November 2006

jk akila pozi na marais wa zanzibar,k rwanda, uganda, kenya na burundi leo kule a-town.
Rwanda, Burundi watawazwa wana ist afrika!

bwanda na burundi leo zimekubaliwa rasmi kujiunga na jumuiya ya ist afrika mashariki inayoundwa na kenya, ganda na Tanzania.

Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo rais wa kenya mh. Mwai kibaki ametangaza kwenye mkutano wa siku moja uliohudhuriwa na marais wa nchi zote wanachama, amesema kujiunga kwao kunapanua wigo wa biashara ambao sasa utakuwa na watu milioni 120.

Hata hivyo, Kibaki ametoa hadi Julai mwakani Burundi na Rwanda ziwe zimeshakamilisha taratibu zote za kuwa memba wa EAC.

gwiji wa mashairi ya kiswahili mzee andenenga ama 'sauti ya kiza' akiongozwa na mjukuu wake kwenda kupanda daladala baada ya kughani redio ya taifa. mzee huyu haoni, lakini ukimwondoa mtu kama mathias mnyampala, shaaban robert ama juma akida, hakuna anayemgusa kwa ufasaha wa lugha ya kiswahili


WADAU KUNRADHI. KUMBE JIDE ANAENDA UGHAIBUNI KIVYAKE, NA JAMAA WAMEMUOMBA AWE MGENI MAALUMU KWENYE SHEREHE ZA UHURU WETU. HIVYO NAOMBA RADHI KWA KUWAWEKA ROHO JUU... VIBGINEVYO UJUMBE HUO NI KAMA IFUATAVYO:

The Tanzania Community Association – Midwest USA, NFP (TCA) and The United Kenyans of Chicago NFP (UKC) cordially invite you to celebrate Tanzania's Uhuru Day and Kenya's Jamuhuri Day on Saturday, December 9, 2006 starting at 6 pm (Central Standard Time).

Special Guest appearance by Lady Jay Dee aka Jide aka binti Machozi who will be in the US for a private visit from Tanzania.

Due to popular demand and the success of last year's event, once again TCA and UKC will be holding a joint Independence Day Party and as usual expect a lot of fun and excitement.

This is going to be a big event for our community, the Kenyan community and friends of our communities.

Embassy officials from the Tanzania and Kenyan Embassies in Washington DC have been invited. Several dignitaries and friends of our communities from all over the US and Canada have been invited and will be in attendance so this event will also present a good networking opportunity.

Entrance Fee: $20 for adults and free for children. Dinner (a la carte) and drinks are included in the entrance ticket.

Donations to TCA and UKC are also greatly appreciated.
Venue: University of Chicago International House-Assembly Hall
1414 E. 59th St, Chicago , IL 60637.

For event updates and other news please visit our website:

http://www.tanzaniamidwestusa.org

Entrance Fee: $20 for adults and free for children. Dinner (a la carte) and drinks are included in the entrance ticket. Donations to TCA and UKC are also greatly appreciated.

Venue: University of Chicago International House-Assembly Hall 1414 E. 59th St,
Chicago , IL 60637.
For event updates and other news please visit our website:

www.tanzaniamidwestusa.org/event

rais wa burundi mh. pierre nkurunzinza akimsikiliza waziri wake wa habari mh. karenga ramadhani baada ya kuongea na wafanyabiashara wa bongo hapa dar. ikumbukwe mh. karenga alikuwa mtangazaji wa bbc kabla ya kuula.

mh. karenga ramadhani aliondokea deutsche welle kwenda kuula. aliacha kazi kama alivyofanya bibie hafsa mosi ambaye sasa ni mwandishi wa nkurunziza.

karenga alianzia dw miaka ya 80, akenda bbc, akajiunga na redio japan kabla ya kurudi tena dw hadi kuteuliawa kwake kuwa sisko (mkuu wa itiafaki) wa nkurunziza na baada aya uchaguzi waziri wa habari na msemaji wa serikali,wakati huo huo akihusiaka na ushirikiano kati ya serikali na bunge laburundi. asante aboubakary liongo ulieko bonn kwa data hizi. danke schon
no image
"The African Dream"

Miss East Africa UK 2006 - (Heaven London)
3rd Dec CharingCross

World Aids Week

Venue: Heaven In London
Date: 3rd December 2006
Location: Heaven Under the Arches, Villers Street, Charing Cross,London, WC2

Miss East Africa UK is holding their inaugural event on the 3rd Decemberat the world famous Heaven Nightclub.

This star-studded event is raisingmoney for East African children orphaned through HIV/AIDS and Genocide.The Main Room will feature the beauty pageant, a fashion show and liveperformances from Young Cuz & Teddy.

You will be able to mingle with celebrities from BB6 including (Kemal, Makosi & Vanessa), Donatella from (ITV1's Young Posh & Loaded), Rachel Ritfield (Actress & Model), Anya from make me a supermodel and many more.

For those wanting a more traditional end to the weekend and boogie the night-away, the Pop room will be business as usual with a Mix of Soulful,Latin, Disco and Electro from DJ Walker.

The proceeds from this event will go directly to charities operating locally within the East Africa region.

I hope to see you on 3rd

Kind regards
Pauline Long
President
Miss East Africa UK
Tel: +44 (0)7834591453
Email: pauline@misseastafrica.co.uk
Web: www.misseastafrica.co.uk

OR

DeFunKadelic Entertainment
info@defunkadelic.com
www.DeFunKadelic.com


jide akiwa na sauda simba kilumanga. ifuatayo ni taarifa maarumu...

The Tanzania Community Association – Midwest USA, NFP (TCA) and The United Kenyans of Chicago NFP (UKC) cordially invite you to celebrate Tanzania's Uhuru Day and Kenya's Jamhuri Day on Saturday, December 9, 2006 starting at 6 pm (Central Standard Time).

Special appearance and performance by:

Judith Daines Isambai Mbibo aka Lady Jay Dee aka Jide Aka binti Machozi

From Bongo!

Due to popular demand and the success of last years event, once again TCA and UKC will be holding a joint Independence Day Party and as usual expect a lot of fun and excitement. This is going to be a big event for our community, the Kenyan community and friends of our communities.

Embassy officials from the Tanzania and Kenyan Embassies in Washington DC have been invited. Several dignitaries and friends of our communities from all over the US and Canada have been invited and will be in attendance so this event will also present a good networking opportunity.

Entrance Fee: $20 for adults and free for children. Dinner (a la carte) and drinks are included in the entrance ticket. Donations to TCA and UKC are also greatly appreciated.

Venue:
University of Chicago
International House-Assembly Hall 1414 E.
59th St., Chicago,
IL 60637.

For event updates and other news please visit our websites:
http://www.tanzaniamidwestusa.org/
http://www.chicagokenyans.org/events.html

Jamani kuna watu wana vipaji duniani humu and they are out there you can't tell until you see/hear them but this one has that unique thing in her since high school...

I would like to take this opportunity to introduce her to you. She has a poetry book out...this is her first poetry book Titled "EMOTIONAL TURMOIL"...AND it can be purchased from http://www.authorhouse.com/BookStore/BookHome.aspx

You can also search her using the book title or her full name as Gloria Gonsalves. In a month’s time the book will also be available through manydifferent retail outlets. These includes, but are not limited to,Amazon.com, Barnes & Noble, and Borders.

Today she has received an Editor's Choice Award certificate from Poetry.com and also they are requesting permission to have one of her two poems titled " My Kissy Puppie Boy" included in Sound Poetry which is a CD where her poem will be read out by a professional and recorded too.

Let support our sister girl!!....