Redio mbao zinasema Wema Sepetu huenda ndio
atatuwakilisha kwenye Big Brother Africa IV
Nyota wa filamu bongo Steve kanumba akiwa ndani ya jumba la Bib Brother Africa IV leo akiwa kama Starmate ama mkaazi nyota wa jumba hilo, akiwa na baadhi ya washiriki halisi kadhaa ambao wote ni wanaume. Jumapili kundi la wasichana litaingia jumbani humo na redio mbao zinadatisha kwamba moja wa hao kinadada atakuwa mmbongo. chini ni sehemu ya hilo jumba




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 85 mpaka sasa

  1. Bwana mithupu,ametesa nini na ze english not reachable anacheka cheka tu hovyo hata hailewi wenzie wanacheka nini?

    ReplyDelete
  2. Jamani Kanumba kajitahidi alisoma wakati no st.school enzi hizo so nampa big up Kanumba mwaya achana na wabeba mabox!

    ReplyDelete
  3. Anko nanihii, naomba usiibane hii comment, Jana nilikuwa naangalia hiyo Big Brother, Kwakeli Kanumba alituangusha sana kwenye kuongea kiingereza, yaani hadi aibu, Kila swali aliloulizwa na Big Brother yeye anajifanya ajasikia vizuri, na mbaya zaidi hata kusema rudia swali hawezi, yeye ni ehe!, na alikuwa anacheka tu hata pasipo na sababu ya kucheka

    ReplyDelete
  4. ngonolists......poa wakamue sana haooo...watamu saaana

    ReplyDelete
  5. msimu wa kuonesha nyuchi unawadia

    ReplyDelete
  6. mdau sijakusoma vizuri hapo ,,inamaana hizo picha umepiga kwenye tv yako leo hii????
    inamaa jamaa toka jana hajabaddilisha nguo???

    unamaanisha nini unaposema anatesa wakati haongei kitu chochote cha maana,,
    english kwake ni tatizo kubwa ,,alipoitwa na Big brother ktk diary room alikuwa anajiuma sana ,mpaka mamam wa watu anacheka a,aibu tupu kujionyesha mbele ya watu eti huyo kaendas kutuwakilishia ma celebrity wa bongo ,kwa kweli kama uliangalia jana the show utakubaliana na mimi lakini kama wewe ni shabiki tu wa kawaida ilimradi umeona kuwa jamaa kaonekana the all afreica na duniani basi ur right ,
    kama mtu hajui nini anaulizwa kwa just a simle english anajing;ata ng'ata tu ,kwa kweli nilijisikia aibu sana ,na ikabidi nibadilishe channel kila inapofika zamu yake kuongea especial kwenye dinner table pale ,
    folk kushika mzozoz ,jamani jamani
    GOD BLESS TANZANIA GOD BLESS TOLLYWOOD ARTISTS

    MDAU

    awadhi
    DAR

    ReplyDelete
  7. Jamani kwa yaliyotokea jana kwa Kanumba kushindwa hata kuelewa maswali ya kiingereza, ni bora tuwachukue tu hao vijana/mabinti wa Masaki, Oysterbay bin Mbezi Beach kama sio Upanga. Duuuuhhh...!!! That aibu, I don't wish kuipata as Mtanzania anymore. Ya jana inatosha...!!!

    Tusilete u-mkoa hapa, leteni watu wanajua ngeli, wana-exposure ya kutosha, that's what we need kwa mwakilishi wa nchi yetu kwenye BBA. Hakuna Taasisi ya Kiswahili kule, huwezi ongea lugha yako mle ndani, you have to be an entertainer, watu hawaangalii sura au umetoka wapi, wanaangalia how you entertain them na hata IQ + exposure yako. Sasa unamtoa mtu kama Kanumba ambaye even a single word like "strategy" linampa shida na kuishia kudai kuwa ni complex word...!!!...!! Then ndio ulete mtu katoka huko Bush anajua kilugha chao na kiswahili, kiingereza cha kuunga....!!!

    Let's be realistic..!!!

    ReplyDelete
  8. Kaka michuzi kweli hii inaonesha ni jinsi gani watanzania tu wavivu wa fikira; lugha yetu ya Taifa ni kiswahili kwa hiyo kanumba kutokujua kingereza sio ishu.huu ni wivu tu kwani mataifa mangapi raia wake hawajui kingereza na wanawasiliana na ulimwengu pia wanafanya biashara kubwa na kingereza chao cha kuchechemea? Mfano wachina, wahindi n.k. Kwani walemavu(bubu) mbona huwasiliana na mwisho wa siku watu huelewana? Mi naona cha msingi ni kuelewana mwisho wa siku.Mtu anayemponda Kanumba naye wawezakukuta kingereza kinamgonga.Big up Kanumba.

    ReplyDelete
  9. Watu wengine bwana eti Kanumba hajui kiingereza! kwani kiingereza si ni lugha tu ya kawaida kama kilivyo kichina,kijita, kihaya, kigogo n.k hahahahaaaaaaaaa! Utumwa wa akili kweli kazi

    ReplyDelete
  10. si mpenzi sana wa mambo hayo...lakin watanzania tuache majungu jamaa...kiingereza ni lkugha tu...si kitu cha ajbu...tumcheke kama hajui kiswahili ...sio cha watu....jaman tupende vya kwetu....mi nipo huku nabeba box...hakuna mtu bora na vitu bora kuliko vya kwetu jamaa ..tusishobeke.....ANELKA mcheza mpira yupo uk toka an miak 17 mpaka sasa ana 31..bado anjiumauma sembuese kanumba...tuache uzembe...tusiongee ili tufurahishe baraza...tuchangie ya maana tujenge jamaa....WANGU MTAZAMO TU WAOSHA VINYWA MSIJENGE CHUKI

    ReplyDelete
  11. jamani mambo mengine ni bora kuelimishana, sasa kama mtu kachemsha au amekosea asiambiwe? Kanumba kweli lugha mzozo, na sio mtu mzima hivyo, yeye ni yankee, yani kijana mdogo anaakiwa kujua international languages hasa kiingereza. Na hatuwezi kufananisha kiswahili na kichina au sijui kijapani, wenzetu wameendelea sana na hata wana-program vitu vyao kwenye lugha yao, wabongo bado sana, na mpaka kufikia huko sijui miaka mingapi ijayo

    ReplyDelete
  12. Jamani huyu kanumba kama ni celebrity kama anavyojiita basi at least ajifunze lugha, halafu awe na uelewa wa mambo ambayo ni basic. Hata kama akijibu swali basi ajibu sahihi hata kama kiingereza ni kibovu. yaani jana niliboreka mpaka basi, kwa kifupi niliona aibu sana, nilikuwa na washkaji wawili wakenya na mmoja mganda na mwingine mnamibia, nilijiona mimi m-tz ndo naabika na wala si kanumba. sasa nashindwa kuelewa kama alikuwa haelewi kabisa kingereza au alikuwa hajui cha kujibu? mi namshauri kanumba na wenzake wakina kigosi watumie nafasi waliyonayo kujiendeleza kidogo at least wasiwe wanatuaibisha kila siku. Ni hayo tu kaka michuzi na wadau wengine hapo juu.

