wadau kunradhi,
kuna hili libeneke jipya la twitter ambapo ukijunga unakuwa umejitengenezea kaglobu kako ka mawasiliano ya papo kwa papo na wadau wengine. mie tayari menba na nawakaribisha wadau mjiunge. ni libeneke la kisasa na watu mashuhuri kama vile obama wamo.
nenda
kisha fuata maelekezo. ni simpo kichizi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2009

    sasa michuzi kwa kuwa umejiunga basi ungeweka link watu tuweze kuku follow.

    please you can follow my updates too, kupitia http://www.twitter.com/reedzsolution

    karibuni katika twitter updates.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 22, 2009

    hili kweli libeneke jipya,nimechungulia nimewaona pia ffu!? nao wamo! itabidi nami nijiunge leo.asante sana Misupu mzee wa libeneke

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 22, 2009

    ur late!ndo leo waijua twitter,,

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 22, 2009

    Twitter is not for everybody...soma ijue kwanza kabla haujajiunga

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 22, 2009

    kwani reference adi iwe obama???

    so what that twita twita sijui

    aaagh

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 22, 2009

    mbona umechelewa mzee?
    tutembelee na sisi basi!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 22, 2009

    HATA OBAMA YUPO.....so what? Grow up!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 22, 2009

    YAANI TWITTER HUKU IMESHAKUWA NI KITU YA ZAMANI HADI MTOTO WA PRIMARY ANAYO SASA HUKO NDO MNATANGAZIANA LEO, NDO DAR TAMBARARE HIVYO?

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 22, 2009

    huku kila mtru anayo, yoyote yule unayemjuwa wewe hapa duniani mtu maarafu anayo na unaweza kuchat nao kuamzia akina MADONNA, BEYONCE HATA OBAMA

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 22, 2009

    nendeni zenu nyinyi mnaoshangaa, kwani ni vitu vingapi ambavyo viko huko na ni vya kawaida kabisa lakini huku bongo havijafika? acheni kujishaua na ushamba wa kuwa nchi za wageni na kudharau kwenu,..mkataa kwao ni mtumwa..mngeeleza tu umuhimu,uzuri au ubaya wa hicho kitu kwa kuwa nyie tayari mnacho na mnakifahamu..sio " ooh, mmechelewa, ndo mnajua leo, hicho kitu hata mtoto wa nursery huku anacho" OVYOOO!

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 22, 2009

    I second you mdau June 22, 2009 2:57 PM. Twitter sio kwa ajili ya kila mtu. Uzungu usitutawale sana, haya mapinduzi ya mtandao yasitupotezee muda wa kujituma makazini na katika shughuli za kila siku, mtaishia kuwa mafollowers tu, by the way who will be interested in knowing what r u doing now, yes you... tena wewe, ulieko mabonde poromoka...tuwaache wapambe wa kina tom cruise waangalie na kufatilia maisha ya macelebroty yao...? I've never come accross such a selfish idea in my life kama twittter...A simple sms wil do the job, mpaka niwashe pc nilog in, ndio nikuulize tena kwa 140 characters?? aah wapi, wadau endeleeni tu na mapinduzi yenu, bora niende library kuazima kitabu nikasoma nijiendeleze elimu yangu kuliko kuspend time kufatilia maisha ya kina so called "OBAMA", sijui blaah blah...
    Muda tunaotumia kwenye social networking ungetumika katika mambo ya maana ingekuwa ni jambo la mbolea sana...watu mpaka kazini wanaibia muda wanaolipwa kwa kutandawika na mablog sijui SN....Wazungu utamaduni wao umezungukwa na u-mimi, ndio maana social networking sites zinakuwa kwa kasi,na ni media power, inatengeneza upuuzi huu kwa watu, wakati wengine wanakuwa mabilionea, can u imagine mark zuckerberg- eti sasa hivi bilionea... na watu tunamtazama tu, na kupoteza muda kuspend time sehem ambayo muda wetu anauuza... Someni terms na condition za FB ndio mtaelewa nazungumza nini....Yes natumia FB kwa matumizi ya nadra sana, hasa kuwasiliana na nisioweza kuwapata kungine.. lakini kuna watu wanaupdate facebook ac zao kila saa, picha kede kede, hawajui kama fb wanauza sura zenu na info.. halaf mnashangaa spam emails zinapotoka... wazungu wanazipapatikia social networking sites kwasababu they r too selfish to interact...Maskani zimejaa kibao, vibaraza vipo tele, who will care kukaa mbele ya kioo kuulizana unafanya nini, wakati ukigeuka kushoto jirani kakusabahi, ukigeuka kulia unaona watoto wanacheza mdako, yaani africa yetu hii ni raha tupu kwa swala zima la kujichanganya, tunapendana, tunajaliana, tunasalimiana kila mahali (isipokuwa wachache wenye vijiba na maradhi ya roho)....Mizungu ni ndani tu na kazi... sana itaenda pub kulewa...
    #
    #
    Mdauz

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 23, 2009

    Mdau hapo juu umenikosha sana. Naungana na wewe kabisa. Tanzanians tuamke,sio kuregister tu kwenye kila blog as if hakuna vitu vingine vya maana vya kufanya. FB,myspace,twitter etc. Ni kweli tunafaidika? Umeme wenyewe issue. Utakuta mtoto kapata hela ya nusu saa kwenye internet cafe anahangaika na FB badala ya kucheki mambo ya academics au walau hata world news. Mnatafuta wachumba?

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 23, 2009

    Mdau shukran kwa taarifa, Hao wanaokandia kwanini hawakutueleza habari hii mapema. na waseme ubaya wake.
    MI NDO NISHAJIUNGA TENA.


    Using Twitter is going to change the way you think about staying in touch with friends and family. Did you know you can send and receive Twitter updates via mobile texting or the web? To do that, you'll want to visit your settings page (and you'll want to invite some friends).

    Activate Phone: http://twitter.com/devices
    Invite Your Friends: http://twitter.com/invite
    The New York Times calls Twitter "one of the fastest-growing phenomena on the Internet." TIME Magazine says, "Twitter is on its way to becoming the next killer app," and Newsweek noted that "Suddenly, it seems as though all the world's a-twitter." What will you think? http://twitter.com

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 23, 2009

    khaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    annon 7.21pm

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...