMU NI HATARI SANA HAMSIKII MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI NDIYO KWANZA UMEKWISHA NA HUYU JAMAA ALIKUWA ANAKULA KITI MOTO KILA SIKU KULE BACHU TABORA SASA ANGALIA MAMBO YANAYO MTOKEA? KWANZA NASHUKURU AMEDAKWA MAPEMA HAWA NDIYO WALE WANAOGEUKA KUWA MA SERIAL KILLER WANAO SHOOT WATU KWENYE HIGH WAY, NI HAFADHALI ANGEENDA IRAQ AKAJILIPUA SASA ANGALIA KAMWUA MWISLAMU MWENZAKE BILA SABABU YA MSINGI WAKATI AKIJUA HILO DALADALA LILIKUWA NA INSURANCE AMBAYO INGEMKAVA HATA YEYE NA KULIPIA HATA HIZO DAWA ZA NGOMA KAMA ANGE FAKE NI MGONJWA.. JAMANI NGUGU ZETU WAISLAMU MSIMALIZANE WENYEWE KWA WENYEWE
ReplyDeletePELAGIA---ANA NGOMA BWANA, MSIJITIE KUTETEA KITU AMBACHO KIKO WAZI. WATU WANAOMWANIKA HAPA WANASEMA UKWELI. NYIE MNAOTETEA HAPA ATI OOH! ANA KISUKARI---THINK AGAIN. ANA NGOMA PENDA MSIPENDE.
ReplyDeleteHATA MTIHANI MKUBWA KWA KIKWETE HAPA, DUH! SI MCHEZO. MANA ALIUA MTOTO WA RUPIA NA AKAACHILIWA HIVI HIVI. NA WENGINEO WATOTO WA WAKUBWA KAMA YULE KINJE NGOMBALE MWIRU PIA. ALIUA, MUUAJI HUYOOOOO LAKINI LIPO TU HAPA MJINI ALIKAA KEKO KOKORONI SIKU CHACHE TU KWA ZUGA, HALAFU KESI IKAFUTWA, BONGO HAMNA KUHESHIMU SHERIA, SASA TUONE KAMA KIKWETE ATAINGILIA SHERIA NA HAKI HAPA. WADAU TUNGOJE TUONE.
ReplyDeleteTokeni hapa shenzi taipu nyie, mbona munaongea ujinga hapa kama mnajifanya mnajua wauaji wote watajeni basi sio kubakiza wengine Je huyu Mtoto wa Nyerere aliyeuwa hapa Mbezi na akaitupa maiti nje ya ukuta wa fensi ya nyumba yake?? Je mbona hamujamtaja? Alikuwa anaendesha gari spotsi kaa yenye rangi nyekundu, aliandikwa mpaka magazetini, na akaachiwa hivihivi, tuulizeni sisi wa hapa Mbezi intachiki tunajua ukweli.
ReplyDeletehuyo ni jamaa kwenye ukoo , huna DATA, acha kuchafua majina.
ReplyDeleteBREAKING NEWS
ReplyDeleteKufuatia kesi ya mauaji…
Ditopile ajiuzulu ukuu wa mkoa
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kujiuzulu kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile-Mzuzuri, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya raia mjini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma jana usiku, Rais Kikwete amekubali ombi hilo kufuatia barua aliyoandikiwa na Ditopile Jumapili iliyopita, siku moja kabla ya kufikishwa mahakamani, akimuomba Rais akubali kujiuzulu kwake.
Rais alieleza: “kuomba kwako kujiuzulu wadhifa wako wa Mkuu wa Mkoa ni uamuzi wa busara na hekima. Unatoa fursa kwa taratibu stahiki za kisheria kufanyika bila ya vizuizi visivyokuwa vya lazima. Ni heshima kwa taifa letu linalozingatia utawala wa sheria.
“Hivyo napenda kukuarifu kuwa nimekubali ombi lako la kujiuzulu wadhifa wa Mkuu wa Mkoa. Kwa mara nyingine tena pole kwa yote. Usiache kumshukuru na kumuomba Mungu.”
Rais Kikwete yuko safarini katika nchi za Asia .
Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu ilisema, katika barua yake ya kuomba kujiuzulu, Ditopile alieleza kuwa tukio lililotokea “linakingana na dhamira yangu ya wajibu wa kazi yangu ya Mkuu wa Mkoa.”
Aliomba kuwajibika na kutoa nafasi kwa mkondo wa sheria kuchukua nafasi yake vyema na kuacha serikali kufanya kazi yake ipasavyo kwani “nikiendelea kuwepo madarakani itaathiri imani ya wananchi kwa serikali yetu.”