    ReplyDelete
  13. ujanja wa kanumba ni kuigiza kwa lugha ya kiswahili tu nasio kuongea kingereza.

    bwana unatutia aibu Watanzania

    ReplyDelete
  14. kwa anaye mtetea Kanumba kuhusu kuto kujua kingereza ni mjinga. Kama msanii nilazima aweze kuwa na kingereza hata cha kuombea maji na kama aelewi mtu anaposema kitu sio kucheka, anatakiwa kuuliza.

    kama kwe kanumba anataka kwenda Hollywood basi anatakiwa ku-rise his game in language ili Director and other crew member wa mwelewe anapo pewa maagizo ya nini cha kufanya.

    so Kanumba nenda English couse pale St ann Kimara.

    ReplyDelete
  15. Mkuu Michu hebu tuwekee hiyo clip ya kijana wetu, kiingereza si lazima lakini kama ndio lugha inayotumika basi hao waliompeleka wangetuma na mkalimani!

    ReplyDelete
  16. Hamna utumwa wa akili,kutokujua kiingereza si kosa ila ya nini kwenda kurepresent TZ wakati hujui lugha ya mawasiliano uendapo.Tena kanumba is innocent yeye alitaka kuonekana tu huko blame it on wahusika waloruhusu aende

    ReplyDelete
  17. sikupata nafasi ya kuangalia nini kiliendelea coz niko nje ya nchi ila kutokana na majority ya comments zilizo tolewa inaonyesha ni jinsi gani Tanzania tumeaibika sasa kama hajui lugha mbona kwenye movie wanajianya wanakiongea sana kiingereza ?
    simpondi kwasababu hakuna mtu anajua kilakitu lakini nashauri awe kama yeye kama movie ni ya kingereza aongee kingereza na kama niya kiswahili aongee kiswahili..

    ReplyDelete
  18. Jamani mbona wa TZ hamjiamini? kwani Inglishi ni nini?
    Kwa mtu kama Kanumba aliye soma Jitegee or sijui Makongo kwa ujielezaji alio jieleza juzi ni kajitahidi sana , kwakweli nampa hongera sana ka kusingatia Inglish ni lugha ya pili na hajasoma hivyo viji accademy vyenu.
    Kujua KIngereza kama second language ni kitu kiumu haswa unapo sima lugha ukiwa ume shapita miaka 15 , ina bidi uwe mdadisi zaidi ili uweze kuimaster lugha mpya .
    Wengi wetu hatuwezi kuwa fluent in Inglish sababu shule tulizo soma tume soma Kingereza tukiwa akubwa , pale tunapo ingia secondari, Elimu ya Msingi kwa kingereza peke ni ngumu sana kuweza ku ongea lugha iyo, wengi tuna uwezo mkubwa wa kuisikia ila kuiongea ni ngumu.

    Nashnidwa kuwaelewa kanini mnaona ni jambo la aibu kutojua Kingereza , mbona Mshiriki wa Angola alikuwa ana vunja kiingereza vibaya sana na Mbaka Richard alikuwa ana mcheka live ,lakini hatukusema kitu .

    Hongera kanumba , wewe ni a victim wa mfumo wa elimu wa Tanzania , sio kosa lako.

    ReplyDelete
  19. Tuwache masihara english ni muhimu,fikilia kama ungekuwa wewe ndio umo ndani ya jumba lile ungejisikiaje?kama tuna lugha yetu ya kiswahili kila nchi inalunga yake!!Mizengo yuko Korea kuomba Michuzi anaongea Kiswahili kule?Eti ni lugha kama lugha nyingine what?????

    ReplyDelete
  20. Nyie anoni wa sept7, 5:33PM na 6:23PM hamna tofauti na huyo Kanumba wenu, tumuonee wivu kwa kitu gani alichonacho, acheni ujinga na ubabaishaji hapa. Issue pekee sio lugha kwa Kanumba ni upeo wake wa kuelewa mambo pia ni mbovu, hana idea na lolote, jamaa has no clue na hata mambo ya kawaida tu yaani yupo kwenye giza, sasa nyie mnaosema eti asiambiwe ni wivu what exactly is your point here, wivu na mtu hata general knowledge tu hana wapi na wapi bwana, acheni tabia ya kuwapamba hawa mastaa wa bongo ni kuwajaza ujinga, wanabidi wafanye kazi kweli kweli, na huyo mwingine hapo juu anaedai eti TZ lugha yetu si English kwa hiyo watu waridhike ridhike tu nakuonea huruma na wewe, ni juzi tu nilitoa comment kuhusu topic ya Ray na blog yake kuwa wasanii wa bongo bado wanahitaji lugha ya kiingereza ili ku exhale kwenye mambo yao ya usanii, watu wakaponda, leo angalieni aibu anayowapa huyo kanumba wenu, ndio haya mambo yanayozungumziwa kila siku na nyie kazi yenu kutetea ujinga, it's an embarassment to TZ na hatutaki kutiwa aibu na watu kama kina kanumba eti kwa kuwa ni mastaa wakati kuna watu wenye better profile hapo hapo bongo.
    -Mdau Mnoko.

    ReplyDelete
  21. TVZ KicartoonSeptember 08, 2009

    Inasikitisha kuona kuwa ishu kubwa sana kanumba kuongea broken english, tumesahau kuwa mpaka hii leo si watanzania wote wenye uwezo au wanaopata bahati ya kusoma au kusomesha watoto wao shule za international au academy sijui, asilimia kubwa wanaishia kusoma shule za serikali ambazo hazitilii mkazo somo la kiingereza kwa elimu ya msingi hivyo mwanafunzi anapoingia secondary anaona kichina tu sababu masomo yote ni kiingereza, na muda wote anakuwa busy kukrem masomo mengine kama biology, chemi, commerse, Geo na mengine ili kuokoa maksi darasani na haoni umuhimu wa lugha ya kiingereza kwa sababu pengine haipo kwenye combination yake.
    Hivyo nyie mliotiwa aibu kwa hilo naomba mfanye la maana kwa kufuatilia wizara ya elimu na kuujadili mfumo mzima wa elimu tanzania na jinsi gani mnaweza kusaidia tatizo hili la wanafunzi kumaliza secondary na kushindwa kuongea kiingereza. hivi kweli ninyi na akili zenu mnataka kufananisha aliyesoma olympio, st. constatine, almuntazir academy na aliyesoma mchikichini, lumumba na vijijini?! au mnataka kama mtu hajasoma hajui kiingereza basi ajiweke nyuma kimaendeleo na kuwaachieni ninyi nafasi ya kila jambo?!
    Kama kweli ni aibu basi si ya kanumba pekeyake ni ya serikali na wizara husika ambayo ni wizara ya elimu tanzania.
    Mwisho kuna marais, wafalme, matajiri na viongozi wengine (ambao wengine wao wanajua kiingereza na wengine hawajui au wana broken na wao) wakitembelea nchi nyingine wanaona fahari kuongea lugha zao kwa ufasaha na kuwekewa wakalimani kuliko kuongea kiingereza.
    Mkataa asili Mtumwa!

    ReplyDelete
  22. Nakubaliana na anon wa Sep 08, 12:16:00 AM kwa asilimia 99% ukiachia mbali kuchapia kwenye "exhale" badala ya "excel"

    ReplyDelete
  23. Teh Teh Teh Teh kumbe Brad Pitt wa bongo a.k.a Kanumba ngeli ni ney , ubao mweupe chaki nyeupe anaongea kama maimuna kidhungu kimeenda Holiday duh si mchezo sasa mkuu kama hata Basic English inakushinda halafu unataka wakija kama walivyokuja kina Glover ukutanishwe nao utazungumza nao nini mpaka wakuelewe? mie ushauri wangu ninaokupa wa kutokuvunja moyo ukirudi bora uende sinza kuna vijishule kibao vya English course vinaweza kukutoa kidogo sio baraka ya kujipaka mapoda tu. mmhh lakini afadhali ya wewe kidogo kuliko huyo Denzel Washington wa bongo a.k.a Ray.

