By Ayoub mzee in Washington DC
This is my journey to witness the historic moment when the First Afrcian american will be swearing in as a president of ythe US at Capital Hill.Why capital Hill?Capital Hill is a monument to the American people .Its where issues facing the nation and indeed the world are considered , debated and written into law.Its also the home to the US congress and its 2 legislative bodies, the US house of Representatives and the US senate.And the stairs you are seeing in thge photos is part of the walk that Barck Obama will take to take oarth of office on January 20 th




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. ustadhi niko njiani ni check mdau wa buss

    ReplyDelete
  2. What is it that Obama specifically promised Africans to make u this excited?

    Ambassador

    ReplyDelete
  3. Mhe. Sisi wote wa bongo labda uandike kiswahili

    ReplyDelete
  4. **will be sworn in** NOT swearing in...

    ReplyDelete
  5. Mzee Ayubu Mzee mbona kiingereza kinatutia aibu wa TZ? Kama huwezi basi ongea tu kiswahili?? Hizi lugha za watu waachie wenye nazo? Usichanganye mafuta na maji havichangamani?
    Mdau

    ReplyDelete
  6. AYOUB HAJAKOSEA KAMA MDAU ULIVYOSAHIHSHA HAPO JUU:

    "SWEARING IN" SAWA KABISA NA "SWORN IN". Tofauti yake ni kuwa la kwanza linaonyesha mtenda (Obama), wakati la pili linaonyesha mtendewa (Obama huyohuyo). Ni kuapa na kuapishwa. Kwa meneno rahisi ni kauli za kutenda na kutendewa au kutendwa. Jamani, shule gani wenzetu mmesoma hata hamjui mnachosahihisha? Aibu!

    ReplyDelete
  7. Israel
    Wewe Ayubu mtoto wa kigoma acha kuchafua lugha za watu. Wewe ni mbongo na jaribu kuwa makini tena unapokuwa unatoa taarifa toka kwa wenye lugha.Unafikiri uko Kigoma hapa?

    ReplyDelete
  8. Ningependa kusoma anavyoandika kiswahili pia. Kingereza chake ni direct translation from Kiswahili. Anajitahidi. Arab journalists are worse afadhali na Ayoub wetu.

    ReplyDelete
  9. mdau wa "what obama promised africans,,,,"
    so do I nashangaa TENA SAAAAANA yalabi sijui wazimu gani huu umeingia watu!!!
    bora wa-Tz awa wanaoweweseka na obama,KITUKO WAKENYA hahaaahahaaaa sina lugha fasaha kufafanua,yan taarifa ya jana BBC na TV newz adi kituko
    eti bibi wa obama kule kenya keshaenda piga na picha ya kuipeleka white house,,,hahahaa,afu wandugu wa obama weshajiandaa kwa safari nzito iyo kuingia white house 20 Jan,,,(apa ndo sina mbavu),afu ati wanaulizana sirikali ya kenya nani atawakilisha odinga "ambae ana undugu wa ujomba na obama",rais,waziri wa nje au ambassador,,,nilicheeeeka sana.HII KALI YA NEW YR 2009,,,
    ila kweli kila mtu na utamaduni wake,Tz,Kny,Ug,Rwn,Bur.
    ila bado tunasubiri white house watoe list ya akina nani asa ndugu wa obama uko kenya watahudhuria siku iyo,,,,hahahahaaaa hii ni siri according to msemaji uyo wa white house

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...