mdau aliyetutumia taswira hii anatualika tuipe maelezo (caption) na kaiomba globu ya jamii itoe zawadi kwa mshindi. globu ya jamii imeafiki na inaahidi kutoa zawadi ya taswira yoyote atayotaka mdau. kikomo ch shindano hili ni ijumaa saa sita za bongo. mashindi atatajwa jumamosi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 88 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2009

    Hi,
    Hapo ni mbugani au pembeni mwa barabara ya msituni na hao Wazungu walishamwona Simba,Mmoja wao ndio huyu mdada akashuka na Toilet paper akajifanya kama anajisaidia ili kupata taswira wanayotaka na kuona Simba atafanya nini,Pia inawezekana walikuwa wanafanya Tangazo fulani,Wazungu huwa wanafanya michezo ya hatari sana,Unaweza ukatazama hata JACKASS STARS Steve O na Chris wanavyocheza na Wanyama hatari katika vipindi vya WILDBOYZ.

    acha niishie hapa,nicheki hapa na zawadi yangu hiyo
    mtoni87@hotmail.com

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 09, 2009

    NATUMAINI HAPATAKUWA NA MAJANI YA UPUPU HAPO, KWANI MUWASHO WAKE KWA HUYO BINTI UNAHITAJI SIMBA AMKUNE BARABARA KATIKA SEHEMU NYETI KAMA HIYO, NAELEWA SIMBA HATAMPARUA NA MAKUCHA YAKE, ATAMPAPASA HUYO MZUNGU ILI ALAINIKE TU NA SHUGULI IFANYIKE RASMI, KWANI BINTI WA KIZUNGU KATULIA HUKU AKIISUBIRI KWA HAMU NA STAILI YAKE, BINTI WA KIZUNGU HANA WOGA WOWOTE ANASUBIRI TU (KWAO WANAWAITA PET LION)""SIMBA HATA AWE MKALI VIPI AKIONA.........ANATULIA"""

    MDAU KUTOKA - MLANDIZI/KIBAHA

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 09, 2009

    Simba anasema; 'duh, ngoja nimwache kwanza amalize kutoa uchafu nipate nyama safiiii'

    mtoto

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 09, 2009

    Simba ananyemerea mavi ya mzungu.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 09, 2009

    Babake hii kali!! Kama ndani ya ngorongoro crater vile!! hapa mzungu alitoka mkuku hadi ndani ya gari hakuna cha kupandisha jeans wala kuchamba!! nadhani begi na toilet paper vilibaki mwituni na hakwenda choo tena mpaka aliporudi kwao!!!!

    Mdau Amerika Kaskazini

    ReplyDelete
  6. Duuh,,never seen b4..."DO NOT DISTURB" will do 4 caption

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 09, 2009

    Simba: "Wow, kaumbika...!? ..Aaargh...harufu...duh...hapafai hapa!"

    ReplyDelete
  8. Simba:Mmh si rizki hii, nikimfanyia huyu watasema ooh nimeua albino, mwache amalize shughuli yake aende zake...

    Mtasha: Mungu wangu hili basi lisije kuniacha huku porini...Nimekoma kulakula hovyo

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 09, 2009

    Msafiri akiwa ame hatarisha maisha yake kwa kujisaidia kichakani wakati simba akimnyemelea

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 09, 2009

    sijaipenda picha hii. siyo vyema kumpiga mtu picha wakati akichimba dawa. pamoja na kwamba simba yupo nyuma anamnyemelea. mpiga picha labda alitakiwa kumtahadhalisha mchimba dawa.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 09, 2009

    Unapozidiwa na haja huna muda wa kuangalia kama kuna wanyama wakali au la, kama mwanadada hapa anavyopata haja bila ya kujua kama kuna Simba jirani yake.

    ReplyDelete
  12. "TAHADHARI KWA WACHIMBA DAWA"

    kamongo@24.com
    Mdau wa TBA

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 09, 2009

    mama mzungu: "akija simba hapa nduki, sichambi...!!!"
    Simba: "kudadadeki... hawanipati... wananitega na kesi ya dili..."