    ReplyDelete
  24. Ndio! kiingereza ni lugha, ila isiyoweza -linganishwa na labda Kijita isipokuwa labda pale ambapo vibaka wamekutenda wakati una-stroll mjini Musoma na wataka kugumia “mwiviii”. Kambarage alinena haswaa: "kiingereza ni kiswahili cha Dunia"..haya ya kusoma Makongo ama Jitegemee si hoja..Hoja ni kujua kuwa bila kiingereza, yeyote ambaye ana mtazamo wa kutoka nje ya mipaka ya Bongo hatafika mbali. Pia hamna ubishi kuwa kiingereza kinahodhi hazina kubwa ya namna ya kuelewa na pia kuelezea maarifa na mawazo yanayoendana na wakati wetu..nilibahatika kuona kipande kidogo wakati Kanumba yupo mjengoni leo..mmnh, kabofoa kitu! yaani aibu iliyoje!..mfano alipoamua kugawa vivazi ikiwa pamoja na shati lake la pinki (la pinki, mbona kazi!!??), akaviita viwalo vyake hivyo ati 'costumes'!..mdau anayelalama kuhusu basic understanding ya Kanumba hakukosea. Hivi inaingia kichwani kwa hata huyo mtu Makongo kutumia neno "African" pahala pa "Africa"?..kwa mantiki hiyo hiyo pia mtu anayejiita "the great" ama "the most great" (sic!) aghalabu uelewa wake ni mdogo (sijui kama Muhammad Ali naye – “the greatest” tumuweke humo, ama?)..Nakumbuka mtu mmoja mwenye busara aliwahi kunieleza kuwa ni rahisi sana kupambanua ubora wa huduma za migahawa kwa kuwa na jina lenye neno “hotel”..nani hajaona vijijini, hasa pembezoni mwa barabara kuu, migahawa ikiwa na majina mareefu tena ya sifa za ajabu yakimalizikia na neno "Hotel" mwishoni, (labda “the most great greatest hotel, kerege lolo!!) bila ya kutanabahi kuwa itabaki mighahawa tu isoweza linganishwa kwa hata "hoteli" za ubora duni mijini mwetu sembuse zile zenye daraja za 4,5 na kadhalika nje ya mipaka yetu. Tuwe wapole na tukubali mapungufu yetu na itakua rahisi zaidi kujikosowa…

    ReplyDelete
  25. Life is hard, when you are staring at your own reflection !!! Just, a thought ....

    Maybe, he does represent your average person ... for real.

    Never judge a book by its cover. And, never underestimate anyone ... at least not so soon.

    It's his people skills, which have got him so far in life.

    So we better sit up and pay abit more attention and not critize so much ... give the boy a break.

    ReplyDelete
  26. Ni wakati wa juu ( it's high time, ha ha ha ha , mambo ya english hayo!) tukawa wakweli jamani. Steve Kanumba ametia aibu. Nukta!
    Kule Big Brother mawasiliano ndio namna ( almost pekee) ya kujumuika na wachezaji wenzio mle ndani na pia namna ya kujinadi kwa hadhira ya nje. Ni kweli Kanumba alienda tu kama ku housewarm sijui kujoto-nyumba kwa muda wa siku moja lakini ishu ni kuwa unaacha legacy gani?
    aibu? kama huwezi kuwasiliana kwa lugha iliyorasmishwa mle, si uache tu? Tatizo letu ni kuwa sifa zi mbele kuliko uwazi.
    Huwa hatujifanyii tathmini na hapa nasema Kanumba mwenyewe na hao vishoboka walompeleka! au kuna ajenda ya siri ya kuifedhehesha Tz ili hata huyo atayeenda kutuwakilishwa watu wawe tayari na dhana kuwa TZ takataka? eh jamani!

    Kuna mtu katoa mfano hapo juu wa Anelka sijui yuko UK zaidi ya muongo mmoja ( decade) lakini mpira kusema ukweli , unachezwa na mguu na akili , japo pia mpira wa wenzetu pia lugha ni muhimu ili umwelewe kocha na pia kuwasiliana na wenzio. Nakataa kuwa eti level ya Anelka ni kama ya Kanumba tuliyoona juzi.
    mweh!

    Mwe basi na ule mtandio-shati wa pinki aliovaa! mtu anategemea asikie jamaa anakata ishu , weeee akija kuongea, unafunika uso kwa aibu ( kama manyani wale wa hadithi ya Adili na nduguze! - wale wa kale wenzangu watanielewa)

    Mstari wa kitakoni ( the bottomline) jamani ni kuwa kwanza, wasanii wa Bongo wasibweteke na sifa uchwara wanazopata Sinza Uzuri na Mburahati na Kijitonyama na Ubungo Kibangu! kama umeamua kuwa msanii na hasa ambaye unategemea kinywa ili hadhira ikuelewe, waende shule! including shule ya lugha. vinginevyo wataishia kuact sinema zenye heading za kiingereza, wakati wao english not richabo. Tuwe wakweli, lugha hasa katika dunia hii yetu ni muhimu, la kama hutaki au unajifanya muumini wa kiswahili, basi tuliza vikalio Tandale na Posta mpya. usituiabishe.
    Pili, hao wanaowapeleka, wajipime kama kweli na wao wanafarijika kwa uwakilishi wa namna hiyo.

    Tatu, wadau tuwe wakweli. mtu anapobofoa tumwambie na ndio kwa njia hii, watu watabadilika ili tuwe sanjari/sambamba?( halo!) na dunia hii tunayotaka kujichamanisha ( associate) nayo. Otherwise, kama hatutaki, basi tukae tu tusiende kujiaibisha kimataifa ( International embarrasment). Mwangalie MMozambiki, anajitahidi pamoja na kuwa lugha yake surely aloizoea ni Kireno. lakini sie, kila saa enh? ahahahahahahaaaaa , eh , ha ha ahaha.. kah!

    ReplyDelete
  27. TATIZO LILILOTOKEA NI KIWANGO CHA KANUMBA NI KIKUBWA SANA NA KIINGILISHI CHAKE NI CHA JUU SANA KAMA TULIVYO WATANZANIA WENGI, SASA INAKUWA VIGUMU KUWAELEWA WATU AMBAO KIINGILISHI CHAO KIKO CHINI, HILO NDILO TATIZO LILILOMPATA KANUMBA NA HILO ANALIFANYIA KAZI.

