globu ya jamii inakualika kufurahia ngoma ya mganda toka kusini mwa nchi yetu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. Bro Michuzi umenikumbusha mbali kwa Ngoma hii, hii ndiyo ngoma ya kwetu,wakati natoka kufanyiwa suna mimi na mdogo wangu hapo Dar tulipigiwa ngoma hiyo.

    halafu babu alichumbia bibi kule nyasa kwa sababu ya kuwa mtaalamu wa ngoma hii.

    ReplyDelete
  2. MITHUPU UMEKOSEA BWANA NGOMA HII SI YA KUSINI BALI NGOMA HII NI KUTOKA NYANDA ZA JUU kUSINI YAANI MBEYA NA SEHEMU ZA MWAMBAO WA ZIWA NYASA.
    KULE MWAMBAO WA ZIWA NYASA INAFAHAMIKA ZAIDI KAMA MGANDA NA INAFANANA KABISA NA LIN'GOMA YA WANYAKYUSA

    ReplyDelete
  3. Natamani kama bendi zetu au wanamuziki wetu wangechukua mirindimo ya hivyo vigoma na kuvitengenezea muziki kuliko kutuibia na muziki wa kikongo

    ReplyDelete
  4. Wow Bro Michuzi umenikubusha kunyumba!!! We acha tu. Asante sana.

    ReplyDelete
  5. MIMI SIONI PICHA michuzi hii ni mara ya ngapi sijui unabandika vivuli/utupu....

    ni ngoma ya wakisi Ludewa-kando ya ziwa nyasa!!

    ni hayo tu

    ReplyDelete
  6. Kaka michuzi asante kwa kipande hiki cha ngoma ya mganda. Mimi ni mnyasa au mkisi asilia kabisa, kutoka katika ukoo wa akina Mwinuka, kumbe nilipoiangalia video hii nilifurahi sana.

    Ciao, al prossimo.

    ReplyDelete
  7. Asante sana kaka Mithupu. Leo umenikumbusha kulikuli nyumbi hii bombi hii. Yani nyumbani kabisa.
    Ngoma ya Songea hiyo na wachezaji ni very smart. Nguo na soksi nyeupe. Na huchezwa na wanaume tu.

    ReplyDelete
  8. Nimefurahi sana kwani nimekumbuka sanaaa nyumbani. Kiasi kwamba nami ilibidi nisimame na kucheza. Ngoma ya kunyumba

    ReplyDelete
  9. nimecheza sana hii ngoma

    ReplyDelete
  10. Mganda upo pia USA
    Angalia movie drumlines
    Tofauti ni matarumbeta na drums

    ReplyDelete
  11. Umenipeleka kwetu kabisa, ni miaka mingi sijaiona hii ngoma!! clip ni fupi, ahsante!!

    ReplyDelete
  12. We mtoa maoni wa pili what are you talking about? Haloooo!!! huwezi kufananisha ling'oma la mwanyakyusa na mganda wa kimanda au kinyasa.There ate two different things. Nie nimekaa saana Tukuyu nalijua saana ling'oma na vile mimi ni mmanda mwana paroji/ mwana pa machi. Mganda wa kimanda bwana mambo bila jasho wewe ni step tuuu, yaani ni hapa one step hapa, hapa two step hiyo kula mndunduuu mnduuuuu nduuu.Lakini ling'oma ni mafilimdi tuuu kudance kwa nguvu kukatita kwa nguvu majasho tele

    ReplyDelete
  13. Ngoma safi, Ila 'very poor, extremely embarrasing, disgusting Video Recording!!!), au bw. Video naye alikuwa akicheza Mganda?

    ReplyDelete
  14. YES! Hii ngoma ya kwetu! Mganda, ngoma ya bila jasho! One stepu, two stepu.....

    Asante sana Kaka Michuzi.

    ReplyDelete
  15. Mdau hapo juu nilitaka kuandika ulivyoandika watu wengi hawatofautishi ling'oma na mganda labda mambo ya uniform.

    ReplyDelete
  16. Chemi wewe ni mkisi au mmanda? Nimeshtuka unaweza kuwa ndugu yangu.

    ReplyDelete
  17. Michuzi asante saaaana kinikumbusha mbali.

    Naomba mmanda yoyote basi anayeujua umanda na asili amalizie huu wimbo tukumbushane kule ulipotoka huu mganda.
    "
    Mbereketo yakooo weeeee
    hep hep hep

    Tenga tilela malelo,
    Magunga afiya mwana, mwana ayii kuchihoro kusoko la ........ kwa basinyusi ........

    ena dadi
    ena dadi nileki
    nikandole mawu

    ena mawu
    ena mawu nileki
    nakandole mawu
    "

    msengiwili mwawalongo wangu woha,
    nenga nanjinu kuhuma kutuhi.

    ReplyDelete
  18. Kule Nyasa original tunaita Malipenga. Msiojua hii ngoma mkae pembeni. Asante kak akwa kunipeleka kule kwetu Likoma, Nkata bay, vwawa, nkhota nkhota .

    ReplyDelete
  19. Kaka Umenikuna kweli...loh!
    Aye ngoma ya kunyumba walongo wangu, nifulihi sana!

    ReplyDelete
  20. Michuzi

    Usengwili muni kutivekela kindu eke kya kunyumba (MGANDA). Nenga na Mmanda wa kuhuma kungelenge kwa Nkamanga.

    Michuzi udumu milele, kwa jinsi nilivyo furahi hadi nikaanza kusema kikwetu. Naomba safari nyingine uweke hadi magubu tuyasikie yakiongozwa na TINARA.

    Asante sana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...