warembo wa miss utalii ya dunia walikuwepo neshno siku yanga ilipombamiza mtibwa 3-0. tatizo walikaa upande wa simba halafu ati wakawa wanashangilia ...
February 2006
hii ni siku yanga ilipofungua dimba la ligi kuu na kuichapa mtobwa 3-0 neshno... na kuanza kuongoza ligi ile pyeeee! tehe tehe tehe. nasikia wanaomba...
warembo wataoshiriki fainali za miss utalii wa dunia wakila pozi bongo tayari kwa mpambano lililohamishowa dar toka arusha hapo machi 11. nyooooooote...
hili ndilo jumba la ajabu zenj, ambapo ilisemekana nguzo zake hizi zilijengwa kwa kutumia watu. ukweli ni kwmba hadi wakati huo hakukuwa na jumba kubwa...
je, kinababa na kinamama wa ughaibuni. mwamkumbuka hu...
haya ndo madhara watu kama jeff msangi wanayokumbana nayo mara baada ya kuruka ukuta kuingia neshno...
maulid dilunga "mexico" aliyekuwa yanga na sasa ni mfanyabiashara na mshauri chama cha mpira, fred felix 'minziro' alikuaga yanga sasa kocha wa ruvu stars,...
hapa ndipo kitovu cha umeme cha bongo ambapo sasa kinakauka kutokana na kukosekana mvua kiasi hata serikali imetangaza tenda ya kupata mtu atayeweka mitambo...
hapa ni forodhani, unguja, mida ya saa kumi na mbili jioni...
kila ijumaa kuna onesho la ngoma nyumba ya sanaa ambapo sisi tambala, simba theatre na kyandu music hupokezana kwa zamu. na sheria ni kwamba wimbo wa...
machinga wakiwa chini ya ulinzi wa mgambo wa site kwa kosa la kuuza nyanya barabar...
damija. hawa ndo sis tambala ya sasa...
huyu ndiye halima shariff ambaye sasa ni kamishnakwenye kamisheni ya ukimwi (TACAIDS) akitoa mada kwenye semina ya ukimwi dodoma juzi. yeye, rose kalemela...
jamaa akipiga chebo mahali ambapo mlinzi wa duka la fedha la macsoms alipokula shaba na majambazi walioingia kwa gia ya muuza ndizi na kupora mamilioni...
simba wa vita mzee rashidi mfaume kawawa na mk...
mcheza ngoma ya kilua toka ujiji, kig...
mwenyekiti wa cuf akipiga stori na kamishna laurent tibasana, mkuu wa operesheni na mafunzo jeshi la polisi, akiwa na cheo cha tatu toka juu. wa pili...
watoto wakicheza kwa furaha bo...
huyu ndiye alfred tibaigana, mkuu wa polisi ...
hapa ni uwanja wa majimaji, songea. je waweza sema hii ni timu gani na hawa ni kina na...
polisi akilinda benki. nji sasa imetulia na kuleta wasi wasi kuwa labda kweli hawa jamaa hushirikiana na jamaa. unaambiwa hata loba hamna siku hizi b...
vijana wakicheza michezo ya kompyuta katika kefu mjini mus...
HOTUBA YA MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO WA TAASISI YA KUZUIA RUSHWA (TAKURU) ...
wanachama wa cuf wameandamana kushinikiza igp mahita apigwe chini baada ya kuwatuhumu ujambazi...
hapana, hawa si intarahamwe ama banyamulenge bali ni askari mgambo wa jiji la dar wakiwa kwenye doria. ni hodari sana hawa kuvamia wauza nyanya na mc...
nadhani mmesikia kwamba yanga na simba mwaka huu itachezeshwa na mwamuzi mwanamke. basi ndiye huyo...
hapa ni arusha national p...
ndata wa bongo kwa no smoking ndo wenyewe, hasa kwa vibaka na si majamb...
mzee mzima akilisakata na mkewe kwenye hafla jana usiku, ikiwa ni mtoko wake wa kwanza tangia atundike daruga mwezi dese...
mafundi wa ndege za serikali mzigoni. bongo tunao wataalamu waliobobea kwenye anga hizi...
soko jipya la samaki magog...
kwa mlioko nje kwa zaidi ya miaka minne na hata wengine mlio hapa bongo, hii ndo ofisi mpya za magazeti ya daily news na sunday news ambako ndiko nakula...
tenga na ndolanga. da'adija upoooo? unakumbuka hawa jamaa walivyokuwa wakikusumbua kila ulipokuwa watafuta stori? pole sana. naona umepumzika sa...
zawadi kwa kaka hamza akiwa...
jamaa wa kipemba akiziingiza kwa mtasha bustanini forodhani, ung...
waziri mkuu EL akiahirisha bunge leo baada ya kukaa kwa mara ya kwanza toka uchaguzi mk...
washkaji wakitoka basi lile na kukimbilia lingine kuuza bidhaa kama njugu, korosho, ndizi n.k. mjini chali...
wataalamu wakimalizia kazi ya kumtegeneza nguva aliyevuliwa kisiwani mafia na kuamuliwa kuwekwa makumbusho ya taifa kumaliza ubishi kwamba hawa wanyama...
dar nayo haijachacha lakini... mlio ughaibuni nambieni nimeipiga nikiwa jengo ga...
ndesanjo anajua alama hii i wapi...
jamaa akipokea barua posta mpya. je, wa ughaibuni, haya mambo bado yapo ama mambo ya kuletewa hadi mlangoni. sie tufanyeje tufikie hu...
mojawapo ya boti za abiria ikikata maji kuelekea zenj. kwa kawaida boti za kasi huchukua dakika 90 kufika na nauli bei ni sh. 12,000/- kwa kicha , lakini...
barabara ya morogoro kama ionekanavyo leo toka juu ya daraja la manzese, ...
asha baraka na kaka yake baraka msiilwa, wamiliki wa africa stars entertainment inayoendesha bendi za african stars 'twanga pepeta' na african chipolopolo...
makachero na askari magwanda wakihoji dereva na abiria wa gari hili walioporwa mkoba na majambazi kweupeeee karibu na taa za tazara. aluta kontinua...
jamaa aliyetaka 'kuharibu' nje ya ubalozi wa uingereza akiwa anakula 'no smokin...
mwalimu akihutubia jangwani mwaka 1957, bi titi akiwa naye benet. huyu mama jamani katoka mbali kweli, basi tu mambo ya bongo. lakini angalau ana kamtaa...
profesa cleophas migiro akiwa na mkewe dk. asha-rose migiro kwenye hafla. profesa ni mwanasayansi mheshimika duniani katika nyanja za mazingira na pia...
Subscribe to:
Posts (Atom)