THE Minister for Foreign Affairs and international Co-operation, Mr. Bernard Kamillius Membe receives a present from Ms. Sarah Mucia after opening the first International Youth Conference for Australia-Tanzania young Ambassadors in Dar today.
Story and Photo By ASSAH MWAMBENE

THE Minister for Foreign Affairs and international Co-operation, Mr. Bernard Kamillius Membe (MP) has called for enhanced bilateral ties between Tanzania and Australia at the level of people to people saying any meaningful ties must trascends to the people.

Speaking at the opening ceremony of the first International Youth Conference for Australia-Tanzania young Ambassadors in Dar es Salaam yesterday, the Minister said communities between the two countries were key to the improved relations.

“Bilateral relations must not only exist between the Heads of State to heads of State, Ministers to Ministers but rather transcends to people themselves, students to students and community to community countries” he said.

He said he was also glad to note that the bilateral relations between the two countries were the relations of equals as opposed to the past when the financier or donor had to dictate the internal affairs of the receiving state.

He showered praise to the education initiatives that brought in the first International Youth Conference for Australia-Tanzania young Ambassadors in the country, saying that was a health initiative for students to learn from each other.

The Minister called on the young Ambassadors from Australia to visit as many tourism and historical sites including Ngorogoro crater, which he said is a cradle of mankind and learn more about Tanzania history.

The Minister also praised the Australian government for the financial and technical assistance in the education sector and noted with appreciation a number of the scholarships provided to Tanzanian students to study in Australia.

The opening ceremony was attended also by the Australian High Commissioner to Tanzania, based in Nairobi, Kenya, Madam Lisa Filipetto.

The 1st International Youth Conference for Australia-Tanzania young Ambassadors has been organized by the Australia-Tanzania Society to provide an opportunity for young student to learn from each others.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Jaji aonya kesi za EPA zisiwe kiini macho

    2008-12-12 13:23:44
    Na Joseph Mwendapole


    Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Kiongozi mstaafu, Amir Manento, ameitaka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP)kupeleka ushahidi madhubuti na haraka mahakamani ili kuthibitisha mashtaka ya ufisadi uliofanywa katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili kesi hizo zisionekane kuwa ni kama mchezo wa kuigiza.

    Alisema vinginevyo washitakiwa wote wanaweza kuachiwa huru na kesi hizo zinazowahusu viongozi na wafanyabiashara zikaonekana kama mchezo wa kuigiza machoni mwa jamii.

    Akizungumza kwenye hafla ya kilele cha miaka 60 ya tamko la haki za binadamu juzi, Jaji Manento alisema ushahidi huo lazima upelekwe haraka ili usaidie kufikiwa kwa maamuzi ya tuhuma hizo mapema.

    Alisema Jeshi la Polisi ambalo ndilo linahusika na upelelezi kwa kushirikiana na ofisi ya DPP wanapaswa kujizatiti kwenye ushahidi ili kinachofanyika sasa kisije kikaonekana kama kiini macho au mchezo wa kuigiza.

    ``Kupandisha watu mahakamani kisha mkakosa ushahidi wa uhakika wa kuwatia hatiani wakaachiwa huru kunaweza kuonekana kama mchezo wa kuigiza, lazima polisi na DPP wajizatiti kupeleka ushahidi wa uhakika,`` alisema Manento.

    Tayari watuhumiwa 20 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa madai ya kuhusika na wizi wa EPA. Jumla ya Sh bilioni 133 ziliibwa kilaghai katika akaunti hiyo.

    Tangu sakata la EPA liibuliwe nchini, kumekuwa na hisia tofauti miongoni mwa jamii juu ya utashi wa serikali wa kuwafikisha mahakamani wahusika wote wa wizi huo.

    Miongoni mwa hisia ambazo zimekuwa na msukumo mkubwa ni mustakabali wa kampuni ya Kagoda Agriculture Limited ambayo inatuhumiwa kujichotea kilaghai dola za Marekani milioni 30 sawa na Sh bilioni 40 kutoka EPA, lakini hadi sasa hakuna hata mtuhumiwa mmoja wa kampuni hiyo aliyefikishwa mahakamani.

    Kampuni ya Kagoda inahisiwa kuwa ndiyo muasisi wa wizi wa fedha za EPA; ikiwa imemharibia kazi Waziri wa Kwanza wa Fedha mwanamke wa Tanzania, Zakia Meghji, ambaye aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo mara tu alipounda serikali Januari 2006.

    Meghji kwa kupotoshwa na aliyekuwa gavana wa BoT, Marehemu Daudi Ballali, aliandika barua kwa kampuni ya ukaguzi ya Deloitte Dutche akitetea uchotaji wa fedha uliofanywa na Kagoda kuwa zilikuwa ni kwa masuala ya kiusalama, kabla ya kuitengua barua hiyo.

    Waziri huyo hakurejeshwa kwenye baraza la mawaziri baada ya kuundwa upya kufuatia kujiuzulu kwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutokana na sakata la Richmond.

    Awali, akihutubia wananchi katika maadhimisho ya juzi, Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, alisema serikali itaendelea kuimarisha idara ya mahakama kwa kuongeza bajeti ili ziweze kutekeleza majukumu yake kwa wakati.

    Alisema hali hiyo inaweza kusaidia kuhakikisha haki inatolewa kwa kila anayestahili.

    Akitoa salamu za Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, Kaimu Mwakilishi wa Umoja huo, Dk. Mohamed Belhocine, alisema matukio mengi ya uvunjifu wa amani yanayotokea sasa ni matokeo ya kudharauliwa kwa haki za binadamu na aliishauri serikali kutekeleza kwa vitendo maazimio na makubaliano ya mikataba ya haki za binadamu.

    Maadhimisho hayo yalitanguliwa na maandamano ya amani ambapo wananchi na wadau mbalimbali wa haki za binadamu waliandamana wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe unaopinga ongezeko la matukio ya ukandamizaji wa haki za binadamu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...