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 09, 2009

    Mama mmoja msafiri wa kizungu akichimba dawa baada ya yeye kujihakikishia usalama wakati huo huo simba akishangaa yanayojiri mbele ya macho yake na hajaamua bado nini cha kufanya! - Ze mdau, Ben

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 09, 2009

    WADAU ZANZIBAR

    ANAKUNYA

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 09, 2009

    Wow I feel so good after relieving myself. To hell with all who were were looking at me.

    ReplyDelete
  17. when it comes to pee..i care less of my life !

    ReplyDelete
  18. Mzee GadiJune 09, 2009

    Ukiwa bongo, fanya kama mbongo...!

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 09, 2009

    Mtalii huyu anajisaidia, huku akitaka simba asogee karibu apate picha yake...

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 09, 2009

    "Du atapona mtu hapa kweli?"

    Mariam.

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 09, 2009

    Bad Idea!

    Mdau India

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 09, 2009

    When you gotta go you gotta go and that goes for both of them…

    Mdau India

    ReplyDelete
  23. Binadamu: "Hebu nimalize hii shughuli haraka kabla halijatokea la kutokea"

    Simba: "Mh jamani huyu ni mnyama gani tena mbona sijawahi ona tangu nizaliwe!"

    ReplyDelete
  24. AnonymousJune 09, 2009

    Baada ya kuzunguka huku na kule, dada Maggie akamuuliza yule jamaa mhuduma wa mbuga waliyefuatana naye
    `Naweza kujusaidia kidogo' akauliza
    `Hamna taabu unaweza ukashuka hapo, yule simba hana maneno keshashiba'
    Maggie bila ajizi akashuka kwenye gari nakutafuta upenyo kwani mkojoulikuwa umembana sana.
    Yule simba aliyekuwa ametulia akiwaangalia, alivuta hatua kuelekea alipojibanza Maggie,ambaye alikuwa akiendelea kujisaidia bila wasiwasi. Hali hii kidogo ilimpa wasiwasi yule mhudumu wa Mbuga, na kabla hajachukua hatua yoyote, Maggie alikuwa keshamaliza shughuli yakena kurejea garini.
    M3

    ReplyDelete
  25. AnonymousJune 09, 2009

    Tofauti na hadithi nyingi zilizopo kitaani, Wanyama wanaosemwa wakali kama Simba mara zote sivyo walivyo mpaka wapate fadhaa, mara nyingi Simba humkimbia binadamu na kumkabili pale anapokuwa anajihami. Hapa anaonekana Mtalii akichimba dawa bila hofu ya aina yoyote ile ambapo yupo pia karibu na mlinzi wa watalii anaejulikana kama scout kumdhibiti Simba huyo iwapo atajaribu kuleta madhara.

    Kwenye mbuga zetu amani tupu!

    ReplyDelete
  26. """"Hapa ni salama kujisaidia, hakuna binadamu anayeniona!!!!"""

    ReplyDelete
  27. mambo ya adobe photoshop hayo....

    ReplyDelete
  28. Kwa kawaida simba akiwa mawindoni ni lazima ajifiche, kwa kuwa anaonekana wazi basi dhahiri kuwa simba huyu si mwenye madhara. Vitu vifuatavyo vinafanya huyu dada awe salama kabisa.

    1. Mpiga picha kisha mwona simba hivyo ni wazi kuwa alikuwa akimfuatilia kwa karibu sana atamfanya nini dada

    2. Simba huyu inaoneka yupo umbali mkubwa sana toka kwa dada hii ni kutokana na uwezo wa kamera kuwa na multi-focal capacity na kuunganisha as one object.