Ditopile (58) alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu juzi, akikabiliwa na shitaka la mauaji ya dereva wa daladala Hassan Mbonde.Upande wa mashitaka ulidai kuwa Ditopile alifanya mauaji hayo Jumamosi iliyopita katika makutano ya barabara za Bagamoyo na Kawe, Dar es Salaam.
Mshitakiwa ambaye hakutakiwa kujibu lolote, yuko rumande na kesi dhidi yake itatajwa Novemba 20, mwaka huu.
Kwa mujibu wa habari za awali za polisi, Ditopile anadaiwa kumuua kwa kumpiga risasi kichwani dereva huyo.
Huu ndiyo uzuri wa technology ya blog!!! Kama kweli mtoto wa Nyerere aliua, wengi wetu hatukuwa na habari. Sasa kama hizi ni za kweli, basi sheria ichukue mkondo wake. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Baada ya uongozi wa mwalimu Nyerere, wakubwa wengi wameifanya nchi ni kama yao na kufanya watakvyo. WATANZANIA HAMKENI!!!! MKIENDELEA KULALA USINGIZI MTAENDELEA KUUAWA KAMA KUKU.
ReplyDeleteKAMA KWELI MTOTO WA MWALIMU ALIUA< BASI POLISI NA SERIKALI YA JK FUATILIENI NA SISI WANANCHI TUNATAKA JIBU HARAKA.....
Mwita Chacha, samahani usituingizie masuala ya udini kwenye hii blog.Hatuna nafasi ya kujadili dini ya mtu hapa.Tunamjadili Ditopile kwa kosa alilofanya kama kiongozi mwandamizi wa serikali, na sio dini yake.
ReplyDeleteMwita Chacha jiheshimu,hapa hakuna masuala ya dini. Hii imetokea by coincidence hawa kuwa dini moja. Kama una ajenda zako tafuta mahala pengine siyo hapa.
ReplyDeleteHII MITOTO YA VIGOGO INAKUWAJE WANAPEWA SIRAHA KIRAHISI HIVYO?, NA KWANINI WANAKUWA NA SIRAHA? KUJILINDA NA NINI?. NA NINADHANI UKICHUNGUZA UTAKUTA WAMEZIPATA BILA HATA ISIVYO HALALI NA PIA HAWANA VIBALI NAZO MIMI NAOMBA SERIKALI IANGALIE VIZURI SWALA HILO MAANA INAVYOKWENDA HII MITOTO YA VIGOGO ITATUMALIZA SISI WALALA HOI
ReplyDeleteKwa kweli Michuzi unanishangaza mno - hilo jambo la huyo dereva wa dala dala umelishikia bango mno - KWA KWELI IT SERVES HIM RIGHT. Hao madereva wa dala dala wakishirikiana na makonda wao wananyanyasa sana wanafunzi jamani. Two weeks ago - mwanafunzi kakanyagwa na gari na kufa papo hapo tena mbele ya macho ya mdogo wake - wakienda shule - je hilo hamlifikirii jamani - au kisa huyo kapigwa risasi na mkuu wa mkoa?? Just think about it JAMANI - afadhali hata huyo dereva ameishi kuona watoto wake - je yule mtoto aliyekuwa awe taifa la kesho??? THIS IS BULL SHIT - kwa kweli hao madereva na ni BADO.Huo ni mfano tu.
ReplyDeleteHUYO NDUGU WA MBEZI AMEZOZA UKWELI NI HUYU MATARE NYERERE BEST FRIEND WA KINJE NGOMBALE MWIRU.
ReplyDeleteNI KWELI ALISHUTUMIWA KWA MAUAJI, MBEZI KAMA MIAKA TISA ILIYOPITA, NA NI KWELI KESI IKAFUTWA MAITI ILIKUTWA NJE YA FENSE YA NYUMBA YAKE MBEZI. NA NI YEYE KWELI ALIKUWA NA SPORTS CAR YA RED.
WATOTO WA WAKUBWA WANAJIFANYA WAJANJA NA KUCHEZA NA SHERIA. SASA MTOTO WA MUMBAI PIA KAPIGA BASTOLA WAZI KWENYE UKUMBI WA STAREHE. WASHENZI WOTE HAWA MABISHOO, HASA HUYU KINJE PIA MADEMU WAKIMKATAA ANATOA BASTOLA.