    ReplyDelete
  28. mdau mnoko nakungana na wewe asilimia mia mbili wabongo wengi ni wanafiki sanna kazi kutetea ujinga tu ukimweleza mtu ukweli yanakuja juu utadhani yamekunywa maji ya betri ati mbona ushuzi gani sijui china hawaongei kiinglish sasa uta linganisha uchumi wa china na bongo?? sisi lazima tukijue nasisitiza english ni lazima hizo biashara za kimataifa mtafanya vipi wakati nchi ni masikini???? hata mabalozi wanaokuja kufanya kazi nchini wanaletwa wale ambao english inapanda haijalishi katoka china japani no ways ni english kwa sana tuuu huko big bro alitakiwa mtu ambaye anashuka na ngeli sasa mmepeleka kanumba kisa ni ze great mnaumwa sana nyinyi angalieni tu aibu nyingine ni za kujitakia mle ndani inajulikana fika ni lazima ujue kuongea kiinglish full stop sasa utawaelewaje wenzako na kule unavuna point sio kwa kuwa bubu tuuu thanks god kaenda kwa mda tu mwakilishi original yuko njiani manake ingekua ni usiku wa balaa!!
    miss michuzi a.k.a shatashata

    ReplyDelete
  29. Kanumba anajua english ile ya kuombea maji asilale na kiu, sio english ya kushiriki Big Brother. Ni kweli sio mshiriki, lakini masaa 24 yametutia aibu. Yaani hata forum members wa big brother website wamemponda Kanumba. Kuna mmoja kauliza kama Kanumba kaenda shule.

    ReplyDelete
  30. KOLEGO/SEPETO LITABAKI KUWA KOLEGO/SEPETO NA SIYO KIJIKO KIKUBWA....KWA MAANA NYINGINE, UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI TU. MIMI NIMEFURAHI KWA KUTAMBULIWA KWA KANUMBA KWA UMAHIRI WAKE WA UIGIZAJI HADI KUFIKIA KUALIKWA NA KAKA MKUBWA KAMA STAA METI. HII NI HATUA KUBWA KWA SANAA YA MAIGIZO BONGO. PAMOJA NA HILO NAPENDA KUWAKUMBUSHA HAWA NYOTA WETU KUWA, HATUISHI KWENYE KISIWA...NI MUHIMU WAKAJIFUNZA MASUALA AMBAYO NI YA MSINGI SANA, KWA MFANO SUALA LA SANAA YA KUZUNGUMZA KWENYE MIJUMUIKO (ART OF PUBLIC SPEAKING) SI LAZIMA KWA KIZUNGU HATA KWA KINYASA. LAKINI KIZUNGU NDO KAMA LUGHA YA DUNIA HIVYO NI MUHIMU KUJUA HATA JINSI YA KUOMBA MAJI

    Mdau chiggs, deslam

    ReplyDelete
  31. Nimefuatilia mjadala huu naona watu wanamjadili KANUMBA tu, Simple minds........(Mtamalizia). Ingefaa tujadili kushindwa kuongea kiingereza kwa kijana wa KiTZ. Sidhani kama Kanumba ana makosa, Hakuomba kusoma jitegemee, pengine leo anatamani angezaliwa ktk familia BORA asome kwenye shule za English medium.Wote tunajua kuwa mfumo wetu wa elimu unawanyima watoto maskini fursa ya kupata elimu bora. Hivi utamlaumu nani? mtoto aliyemaliza darasa la saba shule ya msingi ya serikali kule Kantalamba(sumbawanga), Ikungulyambeshi (bariadi), Nanyamba(Mtwara)asiyejua kusoma na kuandika AU serikali iliyoshindwa kutengeneza mazingira mazuri ya kazi kuwavutia wahitimu wa vyuo vya elimu kwenda kufundisha huko?Tumejiuliza Kanumba alipewa vipi fursa ya kuwakilisha TZ huko BBA? Kiingereza na upeo wa akili vilikuwa ni vigezo vya kumpata mtu wa kwenda BBA? Kanumba atakumbukwa kama pioneer wa Movie za kibongo kama ambavyo MR 2/sugu/2proud anavyobaki kuwa pioneer wa mziki wa bongo flavour. Hawa wawili wana jambo moja linaloshabihiana:wote ni watoto wa maskini na wamefika walipo kwa juhudi zao binafsi.Let's stop Hating...Haters

    ReplyDelete
  32. Michuzi ngojea nikuondolee dukuduku, mwakilishi wetu kutoka Tanzania anaitwa Elizabeth Gupta ambaye aliwahi kushiriki Miss TZ mwaka jana. Habari ndiyo hiyo

    ReplyDelete
  33. mie sioni tatizo lipo wapi mpaka tulumbane na juu ya kanumba kuto ongea kiingeraza fasaha... ni ukweli ulio dhahiri kuwa Nchi yetu hai support english language from ground level. which means for a normal citizen wa kitanzania kupata lugha bora ya kigeni ni issue, sawa kanumba anatakiwa kuongeza juhudi binafsi kufikia kiwango cha juu katika kuongea kiingereza ili aweze kuuza kazi zake nje ya nchi pia. Nachojua mimi ni kuwa Kanumba ame improve sana kuongea lugha hiyo, ebu anagalia jana alipo kuwa anaaga kwenye jumba lile, plus farewell speach yake wote walishangilia, alitoa ujumbe muhimu kwa wakati. Tusipende katishana tamaa, no body is perfect tuendelezane, ndio maana kila mtu anamtegemea mtu mwingine kufanya maisha yaendelee...

    ReplyDelete
  34. uwanja wa fisiSeptember 08, 2009

    mie simo!! mchanga wa pwani huooo......!!

    ReplyDelete
  35. Mtajiju msopenda kuambiwa. lakini habari ndio hiyo!
    Ku improve hatukatai may be ame improve but do we need kuwaonesha wengine kuwa huyu alikuwa hukuuuuu chiiini na sasa kapandaaa kiduchu?
    Forum kama zile ni za kujitangaza kama nchi na talent zake sio pa kwenda kuonesha kuwa ume improve kiasi gani.

    We unadhani Angola hakukuwa na wali o improve kidogo ila chini ya Ricco? lakini walitambua pale sio pa kufanyia mazoezi ya improvement.

    Asojua maana haambiwi maana. Watu wanasema Muonekano wa kwanza, huhusu! ( First impression matters).
    Angalia hata sinema zetu zinazooneshwa Afmag 115. Theme za ajabu ajabu na zimejaa ujuaji wa kishambashamba... lakini kuna za wenzetu ambazo hata sio za kiingereza , tena zinginewe za kilugha kabisa lakini unaona watu wako asili.
    Huwezi kuwa vuguvugu. Ni either moto au baridi!

    Kuna mdau amezungumza juu ya general knowledge.. hii jamani muhimu. whether unaongea Kizinza au Kindengereko!
    Nina uhakika Kanu a.k.a Kanumba akijaza documents anaandika anamaster English fully au Excellent.
    Weeeeeeeeeeeeeeeee! kazi jamani.
    tusome. Hivi vyuo na taasisi kama British Council, Hamilton, sijui nini huko Sinza vipo kwa ajili yetu. Lakini sie kazi kujichubua tu na kutamba na magari ya watu, halafu unasema mie Celebrity! U Celebrity ni kazi jamani! na ni vizuri ukachanganyika na ability to comprehend issues.
    Mfano Bara la Afrika lina nchi ngapi? Je Uganda ina waziri mkuu? au EAC ina nchi gani na gani? na je inainclude Morocco? why? vitu vidogodogo kama hivyo!
    sasa hivyo navyo ukiulizwa useme kuwa kwa kiswahili hatufundishwagwi hivyo ! au eeenhhh?

