Home
Unlabelled
air force one
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ebwana eeh, hilo dege mie hoi, jamani angalao wangewabeba wabeba maboksi hata 20 tu kuwasaidia safari waende kwao wakasalimie, jamani NAULI INAGOMBA.....duu kweli duniani hamna haki,,wengine wanabanana kwenye Qatar na Emirates, wengine midege mikubwa, na humo ndani nasikia inakuwaga kama minyumba,,,mmh kama mungu yupo, TUTAMUONA...
ReplyDeleteVidole havilingani. .... nauli ya daladala kwenda kazini tu inagomba sembuse nauli ya Qatar ???
ReplyDeletebana michuzi mi naomba kuhoji habari niliyosoma ktk gazeti la mwananch...
ReplyDeleteHivi hawa WASOMI wanaozungumziwa wametoa wapi statistics kuwa idadi ya WEUSI inaongezeka magerezani USA ???
ACHA UJINGA WEWE NANI KAKWAMBIA WABEBA MABOX WANATAKA LIFT? AU UNATAKA NA WEWE UJULIKANE UPO?
ReplyDeleteAcha ushamba wewe, hiyo ndege ni 747 kama nyingine, ndani wame inakshi na kuongezea vikolombwezo muhimu vya kumrahisishia rais safari iwe fupi na ku pumzika kama yuko hotelini.
ReplyDeleteTaifa kubwa boksi inategemea unalibeba wapi bongo ukibeba boksi utatoka kibyongo na huendi popote ulaya hali kadhalika hapa America boksi ukishamaliza kulibeba unatekenya ndinga ukifika home ukimwaga maji ukiingia mtaani kama mtu yoyote yule pengine una makuku kuliko watu wa ofisini komeni kukashifu kazi za watu
ReplyDeleteJe bush alipita immigration maana kikwete akija US lazima apite immigration walivyokuwa hawana adabu lazima aweke kidole na wachukue picha
ReplyDeleteHizo picha za mwanzo zinaonyesha wazi kabisa kuwa wapiga picha wa Bongo mlitupwa MAILI AROBAINI kutoka kwenye ndege ya mkubwa!!! Kama Kawaida....teh teh teh!!!
ReplyDeleteHuyo mpuuzi anayolirusha hilo dude ana masaa kama milioni(flying hours)resume yake kasharusha space shuttle kama mission kumi na zaidi bila kusema combart mission ngapi amefanya Taifa kubwa sio mchezo
ReplyDeleteKuanzia mwaka kesho itaenda sana Kisumu hiyo ndege maana jaluo(OBAMA)akichukua nchi majaluo wote wataipanda hiyo
ReplyDeleteKikwete mzuri bwana du,is fit atakuwa anafanya zoezi zoezi au ana lift hivi
ReplyDeleteKalieni kusema maboxi, wenzenu twala bata huku. Najua wengi mnatamani, mmejaribu, mnajaribu, mtajaribu na mkiendelea na hivyo mtashindwa milele.Kuleni vumbi lenu lenye m...jo.
ReplyDeleteMichuzi, wewe umetembea, jaribu kuwapa mbinu hao wanaokomaa kusema maboxi maboxi, najua wanatamani sana kupaa, kama hawana shule kuna njia nyingine, waombe msaada kwenye tuta kuliko kumaliza machungu yao kuandika maboxi maboxi. Kama kwenda Kariakoo huwezi, hata hiyo Qatar kuigusa tu bodi nje utaweza, nani atakuruhusu?
ReplyDeletewe unayezoza wabeba boksi kila kukicha mshamba tu! kila news hapa wewe unaleta wabeba boksi vinahusiana nini. mbona wote tupo hapa bongo hatumaindi wabeba boksi wanafanya nini! kama sio wivu basi inaonyesha ulishindwa kwenda. Kama vile sungura alivyosema "sizitaki hizi ndizi mbichi" baada ya kushindwa kuzirukia...kama kweli unataka kupambana na wabeba boksi basi toa jina lako na email yako hapa wakushambulie..Kua mdogo wangu wote tulishajaribu tukanyimwa visa, chuki haikusaidii lolote.
ReplyDeletewe unayezoza wabeba boksi kila kukicha mshamba tu! kila news hapa wewe unaleta wabeba boksi vinahusiana nini. mbona wote tupo hapa bongo hatumaindi wabeba boksi wanafanya nini! kama sio wivu basi inaonyesha ulishindwa kwenda. Kama vile sungura alivyosema "sizitaki hizi ndizi mbichi" baada ya kushindwa kuzirukia...kama kweli unataka kupambana na wabeba boksi basi toa jina lako na email yako hapa wakushambulie..Kua mdogo wangu wote tulishajaribu tukanyimwa visa, chuki haikusaidii lolote.
ReplyDeletemie kwa kweli i don't mind carrying box hapa marekani. especially ma-box ya huku yanapimwa, likisema ni 10 pounds basi ni hizo hizo, beba box la bongo, utakufa! and then ukirudi home kuku inakusubiri vile vile, we mla vumbi niambia mara ya mwisho umekula nyama lini? kusema ukweli box linalipa si mchezo....wala asikudanganye mtu, halafu wala haliumizi. sijui nyie wala vumbi mnalichukuliaje hili box, asikudanganye mtu, piga ua, kila mtu anataka kuja america....correct me if i am wrong. wabeba box oyee, mikono juu, mikono juu!
ReplyDeleteDuh.. mmeona vumbi nyuma ya airforce 1? Aisee bongo nuksi!!!
ReplyDeleteJamani katika burudani ambazo nazipenda na humu nazipata nachekaaaa walijisemea wakerewe wa bongo, "mpaka baasi" , yaaani weacha tuu. Humu muna jazba huna jokes muna kero muna watoto muna wazee wa hekma muna kila kitu yaraabi muna kila balaa sometimes chokeee mi choke nikikutana na khabari za boxes na vumbi kutambiana kwa kitoto.
ReplyDeleteHivi wewe anon wa hapo juu unaongea kiswahili cha nchi gani eti?...kama mkulima bwana...Alafu na nyie wabebox, msijisifu eti mpo ughaibuni mnakula bata, bata mtakula nyie!!...Bata anakula Bush bwana, nyie mtabaki kuhenya na mijibox...Bongo ndio watu wala bata, watu wanakula kwa jasho lao bongo, nyie mpaka wazazi wawakumbuke ndio mpige vipicha vyenu mkiwa mmebeba vichupa vitupu vya Heineken..kudadeki au wazazi wakifanya kuwasahau tu mwaenda kubeba miboxi iliyojaa nepi za watoto wa kitasha ndio mpate kula hao bata...Bata utakula wewe!?!?!
ReplyDelete