Hii ni foleni ya luku katika sheli ya BP ya red cross hapa dar. tanesco wametangaza kwamba huduma ya luku itasimama kwa siku kadhaa kwa sababu kibao ikiwa ni pamoja na ukarafati wa mitambo hiyo. inasemekana hakutakuwa na LUKU kwa masaa kadhaa kwa muda wa siku nne kuanzia leo. Ah, afadhali akina sie twatumia karabai na vibatali...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. KAKA MICHUZI ASANTE KUNIRUHUSU KELENDELEZA LIBENEKE LA KUPINGA UFISADI NA USENENE.

    JAMNAI HAWA MA SUPERSTAR WA RICHMOND AMBAO WANAYAFANYA MAISHA YETU MAGUMU KIASI HIKI, MBONA HAWAJAONJESHWA SEEGEREA AU KEKO

    NASHANGAA MZALENDO ANAVYOWEZA KUIFANYIA NCHI UNYAMA STAILI YA WAHESHIMIWA AMBAO NDIO WANAMILIKI RICHMOND?

    KWA NINI WAZIRI MKUU ASHIRIKI KWENYE MATESO DHIDI YA RAIA WAKE STAILI YA RICHMOND? ALAFU BADO YUKO BUNGENI

    MM NAONELEA HAWA WATU WARUDISHE HELA KWANZA KISHA WANYONGWE

    ZIDUMU FIKRA ZA MZEE WA PAMBA JK
    ZIDUMU

    KIDUMU FIRKA ZA RAIS MTARAJIWA 2015
    ZIDUMU

    ZIDUMU FIKRA ZA MAKAMU WA RAIS 2015
    ZIDUMU

    MASENENE YOTE KAMA US-BLOGGER YALAANIWE
    YALAANIWE

    MAFISADI YOTE KAMA VIJISENTI NAYO YACHAPWE MBOKO
    YACHAPWE

    MALIMBWENDE YOTE YANAYOVUNJA MAGARI YA WATU YAOMBEWE DUA MOLA AWASAIDIE
    YAOMBEWE

    MKEREKETWA, YOMBO VITUKA!!!!
    -------------------------------------------------
    Dakika 30 za Internet Café Zimekwisha

    ReplyDelete
  2. swali ni moja tu, hivi lini vitaanza kutandikwa viboko jamani?? umeme wenyewe ni asilimia 9 tu ya nchi inaupata, halafu kuupata yenyewe kwambinde kama hivi!!

    ReplyDelete
  3. Je Tunarudi kwenye enzi ya foleni za Mikate, Nyama, Sukari, Sembe, Mafuta, Petroli n.k. .... Sijui tunakoelekea... leo nimekaa kwenye foleni baada ya siku nyongi sana, imenikumbusha utoto wangu wakati nilikuwa nikitumwa kuunga foleni ya maziwa na mikate hapo kwenye raoundiabout ya DTV... Masaa tatu mpaka gari la SIHA ije... tukumbuke tulikotoka.

    ReplyDelete
  4. jamani foleni sio kitu cha ajabu, huku ulaya kupanga foleni ni kwa kila kitu cha kununua,na wala sio ajabu , na kama kuna matengenezo ni kitu cah kawaida katika teknolojia. so sio ajabu.

    ReplyDelete
  5. weweww unayesema huku ulaya uko ulaya ya wapi? Russia? Ondoka huko haraka sana

    ReplyDelete
  6. EXCUSE ME, YOU SAID TANESCO WAMETANGAZA, WAMETANGAZA WAPI??? DID YOU CHECK WITH PUBLIC RELATIONS MANANGER BEFORE MAKING SUCH STATEMENT??

    ReplyDelete
  7. Duh macho yangu au maana nimetamani kulia,bongo tambarare?watu wamechoka mpaka inatia huruma!!!
    mmmmh nitaendelea tu kubeba box period!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...