    ReplyDelete
  36. MJOMBA MISUPU NAKUOMBA SANA KAMA INAWEZEKANA UTUWEKEE HIYO CLIP JAPO TUIONE HAPA KTK BLOG YA JAMII MAANA INAWEZEKANA WANAMUONGEZEA,PIA ANAWEZA KUWA NA UWEZO WA KIINGEREZA CHAKUANDIKA NA SIO CHA KUONGE MAMBO KAMA HAYO YAPO BILA KUSAHAU CHA KUSOMA PIA,NITASHUKURI IWAPO TUTAIONA HIYO CLIP KTK BLOG YETU.

    ReplyDelete
  37. Wema Sepetu, kumbe ni mzuri, hip hiyo jamani inaonekana. Mtoto wewee! Kumbe ndio maana........!

    ReplyDelete
  38. Wema unaonekana bomba, ingawa mambo ndiyo hivyo yalivyo bado unalipa dada.

    ReplyDelete
  39. wadau mlishuhudia hii?
    BIG BROTHER: hello Kanumba, why don't you eat?
    KANUMBA: I am closing this month! I will 'open' in the evening when I 'took my Futari'. I am 'Islamic'.
    Hii imekaaje wadau?

    ReplyDelete
  40. kwa wanaomtetea kanumba kwa kweli inasikitisha hii inaonyesha ni jinsi gani watanzania tunavyopenda kukumbatia ujinga. tatizo sio luhga hapa jamaa hata ufahamu hana na halafu eti tuansema sisi lugha yetu ni kiswahili kwa hiyo hana lazima ya kujua kiingereza wakati tunajua wazi kuwa huko lugha ya mawasiliano ni kiingereza na kama alikua hajui basi ingewekwa wazi kukawa na mkalimani. kaka michuzi nakuomba uingie kwneye site ya big borther uone comments mbali mbali
    zinazouliza. 1. has this guy gone to school?. 2. when he goes back home he should go back to school jamani watu wa nje wameoona ujinga wa huyu jamaa halafu sisi tunatetea sasa ataweza vipi kujifunza ikiwa watu watamsifia kwa ujinga alioufanya??? hakuna maswala ya wivu hajafanya chochote cha kuonewa wivu jamaa bado sana msaidieni ajifunze msimpotoshe kwa sifa taifa zima likaabika.

    ReplyDelete
  41. wabongo mmejaaaaaaa chuki tu hampendi kuona mafanikio ya wengine..big up kanumba ur the best na anaeongea kingereza kizuri ni mwingereza(tena kwa baadhi ya maeneo) peke yake duniani... mwamerika ana kingereza chake cha ovyo...mnigeria vile vile..kenya vilevile..so unataka kanumba awe anaongea kama wamarekani matusi mengi nayeye aonekane yupo acheni ulimbukeni...uhaba wa elimu ndo unaowasumbua mnaboa.....

    ReplyDelete
  42. Somo limefika kwa Ray.Kutoka the most great to the greatest...
    http://www.raythegreatest.blogspot.com/

    ReplyDelete
  43. hivi nyie mnalialia nini kama Kanumba hajui kiingereza nyie mnaojua mbona hamkwenda, halafu ninyi inaonekana kama mngepewa rungu la kutoa thawabu msingetoa hata kwa mama zenu, kazi kulalamika tuuuu utafikiri mmetiwa viungo vya uzazi pasipo, hebu fanyeni ya maana sio kila jamba hajui, hawezi mara sijui nini. kiingereza ni lugha yao siye yetu ni kiswahili na lugha za mikoani, kinachowauma nini sasa, acheni ujinga, au mnataka kutuonyesha kuwa mna DStv kwenu au mmebabia bar ndio mkajua hajui kiingereza?

    ReplyDelete
  44. Tuwache masihara english ni muhimu,fikilia kama ungekuwa wewe ndio umo ndani ya jumba lile ungejisikiaje?kama tuna lugha yetu ya kiswahili kila nchi inalunga yake!!Mizengo yuko Korea kuomba Michuzi anaongea Kiswahili kule?Eti ni lugha kama lugha nyingine what?????

    ENGLISH MUHIMU. What about Kiswahili Sanifu?? 'FIKILIA' ndiyo nini? phew!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  45. Mnaosema kwamba kiwango cha elimu au kiingereza cha watanzania kiko chini mnakosea sana. hoja hapa ni kwamba Kanumba hakustahili kuiwakilisha Tanzania katika mahojiano hayo kwa kuwa hajui kiingereza na mahojiano yalitaka mtu anayezungumza kiingereza. Tanzania wapo celebrities wengi wenye kujua kiingereza ipasavyo wangechaguliwa wao waiwakilishe Tanzania ingekuwa hakuna aibu. Kanumba hakuwa mwakilishi sahihi wa Tanzania, ndio hayo mambo ya kupendeleana na kudandia na kuziba nafasi za wawakilishi wazuri. Ngoja niwape mfano mzuri wa uwakilishi wa Tanzania ulivyotia fora. Jana tarehe 7.9.2009 vijana wawili wa kitanzania wanafunzi wa Sekondari walipata zawadi katika mkutano wa SADC DR Congo kwa kuandika isha(essay) bora za kiingereza mada ikiwa Mashindano ya Kombe la dunia Afrika Kusini 2009. Angalieni Kijana wa kiume wa Tanzania alishika nafasi ya kwanza na wa kike akashika nafasi ya pili na ya tatu ni kijana wa Botswana. Vijana hawa walishindanishwa na vijana wengine wa nchi zote 16 za SADC mpaka watu walituone wivu. Isitoshe kati ya waandishi wa makala bora wanne waliopewa zawadi za SADC mmojawapo alikuwa mwandshi kutoka tanzania, kumbuka ni nchi 16 zilishiriki. Kwa ushindi wa jumla Tanzania ilipata zawadi tatu na kuwa ya kwanza. Mimi sikubaliani na wanaosema kiwango cha uelewa na kuimudu lugha ya kiingereza ipasavyo kwa watanzania ni cha chini. Ila hoja hapa kwa suala la Kanumba ni uteuzi wa mwakilishi sahihi wa Tanzania. Nadhani mmenielewa

    ReplyDelete
  46. haonewi mtu hapa english ni lugha ya kibiashara zaidi nenda tu pale arusha ukute wale mama yeiyoo wanavyouza zile shanga bin vinyago kwa dola ni kiinglish flani wanakibonga na wazungu ili biashara itoke na wanauza mwenge kwa wachonga vinyago kinapandanda mpolampola mradi biashara itoke sasa nyie semeni tuu english haihusu hapa kwa dunia ya sasa ni muhimu saana ukaijua hii lugha amini usiamini tena zaidi kwa sisi wamatumbi jamani mwana wani wa ze comedy kajiendea pale british council kujifunza hii lugha zaidi manake kuna mialiko ya hapa na pale mara majuu kama walivyoendaga UK sasa kama ni kiswazz tuu mtafanyanye kazi na wakerewe nyinyi???? ndo mlitaka mumshike chriss turker mkono kiruu nahisi kwi kwi ingewakaba mbaki kutoa mijicho tuuu na yes yes mzungu kala mafenesi!!!

    ReplyDelete
  47. tanzania we ve a very long road to go......quote from his own words "...........Growing up, acting has always been something that i really liked to do. Apart from that i also liked singing and that made me grave to be an artist while i was still in teens, still in school ie. i started acting in church a lot of people told me i had a talent so i decided to join Kaole Sanaa Group which delt with Acting. After joining Kaole Sanaa Group i met different Teachers from Bagamoyo and other College who helped me to build up my career of Acting for a period of 1 year, after that i got a special Training from University of Dar es salaam Under Doctor Nyoni for about 3 months therefore i was sure to go to work and indulge myself in Soap Operas/Series. i then took acting as my career. Little by little i got to win peoples' attention which made me work even harder and become successful.

