Mdau mkuu wa Libeneke na nanihii
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT "THE SMART CHOICE" Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Ila nawaomba tuweze kujieshimu kila mmoja wetu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya globu ya jamii, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoeleza vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.





 

Thursday, July 23, 2009
JK azindua kituo cha mkongo wa fibre optic wa seacom leo
JK akiwa na Waziri wa Sayansi na Teknolojia profesa Peter Msolla (mbele kulia) na katika picha ya pamoja na wakuu wa Seacom Tanzania baada ya kuzindua rasmi Mkongo wa mawasiliano (marine fibre optic cable) kwenye stesheni ya Seacom maeneo ya Siversands jijini Dar muda huu

 
© Michuzi | Thursday, July 23, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako |


Maoni: 10


  • Tarehe Thu Jul 23, 05:52:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    Hebu waekee wabongo pia waone hii. Msije mkaweka hela kwenye vibank uchwa huko vijijini


    http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8164842.stm


    Sad sad sad

     
  • Tarehe Thu Jul 23, 05:56:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    Asanteni sana kwa huo mkonga. Sasa kutandaza fibre-optic cables kwenye miji mbalimbali tunaanza lini? Manake kuwa na inter-country connection wakati within the country hatuna connection nzuri bado gharama zitakuwa juu na kwa maoni yangu tutakuwa tuna-under utilise capacity ya hiyo under sea cable. For the moment, well done! For the future, we have to work had!
    Mdau,
    Gothenburg,
    Sweden

     
  • Tarehe Thu Jul 23, 07:55:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    Inawezekana huyu ndugu mfupi wa kushoto anaitwa Ngonyani? nilisoma na mtu ambae amefanana sana nae.
    Vile Vile tulifanya kazi pamoja Chuo cha Kilimo Morogoro

     
  • Tarehe Thu Jul 23, 10:10:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    weka japo karamani ka cable netwok!
    http://www.francetelecom.com/en_EN/finance/news/cp090609en.jsp

    http://manypossibilities.net/african-undersea-cables/

     
  • Tarehe Thu Jul 23, 11:37:00 PM, Mtoa Maoni: Blogger ICT 255

    Mdau uliyetupa link ya bbc news asante sana, sasa swali ni moja tu, serekali ya uganda ilikuwa wapi, watu hawa kufanya shughuli zao kwa miezi miwili bila kugundulika kama ni matapeli!?? inasikitisha sana wameibia wananchi masikini kabisa wa vijijini, Mungu atawalipa mali zao inshaallah.

     
  • Tarehe Fri Jul 24, 12:32:00 AM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    vipi mbona wadau wetu akina web designer eng,networking eng,na yule mdau wa Phd pale geneva,na wadau wengineo porthmouth UK na pale yule dada wa pale Germany.amtoi coment zenu.
    Mdau-Viena

     
  • Tarehe Fri Jul 24, 08:59:00 AM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    we! mdau. Huyo ni Sir. G. Kahama sio huyo uliyesoma nae..

     
  • Tarehe Fri Jul 24, 10:07:00 AM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    Sasa angalau Tanzania itasogea, maana tulikuwa nyuma mno, Ila naomba serikali ihamasishe wadau kuchangamkia fursa za mradi huu. Nawasilisha

     
  • Tarehe Fri Jul 24, 05:51:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    hotuba yenyewe tu JK asoma kwa kiinglishi mdau 10:07am nani sasa aelewe?

    chonde umeme na miundombinu ya bongo

    ..Sir?????...wee annon fafanua

    aibu tupu

     
  • Tarehe Fri Aug 28, 12:48:00 AM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    Sorry Guys My swahili is not all that good. and my comment is a bit too late. My point is this when SEACOM finally brought the fibre optic connectivity to Tanzania, every one got exited, especially those who live abroad, who wants to do business in East Africa and the rest of Africa. SEACOM promised high speed broadband connectivity, I was when I spoke to one of the guys who is running an internet cafe in Dar es salaam, I was told that the average internet user or a home user is still limited to 512kbs now that is what I call dark ages what can you do with 512kbs. The minimum should be 2MB.

    The question is when will a home user get to this level?

     


Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker