nanihii akielekea kumalizia kajivekesheni kake nanihii. tupo pamoja katika libeneke

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 13, 2009

    mzee wa libeneke, papa mwenyekiti, hiyo vakesheni ni kigamboni nini. because nakaona kamnala ketu kakuongoze meli ka pale feri.
    Mdau Norway

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 13, 2009

    mh bado kidogo tu tutaona unatuletea pics za mtalaa wetu. make vekesheni zako huwa ni zake!!! mbona husemi ni wapi huko??? zenji au??

    ReplyDelete
  3. kaka hiyo ngoma hapo chini tutapona kweli ama uko lazima huende na cheti cha ndoa sehemu sehemu make inavyochezwa inanimbusha ngoma fulani ya Tanga hapo mambo ya mnazi kwa kwenda mbele.kaka lakini unafaidi mengi hapo najua ni Pweza,chuchungi na mihogo hakuna chipsi mtaani ukizoea shavu dodo, kila la heri kaa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 13, 2009

    fisadi dagaa...mambo?

    ila una mapozi ya pichazzz

    hahahahaaaaaa

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 13, 2009

    Usisahau kuagiza urojo pale forodhani! tafadhali tuweekee snaps ukifika. Nina assume ka-vacation ni unguja ama waelekea pemba?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 13, 2009

    HON.DC WA NANIHII TUPE MAVITU YA ZENJI NAKUOMBA SANAA TENA SANAA MKUU NIPATIE TASWILAZZ ZA KABURI KIKOMBE,MCHAMBA WIMA NA SEBURENI PIA PALE MALINDI ILE NYUMBA YA MZURI IKOJE KWA SASA

    ReplyDelete
  7. Thamim, Columbus, OhioJune 13, 2009

    Bado vekesheni mbili tu ili u-qualify kuwa fisadi kama wenzio akina nanihiii wa Igunga na mwenyekiti wa makampuni ya nanihii.
    Ndio maana jamaa wa JF wanakufuatilia na kutilia shaka vekesheni zako.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 13, 2009

    MICHUZI NAONA HUJAKOMA KUSEMA VIKESHENI JAMAA WAKO WA "JAMII FORUM" AKIKUONA ATAWAKA SANA NA KUKUULIZA HELA UMETOWA WAPI? SABABU BAADAE ATAKUONA UNAPIGA PICHA VIONGOZI BAADAE ATAKUONA FORODHANI UNAKULA MISHIKAKI YA CHELEWA ZA KUTI. JAMII FORUM ATAUWA HAHAHAAH! tunasubiri tuwekee picha za mitaa ya znz. MDAU PAZI.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 13, 2009

    hiiiiiiiiiiiii!!!!!Mzee wa libeneke! Umetoka kwatu!Chicha! kweli na shati jipya! vipi fulanazzz!!!!!!!iko wapi? au unaenda ukweni,tufamishane basi kama una nyumba ndogo

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 13, 2009

    Chonde Chonde babaaa!!! unataka kututia simanzini!!! Weye uliona wapi mtu anaegesha kwenye chombo ndani ya maji bila ya kuwa na life jacket!!!! Hebu rudi chomboni na acha matanuzi (dRU)

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 14, 2009

    Msiogope Michuzi akianguka majini anaogelea tu Mzee wa Pwani huyo hapo Oysterbay unaiona atakuwa sawa na kafikishwa safari yake tu. Jumbe.

    ReplyDelete
  12. sasa tutakutumia ma auditor waje kukagua nani analipia vekesheni zisizokwisha.

    isije kuwa wewe ni changu wa ufisadi na sisi tunadhani ni mwenzetu

    hahahaha!!!!

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 14, 2009

    kweli mdau umeliona hilo. Utakaaje kama hivyo chomboni bila life jacket, na maji ni manene kiasi hicho?

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 14, 2009

    Haya mzee wa mivekesheni! unabadilisha mapipa tu kama mitumbwi!!!!!!
    Hakiamama mwaka huu mpaka uishe wenye roho za nanihii watakunywa sumu wajiue kwa mivakesheni yako ya kila mwezi!!!
    Wee kula dunia ulikuwa magharibi mwezi uliopita na za upo kusini mwa dunia! Wahenga walisema" Fainali....................." I want to be like MICHUZI when I grow up?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...