    After all the hard work that i kept in series i decided to play a part in movies so i took a step forward and associate myself in film industry. i happen to do a lot of movies that did very well in the market and i'm still doing movies up today and it just get better day by day. in addition to this i archieved a lot through my hard work that is prestigious awards, travel across different countries, working with people from different part of the world meeting different people and learn new things and experiencing different life.

    I also got to get to work with Nollywood in Nigeria where by i did more than five movies with famous actors from Nolllywood, it was the wonderfull experience. I also got a chance to Visit The United States of America and there is where i got the experience of a lifetime i got visit Hollywood, Warner Bros Pictures, Universal Studios and Disney Land, i learnt a lot i met people who work there so i got to ask alot of Quaestions and gained a lot of knowledge.

    Speaking about me as Steven Kanumba i'm a very down to earthguy i like hanging out with my friends and i like to associates myself with people, i love children with all my life, i'm just a simple guy, i'm not outgoing a lot, i love going to movies and just be chilled out and relaxed places. I'm not married for the time being but i am in a commitment in the name of God i hope that one day we will get married. .........."
    source wwww.kanumba.com/Biography.html

    ReplyDelete
  48. ANONY WA TUE SEP 08,09:48,AMEMALIZA KILA KITU,WENYE AKILI NA UPEO TUMEELEWA,WANAOENDELEA NA MADA HII BAADA YA HAPO KWA KUMKOSOA KANUMBA SPECIFICALLY WAMEFULIA TENA WANA MAPUNGUFU MAKUBWA ZAIDI NA HAWANA UPEO KULIKO HUYO KANUMBA NA ZAIDI YA HAPO WAMEJAA HUSUDA.

    ReplyDelete
  49. angekua na ufahamu asingejiita eti the Great, wakati inajulikana the Great ni muumba peke yake. bora hat angejiia mkubwa.

    ReplyDelete
  50. mimi jana nimeangalia wakati Kanumba anaaga na wakati star mates wameitwa diary room kiukweli Kanumba alijitahidi na alijibu vizuri tu na wenzie walikuwa wakicheka nae na kussuport points zake. ndio nakubali kuwa kiinglish hakipandi kihivyo ila sio kama watu walivyoyakuza na ikizingatiwa wengi wa wanaomsema Kanumba hata nusu yake hawajamfikia. naungana na mdau mmoja hapo juu aliyeshauri juu ya kujadili ni vipi kumsaidia kijana wa kitanzania mwenye uwezo na upeo wa kitu fulani lakini hawezi kuwasiliana kwa kiingerea. tutake tusitake lugha ya kiingereza ndiyo inayotawala dunia katika kibiashara na mawasiliano kwa ujumla. hongera Kanumba kwa hapo ulipofika na wewe ni chongo kati ya kipofu, na tulikuelewa ulichokuwa unajaribu kusema na ndio maana watu wakagundua ulitaka kusema nini na wapi umekosea. kuddozzzz

    ReplyDelete
  51. my view ili kanumba aweze kujiendeleza vizuri kiusanii...asome kithungu ili hata siku moja ma actors na actress wa ulaya wakiomba kufanya movie na msanii wa kibongo aweze kuchaguliwa la sivyo asipojifunza then anaweza kukosa bahati nyingi sana!!! Yaani atleast awe fluent when comunicating with others sio cha kuungaungaa......

    ReplyDelete
  52. MICHU MAMBO. ISSUE YANGU SIO KANUMBA NA KAMA KAYACHANGANYA HUKO HIYO NI AIBU YAKE AKOME KUUTAFUTA UMAARUFU USIO WA LAZIMA NA ANAYESEMA HAO WAIGIZAJI NI MAARUFU NANI? NADHANI TATIZO NI HAO MAMAIMUNA WENZAO KWANGU KANUMBA RAY SIJUI NA WENGINE NAWAONA RAIA TU WAGANGA NJAA MJINI. ISSUE YANGU NI HAKO KABINTI HIVI TUMEAMUA KUITAFUTA AIBU AU NDO MTU MAARUFU? NI WAJINGA GANI WALIOMCHAGUA WEMA ETI AKATUWAKILISHE BBA4, KULE HAWAONYESHI UMALAYA WANAONYESHA VIPAJI NA AKILI YA MTU NA HIYO NI TASWIRA YA VIJANA WA TAIFA HILO KWA HIYO NDO KUSEMA WATANZANIA TASWIRA YETU ITAWAKILISHWA NA WEMA. PLEASE TUANGALIE UPYA JAMBO HILI

    ReplyDelete
  53. Hongera Kanumba, Hao wote wanaokuponda ni vile hawajui umetoka wapi. kwani wanajuaje, inawezekana hata hicho ulichoongea ulipita kwenye hivo vi shule vya sinza.Usikatishwe tamaa na watu kama hawa, na mwisho wa siku itabidi ubaki kusimama wewe kama wewe. Big Up Bro, Tupo wengi tunaokupenda na kusupport kazi yako. Na kwa hii, nina hakika Mungu atafungua milango mingi kwa ajili yako. Kuna nchi kibao zinazoendelea bila hata kujua hicho kizungu. Kama basi watu wote tunataka tuongee kingereza kwa ufasaha, turudi kuilaumu serikali yetu kwa kuweka system mbovu za elimu. Kwa hivi nipo na hakika, 100% ya watoto waliovijijini wasiojua kingereza hata kidogo hawatoweza kuja kujikwamua katika umasikini wao na kigezo cha kutokujikwamua itakuwa ni vile hawajui kingereza. Tujithamini jamani, na tujiamini kuwa tunaweza bila hata kutumia kingereza.

    ReplyDelete
  54. Penye ukweli lazima pasemwe kifupi mshikaji kachemka sana na hata kwa wale wafuatiliaji jana saa nne na nusu usiku kwa saa za Afrika mashariki kama ulikuwa unafuatilia kusoma SMS pale kwenye ule mkanda "STRAPLINE" SMSs nyingi kutoka nchi tofauti zilikuwa zinamponda KANUMBA na kuna moja ilitumwa kutoka TZ ilikuwa inasema hivi"KANUMBA UMECHEMSHA ULIDHANI HII BONGO SIO" kama unabisha muulize MAMA MSELEMU,FATMA WA SINZA watakuambieni sababu wao ni WADAU wazuri linapokuja libeneke la Bigi Braza.
    Mwisho hivi KANUMBA ana miaka 25 jamani?Maana juzi kwenye kujitambulisha walipokuwa wanapata chakula cha usiku alisema ana miaka 25 hadi yule dada KHANYI MBAU wa SAUZI alisanuka akamuambia naomba kuona pasipoti yako,jamani hii imekaaje kaaje????Nauliza tu sio ugomvi wadau

    ReplyDelete
  55. Anonymous wa sept 8 2:52AM,sijachapia neno Exhale, nilimaanisha hivyo hivyo nilivyoandika, nikiwa na maana kupumua nje au kupata ahueni)ni sahihi kabisa. Exhale manake ni kupata unafuu, au kupumua, kwa hiyo mzee sikumaanisha excel, nilimaanisha ex-hale, afterall excel haina maana yoyote nikiiweka kwenye maelezo niliyoeleza hapo juu. Check in you dictionary, kama unakumbuka ile movie ya waiting to exhale utaelewa nina maana gani.-Mdau Mnoko.

