mdau katuma hii kuuliza huyu ndama tumwiteje?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. Huyu ni punda chotara!!!

    ReplyDelete
  2. mimi nadhani tumwite

    Doze - ni kifupi kwa king'eng'e au kimatumbi

    do = donkey
    Ze = zebra

    asante

    Mkulima

    ReplyDelete
  3. khaa!
    mshamwita ndama then mnauliza anaitwaje! HUYO NDAMA

    ReplyDelete
  4. Ebwana ndo maana akaitwa
    PUNDA - MILIA, ikiwa na maana ya punda na mistari yake , yaani milia.
    Hivyo huyo sasa ndo punda mlia kamili wa kufuga na wala sio wa porini.

    ReplyDelete
  5. HABARI BAROZI WA ZAIN,aina hii ya punda inapatikana sana Congo DRC anakuwa punda mwenye rangi moja lakini hiyo mistari kama ya punga milia inakuwa sehemu ndogo sana ya mwili wake na uko Congo aina hii ya punda inaitwa OKAPI.

    ReplyDelete
  6. NDIYO TUSEME HAKO KATOTO NI HAFCAST

    ReplyDelete
  7. baba ni pundamilia na Mama ni Pundakihongwe.Hivyo mtoto aitwe Hongwemilia

    ReplyDelete
  8. NIPOINT FIVE(CHOTARA)WaKipundamilia na Farasi.

    ReplyDelete
  9. Huo mchanganyiko hauna jina la kiswahili kwani si kawaida kuonekana. Kuna mfanyabiashara mmoja mkubwa mwenye asili ya kiasia wa mjini morogoro aliwahi kuwa na punda wa namna hii,labda aulizwe walikuwa wanamwitaje!!

    ReplyDelete
  10. punda milia wa hiyo rangi anapatikana jamhuri ya democrasia ya congo tuu. anaitwa OKAPI. kama yupo tanzania itakuwa kwa mara ya kwanza duniani maana huyo punda anapatikana congo tuu. kaka michuzi chunguza.

    ReplyDelete
  11. HUYU NI ZELUZELU. NI KAMA MI NINA BINAMU ZELUZELU

    ReplyDelete
  12. Kwa kiingereza Zonkey au Zebroid/zebra mule

    ReplyDelete
  13. kuna mdau ametoa comentzzzzzzz ila huyo ni chotara na si OKAPI. OKAPI.... haishi zaidi ya congo kwa sababu maeneo hayo tu duniani ndiyo inapatikana aina fulani ya majani ambayo mnyama huyo anakula.. agalia vizuri hiyo picha si ya kuchanganya but ni real image...
    kwa picha ya okapi sahii fungua hapa....http://groinstrong.com/wp-content/uploads/2008/06/okapi.jpg
    .
    Comentzzz kama zako kwa huku kwetu kilimanjaro tunaziita (Radio THB)

    mdau Moshi

    ReplyDelete
  14. Jamani kwani mmeambiwa hii picha imechukuliwa Tanzania?

    Amesema ametumiwa sasa achunguze nini? Kama wanapatikana Congo au sijui wapi huko who cares?

    Mmeulizwa aitweje period hayo mambo mengine ya nini?

    Jifunzeni kujibu maswali kiufasaha

    ReplyDelete
  15. Aitwe Zebra the Donkey au Donkey the Zebra

    ReplyDelete
  16. DUME NANA HAPO "PUNDA" AU "PUNDAMILIA" ?

    ReplyDelete
  17. Huyu si 'mule' kweli? Ni kama hybrid ya Stallion na Donkey.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...