Michuzi naomba ututumie picha za CYNTHIA MASASI huu msiba umekwisha tikea na Dito yupo kwenye mikono ya sheria GUYS LETS MOVE ON....!Mzee Michuzi naomba picha zaidi za TAUSI NA MREMBO CYNTHIA MASASI NINAMUHUSUDU huyu dada kupita kiasi nadindisha kila mara ninapoona picha yake niko mbali kidogo na Atlanta siunajua siunajua tena ubusy wa Maryland mzee michuzi?
ReplyDeleteWewe mwita una kichaa mambo ya dini yanahusiana nini tukio lilitokea?huo ndiyo ufinyu wa mawazo baadala ya kujadili maada iliyopo unaleta udini "karn ya ishirini na moja unaendekeza udini" DITO ameaua tuiachie mahakama ifanye kazi yake tusiwe waendesha mashitaka, majaji na mashahidi
ReplyDeleteukiona jitu linaropokwa yasiyohusu jua hilo choko msishangae kusikia huyo mwita chacha ni junya la kutupa maana analeta habari ambazo hazina hata msingi zikiwemo za kidini humu asituletee udi sisi.
ReplyDeletePOLENI WAFIWA NA TUACHE CHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE NATUMAINI BORTHER DITO KESHA PELEKWA SERO NA SIO DISPENSARY TENA KWENYE GODORO.
ReplyDeleteMICHUZI HEBU ON HIZI DATA NAJUA UNAMWOGOPA LOWASA,MSABAHA NA MASHA ILA TUNATAKA MAJIBU TAFADHARI.
If this is true, then we are in serious trouble (hatuna uchungu na kodi
ya watanzania, hasa wale wanaolipa kodi hata kabla hawajapokea kipato
chao-emplyees). I am not a technical person, hence I can not recommend
anything, however I believe we do have technical people who can
investigate, collect infos from different sources and give out their
statements.
Hii ni price qoute from GE for a brand new generator na hii generator
can produce more power compare to what they sent to TZ and still brand
new is only $36 millions dollars how comes they spent $175 million.
Huu still ni wizi.
New GE Frame 7FA Combined Cycle w/BOP
Asking Price: USD $36.25 mil per 1 X 1 X 1 combined cycle unit
Included: CTG + ST-G+HRSG.
Excluded: Feed pumps, GSU's, interconnecting piping, etc
Description: The GE 7FA train is the premier combined cycle plant. It
can achieve net plant heat rates as low as 6,900 BTU/kWh HHV in combined
cycle mode. The 172 MW nominal gas turbine can generate enough steam to
produce approximately 90 MW in the steam turbine while supplemental
firing (duct firing) will increase output by an additional 25-30 MW
depending on site conditions. The CTG is designed for outdoor
configuration. The HRSG is an Erie Power Technologies (formerly Aalborg)
modular design, with triple pressure and supplemental duct firing
capability. The high efficiency GE turbines are manufactured in
Greenville, SC and Schenectady, NY. The steam turbine is designed with
an axial flow exhaust. SCR for 3.0 ppm NOx and 5.0 ppm CO.
This is a complete set of power equipment required for a 1x1 combined
cycle plant. The GE equipment includes all MSD and auxiliary equipment
normally supplied with a turbine order including technical direction
hours for erection and startup. The HRSG includes the normal HRSG scope
from the GT outlet to stack outlet.
Output: 172 MW (Gas Turbine)
115 MW (Steam Turbine)
Delivery Dates -
Gas Turbine & Auxiliaries: In Storage
Steam Turbine & Auxiliaries: In Storage
HRSG- Balance Of HRSG Package
Valves, Piping, Instrumentation, Platforms, Etc.: Ship Direct From
Supplier
Heat Rate:
In Simple Cycle : 10,650 BTU/Kwh HHV
In Combined Cycle : 6,900 BTU/Kwh HHV
Nox Control Technology : DLN 2.6 With SCR
Nox Without SCR: 9 Ppm
Frequency: 60 Hz
MWITA POLE NAFIKIRI UMESIKIA
ReplyDeleteWewe Mwita Chacha bandia unayesema upo Maryland, Mwita Chacha pekee aliyekuwa Maryland hadi October mwaka huu (Sasa yupo UK anasoma Masters?) hana tabia kama zako, Hebu tumia jina lako halisi,kwanza hata humjui vizuri Mwita, maana unadhani hadi leo hii yupo Maryland, acha kutumia majina ya wenzako. Haipendezi, Michuzi, nadhani unamkumbika Best Man wa Harusi ya Sajo, huyu mjinga anayejiita Mwita Chacha hapa anamuharibia jina lake klwa kuongea upuuzi kama huo wa kuihusisha hii kesi ya Dito na mambo ya kidini, Kaka michuzi, Tunakuomba uache kuweka hapa posts zake.
ReplyDelete