    ReplyDelete
  56. jamani tafadhali,mwenye clip hiyo inayomuonyesha kanumba anachemka naiomba,nimeitafuta kutwa nzima nimeshindwa kuipata.

    ReplyDelete
  57. Inasikitisha kwa alichofanya kanumba cha kuchemka kuongea lugha but hatutakiwi kumsema vibaya kwakuwa wengi wetu tunaomsema sidhani kama tunaongea kingereza kizuri....

    ReplyDelete
  58. hata mkisema nini tutapiga pini tuu..somo lifike..wenye busara warekebishe..alofulia ni 'mukubwa'..kwa kweli, hata changu wa arusha wanashuka si 'ngeli' tu ata 'franse'..ala! si ndo ujasiariamali!..yaani sisi bongo, ni siasa za 'mwenzetu' tuuu basi..tumeikalia politiki..angalia yule yanki mwisho alikuwa na Gaetano, na alimudu kukaa mjengoni zaidi ya kijana wa kiganda..leo hebu walinganisheni..'mukubwa' Kanumba kama japo una kijibusara cha kuingia na kudurusu globu ya jamii ya global maarufu kabisa 'the mukubwa' michone tafuta private tutor akupanue mawazo..bado unao muda wa kutosha kurekebisha, hali kadhalika na 'mukubwa kuliko' ray kigosi (kwenye lugha za kinguni 'kgosi' maana ake 'chifu', sijui ndo huko ulipolipata jina la 'mukuuu', kaka!)

    ReplyDelete
  59. MICHUZI EEHHH HEBU TUTAFUTIE HAKO KA CLIP WALAU NASIE TULIOPITWA TUFAIDI MAANA NASIKIA JAMAA BADALA YA KUSEMA MEDITATE AKASEMA DETERMINATION......DDUUUUHH WAPI NA WAPI JAMANI.
    KWA KIFUPI JAMAA AAPIGE DARASA LA KIINGLISHI MAMBO YA KUJIITA STAR WAKATI YAI LENYEWE HALISHUKI TUNAAIBISHA HIVI KAMA HAJUI BORA KUKUBALI APEWE MKARIMANI YE ANGEMWAGA KISWAHILI CHAKE TU KULIKO KUONGEA VITU VISIVYOELEWEKA

    ReplyDelete
  60. Kwa kweli kanumba alichemsha.Nimeona clip pale bongocelebrity mwenyewe nimekubali.Lugha haipandi mshikaji

    ReplyDelete
  61. mchizi kaharibu alafu eti anadream siku moja akafanye kazi hollywood atatumia lugha gani?kwa suala la kua international na lugha yake ya kuunga na plasta asahau atabakia kua celebrity wa uswahilini tu..namshauri ajifunze lugha kama anataka kufika mbali...alikua anachekacheka tu kama tutusa ametia aibu to the maximum...nyie mnae mtetea acheni unafiki semeni kweli acheni ushabiki

    ReplyDelete
  62. Kusema kweli mimi ninasikitishwa sana Kuona Kusoma Maoni ya Watanzania (Waswahili) wakiitukuza Lugha ya Wakoloni. Eti mtu ukiongea Lugha yako unaonekana hujaendelea. Dah kweli ukolono bado unaendelea kwa muda mrefu sana.

    Tumesikia kua Abramovich hataki kuongea kiingeza hata kidogo. Je na Yeye anaidhalilisha Nchi yake ya Urusi?

    Tujikomboe Watanzania. Hayo maoni yenu yalitakiwa yatolewe na wazee ambao walikua hata nywele walijaribu kuchana kama wazungu. Kazi ipo

    ReplyDelete
  63. Jamani timponde sana Kanumba kajitahidi kwa kiasi chake maana mi nilivyomuona nilifikiri atachemsha ile mbaya maana nilshamwona kwenye movie mbili hivi alieact na wanaigeria kwakweli sikupendezewa na kiingereza chake hata kidogo Monalisa na the other guy ambao ni wabongo waliongea vizuri tu.
    USHAURI WANGU KWA KANUMBA:-
    1) kama super star wetu wa bongo katika movie he needs to put more effort kwenye English haswa kwenye kusikia maana pale DIARY ROOM kila swali analoulizwa anshindwa kuelewa mpaka lirudiwe na lile swali la mwisho hakuelewa kabisaa anaulizwa nini.
    2)Afanye mazoezi maana kanenepeana hovyo haipendezi kwa STAR kama yeye,angalau SITUPS apunguze kitambi.
    3)DRESSING CODE, sikupendezewa na alivyo vaa hata kidogo utafikiri alikuwa anaenda kwenye send off au Grammy Awards check wenzake walivyovaa casual the GUY needs ushauri na apate EXPOSURE ya mambo muhimu maana ye tayari ni Star wetu.

    ReplyDelete
  64. Jaman Kiukweli ukifanya kitu kwa jina la TAIFA make sure kweli u stand ther 4 da NATION... mambo ya kulidhalilisha TAIFA ni sawa na kuaibisha kila MTANZANIA na kumbuka WATANZANIA watakuwa JUDGED kwa MATENDO YAKO... ila na sisi watanzania TUNATUKUZA sana KIDHUNGU!! kwan si ni lugha kama lugha nyingine. Tunamuona mtu anayezungumza KIDHUNGU ndio MSOMI SI KWELI JAMAN, akili ya mtu itabaki pale pale,kipaji kitabaki kuwa kipaji hata usipozingumza KIDHUNGU, NCHI NGAPI ZINAENDELEA BILA YA WANANCHI wake kuongea KIDHUNGU!!! jaman tuamke tuache kutukuza lugha za wenzetu...

    ReplyDelete
  65. Watanzania wacheni chuki, wazungu wanasema 'Give credit where it's due', Kanumba ametoka mbali sana ni msanii mzuri na amejipa jina katika sanaa Africa nzima, Kwakeli anastahili sifa. So what if his English is poor? All i can say to you Kanumba, incase you are reading all this trash that people are writing about you, it should tell you something about yourself, you are good that's why people waste their time here talking about you. Don't give up Kanumba, you are going places man, so if English is your weakness don't let it bring you down, find a college and take classes and polish your english. I promise you if you follow this advice, the sky will be the limit for you! So bro. go for it, do what you do best! Hawa watanzania wana wivu ndo maana wanakusema vibaya, ask them what they have done with their lives and they will tell you nothing. Remember they are laughing at you because they don't know english, you are better than most people in this country, so never give up.

    ReplyDelete
  66. Watanzania wacheni chuki, wazungu wanasema 'Give credit where it's due', Kanumba ametoka mbali sana ni msanii mzuri na amejipa jina katika sanaa Africa nzima, Kwakeli anastahili sifa. So what if his English is poor? All i can say to you Kanumba, incase you are reading all this trash that people are writing about you, it should tell you something about yourself, you are good that's why people waste their time here talking about you. Don't give up Kanumba, you are going places man, so if English is your weakness don't let it bring you down, find a college and take classes and polish your english. I promise you if you follow this advice, the sky will be the limit for you! So bro. go for it, do what you do best! Hawa watanzania wana wivu ndo maana wanakusema vibaya, ask them what they have done with their lives and they will tell you nothing. Remember they are laughing at you because they don't know english, you are better than most people in this country, so never give up.