    3. Huu pia ni mchezo kama ilivyo michezo mingine ambayo hawa jamaa hupenda kuifanya kuonesha kitu ambacho si kawaida.

    cheki link hii hapa. http://www.youtube.com/watch?v=9fOtJi8dL_8

    ReplyDelete
  29. AnonymousJune 09, 2009

    mzungu achimba dawa bongo style, baada ya kushikwa na tumbo la kuharisha na kujamba kwa sauti. sasa simba akawa anajiuliza 'huyu mnyama gani tena ananguruma na kutoa mate kuliko mimi?'
    mdau dokitari

    ReplyDelete
  30. AnonymousJune 09, 2009

    "Kama bado hajaenda haja, ataenda sasa"

    ReplyDelete
  31. AnonymousJune 09, 2009

    simba: "kudadadeki...lakini rizki ni rizki tu, ndo hali ya uchumi hiyo"

    ReplyDelete
  32. AnonymousJune 09, 2009

    "LIWALO NA LIWE"

    ReplyDelete
  33. AnonymousJune 09, 2009

    "SIMBA AOGOPA MAVI YA MZUNGU"

    ReplyDelete
  34. AnonymousJune 09, 2009

    "KUCHIMBA DAWA NA KUOGOPA SIMBA, NINI ZAIDI"

    ReplyDelete
  35. AnonymousJune 09, 2009

    "mmh chakula safi kabisa, tatizo harufu"

    mdau chiggs, deslam

    ReplyDelete
  36. TVZ KicartoonJune 09, 2009

    "A LIONESS IS GUIDING A TOURIST IN SERENGETI"

    ReplyDelete
  37. AnonymousJune 09, 2009

    Hili ni tangazo la Promotion za aina ya adventure utakazopata katika Mbuga za Wanyama wa Porini.Siyo kweli kwamba huyu Mama hakumuona Simba akiwa karibu sana na yeye.Na siyo kweli kwamba huyu Mama kweli alishikwa na Haja Kubwa au Ndogo na alishindwa kujizuia kiasi cha kuhatarisha maisha yake.Gari lake bila shaka lilikuwa karibu sana in case of anything.Lakini kwasababu tukio kama hilo la kujisidia hadharani hususan kwa Mwanamama huleta hisia nzito na ku ATTRACT A LOT OF MISGUIDED ATTENTION,maana kila mmoja atakuwa anawaza la kwake,lakini bila shaka yoyote kwa Wanaume wa Kiswahili mawazo yao hayatakuwepo kwenye Simba bali "Kule Mahala Fulani",kila mtu akijiuliza itakuwaje,je kweli Simba huyu akijongea "Atamla huyu Mama au Atakula Vituuuuz!".Ni Utundu tu wa wenzetu Watu weupe katika ku attract attention na kuweka "Historia" hata kwa mambo ambayo huku kwetu huyachukulia ni ya kipuuzi tu kumbe Kibiashara Yanalipa.Huyu Simba akijongea sana kama Mama ana uharo basi "Itakula kwake!",maana Simba naye ni hodari sana kwa majamboooz!

    ReplyDelete
  38. AnonymousJune 09, 2009

    Post Card hiyo itauza saaaana.Why?People always like the opposites!

    ReplyDelete
  39. AnonymousJune 09, 2009

    Huyu mama anaharisha kwa nguvu na kelele za mharo zikichanganya na harufu mbaya ya mavi ya huo mama zinamwogopesha huyo Simba kumsogelea.

    ReplyDelete
  40. AnonymousJune 09, 2009

    Photo shop?

    Mdau, Gezaulole.
    rdor7819@hotmail.com

    ReplyDelete
  41. AnonymousJune 09, 2009

    'maumivu ya kichwa huanza poolepolee'

    ReplyDelete
  42. Never thought there could be a peeping tom here!

    ReplyDelete
  43. AnonymousJune 09, 2009

    Simba: She is a sitting duck
    Wakatabahu

    ReplyDelete
  44. AnonymousJune 09, 2009

    Mzungu: Loh simba akitokezea nimeliwa.
    Simba: Fanya haraka mzungu nikumalize

    ReplyDelete
  45. AnonymousJune 09, 2009

    Mzungu:This roaring diarrhoea is going to kill me.
    Wakatabahu

    ReplyDelete
  46. AnonymousJune 09, 2009

    Duuuuu! huyo simba anapiga chabo akajimalize mbele.

