wadau kunradhi,
kuna hili libeneke jipya la twitter ambapo ukijunga unakuwa umejitengenezea kaglobu kako ka mawasiliano ya papo kwa papo na wadau wengine. mie tayari menba na nawakaribisha wadau mjiunge. ni libeneke la kisasa na watu mashuhuri kama vile obama wamo.
nenda
kisha fuata maelekezo. ni simpo kichizi
sasa michuzi kwa kuwa umejiunga basi ungeweka link watu tuweze kuku follow.
ReplyDeleteplease you can follow my updates too, kupitia http://www.twitter.com/reedzsolution
karibuni katika twitter updates.
hili kweli libeneke jipya,nimechungulia nimewaona pia ffu!? nao wamo! itabidi nami nijiunge leo.asante sana Misupu mzee wa libeneke
ReplyDeleteur late!ndo leo waijua twitter,,
ReplyDeleteTwitter is not for everybody...soma ijue kwanza kabla haujajiunga
ReplyDeletekwani reference adi iwe obama???
ReplyDeleteso what that twita twita sijui
aaagh
mbona umechelewa mzee?
ReplyDeletetutembelee na sisi basi!
HATA OBAMA YUPO.....so what? Grow up!
ReplyDeleteYAANI TWITTER HUKU IMESHAKUWA NI KITU YA ZAMANI HADI MTOTO WA PRIMARY ANAYO SASA HUKO NDO MNATANGAZIANA LEO, NDO DAR TAMBARARE HIVYO?
ReplyDeletehuku kila mtru anayo, yoyote yule unayemjuwa wewe hapa duniani mtu maarafu anayo na unaweza kuchat nao kuamzia akina MADONNA, BEYONCE HATA OBAMA
ReplyDeletenendeni zenu nyinyi mnaoshangaa, kwani ni vitu vingapi ambavyo viko huko na ni vya kawaida kabisa lakini huku bongo havijafika? acheni kujishaua na ushamba wa kuwa nchi za wageni na kudharau kwenu,..mkataa kwao ni mtumwa..mngeeleza tu umuhimu,uzuri au ubaya wa hicho kitu kwa kuwa nyie tayari mnacho na mnakifahamu..sio " ooh, mmechelewa, ndo mnajua leo, hicho kitu hata mtoto wa nursery huku anacho" OVYOOO!
ReplyDeleteI second you mdau June 22, 2009 2:57 PM. Twitter sio kwa ajili ya kila mtu. Uzungu usitutawale sana, haya mapinduzi ya mtandao yasitupotezee muda wa kujituma makazini na katika shughuli za kila siku, mtaishia kuwa mafollowers tu, by the way who will be interested in knowing what r u doing now, yes you... tena wewe, ulieko mabonde poromoka...tuwaache wapambe wa kina tom cruise waangalie na kufatilia maisha ya macelebroty yao...? I've never come accross such a selfish idea in my life kama twittter...A simple sms wil do the job, mpaka niwashe pc nilog in, ndio nikuulize tena kwa 140 characters?? aah wapi, wadau endeleeni tu na mapinduzi yenu, bora niende library kuazima kitabu nikasoma nijiendeleze elimu yangu kuliko kuspend time kufatilia maisha ya kina so called "OBAMA", sijui blaah blah...
ReplyDeleteMuda tunaotumia kwenye social networking ungetumika katika mambo ya maana ingekuwa ni jambo la mbolea sana...watu mpaka kazini wanaibia muda wanaolipwa kwa kutandawika na mablog sijui SN....Wazungu utamaduni wao umezungukwa na u-mimi, ndio maana social networking sites zinakuwa kwa kasi,na ni media power, inatengeneza upuuzi huu kwa watu, wakati wengine wanakuwa mabilionea, can u imagine mark zuckerberg- eti sasa hivi bilionea... na watu tunamtazama tu, na kupoteza muda kuspend time sehem ambayo muda wetu anauuza... Someni terms na condition za FB ndio mtaelewa nazungumza nini....Yes natumia FB kwa matumizi ya nadra sana, hasa kuwasiliana na nisioweza kuwapata kungine.. lakini kuna watu wanaupdate facebook ac zao kila saa, picha kede kede, hawajui kama fb wanauza sura zenu na info.. halaf mnashangaa spam emails zinapotoka... wazungu wanazipapatikia social networking sites kwasababu they r too selfish to interact...Maskani zimejaa kibao, vibaraza vipo tele, who will care kukaa mbele ya kioo kuulizana unafanya nini, wakati ukigeuka kushoto jirani kakusabahi, ukigeuka kulia unaona watoto wanacheza mdako, yaani africa yetu hii ni raha tupu kwa swala zima la kujichanganya, tunapendana, tunajaliana, tunasalimiana kila mahali (isipokuwa wachache wenye vijiba na maradhi ya roho)....Mizungu ni ndani tu na kazi... sana itaenda pub kulewa...
#
#
Mdauz
Mdau hapo juu umenikosha sana. Naungana na wewe kabisa. Tanzanians tuamke,sio kuregister tu kwenye kila blog as if hakuna vitu vingine vya maana vya kufanya. FB,myspace,twitter etc. Ni kweli tunafaidika? Umeme wenyewe issue. Utakuta mtoto kapata hela ya nusu saa kwenye internet cafe anahangaika na FB badala ya kucheki mambo ya academics au walau hata world news. Mnatafuta wachumba?
ReplyDeleteMdau shukran kwa taarifa, Hao wanaokandia kwanini hawakutueleza habari hii mapema. na waseme ubaya wake.
ReplyDeleteMI NDO NISHAJIUNGA TENA.
Using Twitter is going to change the way you think about staying in touch with friends and family. Did you know you can send and receive Twitter updates via mobile texting or the web? To do that, you'll want to visit your settings page (and you'll want to invite some friends).
Activate Phone: http://twitter.com/devices
Invite Your Friends: http://twitter.com/invite
The New York Times calls Twitter "one of the fastest-growing phenomena on the Internet." TIME Magazine says, "Twitter is on its way to becoming the next killer app," and Newsweek noted that "Suddenly, it seems as though all the world's a-twitter." What will you think? http://twitter.com
khaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteannon 7.21pm