    ReplyDelete
  47. AnonymousJune 09, 2009

    Huyu dada inawezekana anajisaidia haja ndogo au kubwa, moja. Pili, inawezekana amemaliza haja zake vizuri na akapanda gari na ndipo akaoneshwa na mpiga picha kuwa nyuma yake alikuwepo simba akimsogelea. Baada ya hapo, inawezekana amesali sana kuona ananusurika. Lakini pia inawezekana aliliwa na simba mara tu baada ya picha hii kupigwa. Kama aliokoka, hatarudia kuchafua mazingira ya hifadhi za wanyama ovyo. Asante. karagwe2005@hotmail.com

    ReplyDelete
  48. AnonymousJune 09, 2009

    Balozi wa nanihii, tunaipenda blog yetu pamoja na wewe mbuge wetu wa nanihii.

    Ila tuangalie, picha za wamatumbi tunaweza kuzichezea tutakavyo kwenye blogs zetu kwa vile baadhi yetu hatujui haki zetu pamoja na sheria zengine bado Tanzania hazijatengenezwa. Huko ughaibuni kwa "wazungu" wanajua haki zao na kufungua kesi ni "MTAJI", kuna sheria Personal Data Protection... Angalia kesi kati ya Godfrey Lawrence v. Demon Internet Limited.

    Ila idea ya vijishindano kama hivi nimeipenda, na zinapunguza stress ya maisha manake nimecheka mpaka basi. Ila kwa kuboresha naona mpaka Ijumaa comments zitakuwa nyingi. Labda utafute mshindi wa kila siku then Jmosi ndo unatafuta overall winner.

    Nawasilisha.

    ReplyDelete
  49. AnonymousJune 09, 2009

    Alizidiwa na ndio maaana hakuweza kuyaona yanayoendelea.
    Mdau MBIJE,A-Kafanabo
    e-mail:mfumuke@yahoo.com.au

    ReplyDelete
  50. AnonymousJune 09, 2009

    mambo ya photo shop hayo babu

    mdau macrol kuala lumpur

    ReplyDelete
  51. AnonymousJune 09, 2009

    "Hairuhusiwi kwenda haja ndogo/kubwa katika eneo hili....la sivyo..."

    ReplyDelete
  52. AnonymousJune 09, 2009

    hUYO DEREVA KWANINI ALISIMAMISHA GARI HAPO....NA TATIZO NI MANISPAA ZETU KWANINI WASIJENGE VYOO VYA MABARABARANI....DADA SIJAIDIE MWAE..MDAU NORWAY

    ReplyDelete
  53. AnonymousJune 09, 2009

    WADAU PICHA HII INA MAFUNZO MAKUBWA SANA PINDI TUNAPOSAFIRI NI MUHIMU SANA UNAPOSHINDWA KUJIZUIA HAJA KUBWA UKAANGALIA KWA UMAKINI ZAIDI KUANZIA WANYAMA WAKUBWA NA HATA NJOKA NA NGE KAMA WEWE UNABEBA WATALII WAKO USALAMA WAO WOTE UKO JUU YAKO NI VYEMA SANA UKAWA MSTARI WA MBELE KATIKA KULINDA USALAMA WAO NA ILI HALI YA KUNYA KICHAKANI ISITOKEE UNATAKIWA UNAPOBEBA WAGENI WAKO IWE TOKA HOTELINI AU NYUMBANI HAKIKISHA UNAULIZA KUNA YEYOTE ANAPENDA KUJISAIDIA? NA UKIFIKA SEHEMU KUNA KUNA CHOO PIA UNAWAULIZA YOTE HIYO NI KATIKA KUEPUKA HALI KAMA HIYO HAPO ISITOKEE SIO JAMBO LA UTANI NI HATARI SANA, SIMBA HUYU HAPO SURA UKIMSOMA KWA WALE WATAALAMU WA WANYAMA ANAONYESHA MSHANGAO KWANZA KASHANUSA HARUFU NA AMEGUNDUA HARUFU HII SIO YA MTU WA MAENEO HAYA HEBU NGOJA NISOGEE KARIBU NIJIONEE, SURA YA SIMBA YULE SIO YA UKALI KABISA NI YA MSHANGAO NA YUKO KATIKA MOVE YA KUSFOGEA KARIBU NA KUHAKIKISHA.
    ASANTE SANA
    KIPEPEO

    ReplyDelete
  54. AnonymousJune 09, 2009

    CAPTION. ''EWE MZEE WA MWITU ULIYE NYUMA YANGU, NAOMBA UNILINDE MPAKA NIMALIZE KUJISAIDIA, MAANA BILA HIVYO BINADAMU WANAWEZA KUTAKA KUNIKAMATA WANIFANYIE UBAZAZI WAO KAMA KUNICHUNA NGOZI , KUNIIBIA VYA MWILINI, AU WAKADHANI MIMI ALBINO NA IKAWA SHIDA. DUNIA IMEHARIBIKA, BORA NILIWE NA SIMBA KULIKO KUDHALILISHWA NA WALIMWENGU!''

    ReplyDelete
  55. AnonymousJune 09, 2009

    Mkuu wa Wilaya ya Nanihii...

    Hii picha uliyotuwekea- kama ni photoshop au la sio suala kwa sasa - ila umevuka mpaka. Huu ni udhalilishaji.

    Ukiwa muungwana na mtu responsible, nategemea utaitoa picha hii!!

    Nashangaa wachangiaji 55 (isipokuwa mmoja tu) hawajaonyeshwa kukerwa na hili.

    Mdau.

    ReplyDelete
  56. Wasiwasi wangu Nyoka bwana, akigonga deshi deshi..... watafunga wapiiii?

    ReplyDelete
  57. AnonymousJune 09, 2009

    CAPTION:
    THAT ASS IS MINE !! Just like the way I like it RARE - Not those WELL DONE black asses !!!

    Sam - ATL

    ReplyDelete
  58. AnonymousJune 09, 2009

    duuuuuu! yananukaaa! ngoja amlize ndio nimbake.

    ReplyDelete
  59. AnonymousJune 09, 2009

    ...'FEACES PASSERS WILL BE PROCECUTED BY A LIVE LION! PLEASE DO NOT TEST TO SEE IF IT IS TRUE'!

    ReplyDelete
  60. AnonymousJune 09, 2009

    Simba: Dah!, haya mapalapili vipii? waja leo watuachia janaba, Hapa sirudi baada ya wiki nne amesha-niharibia weekend nzima na baba watoto inabidi tuhamishe watoto na makazi dinner imeharibika leo, mambo yale yale wanatutega na vibomu vya machozi. Next time takuja na baba watoto tumefunga pua tukuwahi kabla hujashusha hiyo talala yako.

    au,

    Simba: Heeee Kumbe nao kama sisi, pekunduuu

    Msafiri.

    ReplyDelete
  61. AnonymousJune 09, 2009

    Simba: Kinyesi cha Mzungu Bana, kweli tofauti, Yaani nisimama hapa Nusu saa nzima na harufu haijanifikia, kingekuwa cha Ndugu zangu hapa sekunde mbili tuu hali ya hewa imechafuka.

    or

    Simba: Nashindwa Kuelewa ni kipi haswa kinatoa harufu nzuri namna hii baina ya Kinyesi au ni huyu bibi

    MSuleSule

    ReplyDelete
  62. Lion - I hate tourists! Look at that one taking a dump in my bedroom! I should set an example and make a meal out of that tourist!

    Asante kaka Michuzi, yaani nimecheka mbavu sina. Great pic!

    ReplyDelete
  63. Simba "Hao watalii watamu zaidi bila mavi yao."

    ReplyDelete
  64. GodfatherJune 09, 2009

    Nyie! Nawahakikishai kuwa huyo mzungu angemwona huyo simba, mavi/mkojo yangekauka hapo hapo!

    ReplyDelete
  65. AnonymousJune 09, 2009

    Ni photoshop tu hii. Haiwezekani kukawaa na tofauti kubwa kiasi hiki cha rangi za majani kati ya aliyopo mnyaji na Simba. Majani ya alipo simba ni ya kiangazi mno na kwa asilimia kubwa ni tofauti ya alipochuchumaa mtalii.

    Pili. Haiwezekani direction aliko simba kusiwe hata na kimti kidogo katika background. lazima kungeonekana hata vijimiti at a distance-kwani panorama ya picha ni pana mno-kurudi nyuma.
    Jamaa watakuwa weme-crop kakipande ka picha ya simba na mazigira alipokuwapo na kubandika hapo kisha wakatumia ka-wizard tool kurekebisha mambo.
    Hatuna mzungu yeyote duniani anyaye kishujaa hivi wakati simba akishangaa. Hakuna hilo.

    ReplyDelete
  66. AnonymousJune 09, 2009

    KAKA JAMAA ZAKO WAMESHINDWA KUFAHAMU KUWA HIYO NI JUST PHOTO SHOP. KIJANI AN UKAVU WAPI NA WAPI. HATA HIVYO MAONI WAMETOA YA KUTOSHA. WATANZANIA NDO MAANA WANATAWALIWA NA CCM, HATUTUMII AKILI.

    ReplyDelete
  67. AnonymousJune 10, 2009

    bwana nyie wasomi uchwara na wabeba MABOSKI acheni zenu hakuna asojua kama hiyo ni photo shop, kilichoulizwa hapo kama hamjakifahamu msijaze nafasi bure! ndomana mnafelii!
    watu hapa wanataka kufurahishana na kupunguza uchovu baada ya kazi, nyie mnayakuzaaa mnafikiri watu wote tz siku hizi mbumbumbu? nyie ndo mna akili sababu mmevuka bahari? ovyooo!
    msitukane watu kirejareja!

    ReplyDelete
  68. Nakumbusha kuwa unachotakiwa uweke ni caption.Ukweli na uongo baadae!

    ReplyDelete
  69. AnonymousJune 10, 2009

    Mwanamama akijisaidia Mbugani, bila kufahamu Hatari kubwa iliyo karibu naye,natumai alimaliza kujisaidia na kuondoka hapo salamakwa msaada wa alikuwa akichukua picha hii..Simba nae akipiga akili aanzie wapi kuhitimisha windo.

    ReplyDelete
  70. AnonymousJune 10, 2009

    wacha nile chabo, misosi baadaye.

    ReplyDelete
  71. AnonymousJune 10, 2009

    Sikupenda picha ya "live" kiasi hiki. Nafikiri Mkuu wa Wilaya ya Nanihii ungeweza kuifanyia ukarabati kidogo(ungemkata huyu dada kuanzia kiunoni kwenda juu) ili kupunguza makali. Kama huyu dada atainyaka hii anaweza kukushitaki Mkuu.

    ReplyDelete
  72. AnonymousJune 10, 2009

    Huyu Mgeni alikuwa anatembezwa katika mbuga ya wanyama ya Serengeti akitumia magari ya kampuni ya Utalii ya Arusha mara nyingi wageni wakija nchini kwetu wanapenda sana kujaribu kila chakula wakionacho katika meza walizoandaliwa.Kilichotokea pale sio mara ya kwanza kwenda kuchimba dawa karibu mara ya tatu,alipatashida sana mgeni huyu kwani alipata (Food poison)alipokuwa anakula chakula cha jioni katika hotel moja kule Manyara na asubuhi akuweza kula vizuri breakfast kwani alisumbuliwa sana na tumbo.kilichotokea pale alienda kujisaidia na kwa mbali kuna simba, unajua wazungu wanatabia hata kama kuna hatari kitu cha kwanza kukumbuka ni kupiga picha bahati nzuri kuna mmoja aliyekuwa kwenye gari alipiga kelele yule aliyekuwa anajisaidia alishutaka nakukimbilia kwenye gari.Walivyorudi hotelini mmoja aliyepiga picha alikuwa na laptop, ile picha akaiweka kwenye laptop na baadae akaweka kwenye mtandao na kuchukuliwa hiyo picha na kuwekwa kwenye michuziblog.

    ahsante
    komba Muhili,Arusha-Tanzania
    komba35@hotmail.com

    ReplyDelete
  73. AnonymousJune 10, 2009

    naungana na anonymous wa 12:28 am.hapa tunafurahishana tu baada ya uchovu wa kazi.ni brain teaser.kwani nani hajui kuwa hiyo ni photo-shop?

    ReplyDelete
  74. duh iyo ni kali tashwira maridhawa sana

    ReplyDelete
  75. AnonymousJune 10, 2009

    Lion; Nice bum!! i need visa for a tour to europe ladies public wash rooms

    ReplyDelete
  76. AnonymousJune 10, 2009

    PHOTOSHOP! PHOTOSHOP! watanzania bwana tangu mjue kuna software inaitwa photoshop basi kila kitu ni photoshop yaani nyie na akili zenu hamuwezi kutofautisha kati ya picha real na fake? mbona rahisi sana kabla hamjabwatuka na kusema photoshop angalieni mpangilio warangi najua wengi wenu hata hiyo photoshop hamjawahi kuitumia

    ReplyDelete
  77. TVZ KicartoonJune 10, 2009

    "WOW! NICE BOOTY!, I CAN'T EAT IT!"

    ReplyDelete
  78. Duh!
    imenikumbusha mbali sana,
    kipindi nikiwa na miaka kama 13, likizo moja nikiwa na babu yangu tukichunga ng'ombe porini nilibanwa na nikatafuta chaka nikamaliza shida zangu nikielekea nilikotoka.
    Baadae babu akanipa phylosopy moja kuwa unapoenda jisaidia porini, ukichuchumaa kamwe usigeuke kuangalia ulikotoka bali uchuchumae kutazama unakoelekea.
    kwambaaaaaaaaa
    huko ulikotoka ni tayari umeshapita na kuona usalama ukoje.

    kutokana na hiyo picha, mimi nakubaliana na phylosophy ya babu ingawa alisoma mpaka la kwanza la mkoloni.

    ReplyDelete
  79. serengeti nightmare but this caucasus was a survivor as the lion didn't attack during long call

    ReplyDelete
  80. AnonymousJune 10, 2009

    serengeti nightmare but this caucasus was a survivor as the lion didn't attack during long call

    ReplyDelete
  81. Simba - Mzungu huyo hana adabu kweli, anakunya sebuleni kwangu! Alaa!

    ReplyDelete
  82. AnonymousJune 11, 2009

    Hiyo inaitwa adobe fireworks.inawezekana pia ikawa ni adobe photoshop CS4.Kuna jinsi ya kupachika picha mbili tofauti na isiweze julikana kama ni picha isiyo ya kweli.

    KILIBIRDS@yahoo.com

    ReplyDelete
  83. AnonymousJune 11, 2009

    Morogoro...,
    Mtalii mmoja kutoka moja ya nchi za ulaya anatibiwa katika hospitali kuu ya mkoa wa Morogoro kwa maradhi ya mshtuko wa kupita kiasi.Hali hiyo ilimpata mtalii huyo alipokuwa katikati ya safari akitokea Mbeya kuelekea Dar-es-salam jana mchana.Chanzo cha habari kinasema kuwa, mtalii huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja,alipatwa na mkasa huo baada ya kumaliza kujisaidia katikati ya mbuga ya mikumi na kugundua kuwa, hatua chache kutoka alipokuwa,kulikuwa na simba jike aliyekuwa amejipumzisha.
    Tutaendelea kuwataarifu kwa kadiri tutavyopata taarifa zaidi.
    SHESHE.

    ReplyDelete
  84. AnonymousJune 11, 2009

    Simba: "...nilidhani yatafanana na rangi yao...kumbe wote sawa tu, duh!
    Sasa ni kumfanyizia tu"

    ReplyDelete
  85. AnonymousJune 11, 2009

    Best Caption:

    Athari ya 'Kuchimba dawa' katika safari za mikoani Tanzania.

    ReplyDelete
  86. AnonymousJune 11, 2009

    This means that what you are not awear of never bothers you!!!{In Swahili we say Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza}

    ReplyDelete
  87. AnonymousJune 11, 2009

    The lady's side seems to say,What you are not aware of never bothers you...In Swahili meaning Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza but on the lion's side he is carefully moving to catch meat.What a lucky day for the king of the jungle!!!Unalala maskini Unaamka tajiri.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...