    ReplyDelete
  67. Mwana FA au Hasheem would have done a much better job bt u knw what guys dont panic Africa knows that most people from Tanzania are quite bad at English....I really am not blaming kanumba, watanzania kwanza ukiongea kiingereza unaambiwa unajishebedua na kujifanya matawi ya juu bt the truth is kiswahili ni hapo hapo nyumbani ukitoka tu humo hakuna anayekuelewa na utakoma kama huwezi hata kusema "excuse me what time is it"?Pole Kanumba,British Council offers really good English classes its abt time ukapigwe brush ilimtoa teddy kalonga British council.

    ReplyDelete
  68. jamani mbona hata washiriki wa tusker project fame kutoka burundi na rwanda hawakujua kuimba kiinglish,hata maswali ya majaji hawakujua pia,kwahiyo hiyo ipo.ila lawama kubwa ziwaendee waliokuwa wanachagua m2 wakutuwakilisha,km walijua lunga ni english,kwan kwenye interview hawakujua kwamba hawezi,au na wao wana chuki binafsi na Kanumba,hauwez jua!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  69. Knumba lazima alaumiwe mana ametuabisha kwa kiasi kikubwa big brother ni show kubwa yani watu wana watch world wide sasa alipoenda kule alitegemea nini? yani wakenya ndo wanatucheka kweli mana imedhihilika kuwa sisi ni mbumbumbu ktk english mana kanumba alikuwa anabwabwaja tu akiulizwa hivi anajibu vile yani he was out of control. mimi ni mmoja wa watu ambao nazichukia movie zetu za kibongo mana zianchefua? how come jina la movie ni BLIND SIDE OF MARRIAGE then ndani kiswahili mwanzo mwisho? huyu kanumba kama umeshawahi kuangalia FROM DAR TO LAGOS utagundua kuwa anamapungufu makubwa lakni kwasababu bongo ni kichwa cha mwenza wazimu tunapelekwa tu sasa nadhani itakuwa ni fundisho mana aibu aliyopipata na aibu aliyoiletea taisha haisemekani. angalia mivie yake mpya THER DIRECTOR yani ni uozo english mbovu alafu ndo alikuwa anajigamba anataka kwenda hollywood? mavi yake anadhani kule ni mbeya?

    ReplyDelete
  70. Mimi sijaona alichochemka Kanumba, Kingereza siyo usanii, watu wajifunze kutofautisha usanii na lugha. Kanumba ni msanii tu hivyo si lazima akajua lugha kama sisi tunavyotaka. Kwanza mimi nilipenda aoongee Kiswahili ili wasiojua Kiswahili wajifunze au watafute Mkalimani. Pia watanzania tusiwe wanafiki (Samahani kwa kutumia hili neno) Nasema hivi kwa sababu watu wengi wanapenda filamu za Kinigeria na hakuna ubishi kuwa Wanageria ni wabovu wakubwa wa Kingereza lakini ndio wanovuma kwa kuuza filamu nyingi, tena sisi wenyewe watanzania ndio wa kwanza kwa kuwashabikia na kuwasifu kwa kila namna, je tatizo lao la kingereza huwa hatulioni? Mimi nasisitiza tuache unafiki na wivu usiokuwa na maana. Tupeane support ili nasi tutambulike Kimataifa. Je ni nani leo asiyetumia vifaa vya Kichina? Jibu litakuwa ni wachache sana. Mbona wao wanatoa manual zao kwa kichina na bado tunanunua licha ya kuwa hatuelewi lugha yao?
    Nashauri tusimsakame Kanumba wakati mambo mengine tunayafumbia macho. Nampa hongera Kanumba kwa ujasiri wake na ninamuomba asivunjike moyo.

    ReplyDelete
  71. mi naona tuache kumlaumu kanumba kutojua lugha haimaanishi kuwa mtu ni mbumbu kwa maswala mengine kwani kuna hata viongozi wa juu hawajui, ndio maana kukajengwa shule na watu waakasomea ukalimani 'linguistik', sasa mnataka hawa wakafanye kazi wapi????, ikiwa kila bin adam atachuka lugha zote//

    ReplyDelete
  72. ol n ol he shuld follow pipoz advice.no one iz perfect thatz why 98% percent of advicers tunaandika kiswahili as it is our national language.my advice to multi choice n kuchagua watu wenye upeo zaid.kanumba hakua mbaya lkn inabd awe up2dated na current issues.from his blog bibliography u can c the english ambayo mtoto wa primary anaandika which is not gud.british councill wapo kwa ajil yetu wabongo and mult choice next time be wise when selecting national representative.namuunga mkono mdau alye mtaja nancy sumari also kuna djz like ml chriss which sio wabaya na yai linapanda.
    msikose kurudia marudio channel 10 saa kumi jumapili.nawatakia ujengaj mwema wa taifa.cheerz

    ReplyDelete
  73. NYIE WOTE MNAO MSEMA KANUMBA NI WEHU TU, MKIWEKWA NYINYI MTAWEZA MSIJISHEBEDUE WASENGE WAKUBWA NYIE ANGEL WA TEGETA

    ReplyDelete
  74. Jamani Jamani wa Bongo muelewe maana ya Big brother nadhani lengo hasa ni kuonyesha utamaduni wa Kiafrica kutoka sehemu mbali mbalia za Afrika na jinsi gani waafrika wanaweza kuwa familia moja, sasa mimi sioni ajabu kwa kanumba kutojua kiingereza coz kingereeza ni lugha tu kama nyingine vile vile kujua kingereza siyo ni kuwa msomi wasomi wangapi na kingereza akipandi???? kujua lugha inachangia ma mazingira ya mtu, ndiyo nyie ambao mnapelekea watoto mashule ya international eti ajue kusema "kingereza" huo ni ushamba mnaposema shule maana yake ni "academy standard" siyo kingereza hata kama kanumba alisoma jitegemee au International bado inategemea mazingira yake ni yapi kwa kiingereza Je mnataka kuniambia pale IST hakuna watoto wasiojua kingereza???????? nendeni fanyeni utafiti kwanza then mropoke mimi nampongeza sanaaaaaaa kanumba sababu Kingereza si lugha yake ila ameonyesha comfidence ya hali ya juu sana amejiamini na ameweza kuongea my bro!!!! Kanumba keeep it upp!! usijali hao ni wivu tu na wasiopenda maendeleo wamezoea kuona kila kitu akiwezekani kwa mbongoo!!1 umefanya vizuri sanaaaaaaaaaaaa kanumba!!!!!!!!!!!! kaza buti waahe waseme !!!!!!!!!!!!!! wamekosa ya kuandika na kuzungumza .

    ReplyDelete
  75. Most of you guys suck,ishu sio kusoma jite wala nini hapa,it's on how someone is interested with the language na ufatiliaji wa mambo hajaanza yeye kuboronga,let us look back a few month's ago during the zain challenge most of those guys from tz universities how they were faring on most questions?The botom line is sisi wote tubadilike na sio kulalamika tu katuaibisha,

    ReplyDelete
  76. ok ok ok I have read at least all the comments and they have something in it.What we should know guys is that we have different percepectives.So we'll never reach concensus.
    In my opinion the one to be blamed is Multi Choice Tanzania.They have shown a great weakness and lack of seriouness in multi national deals.How could they agree to send our poor boy Kanumba to the great thing like BBA.
    To represent a country in international issues you should not only be eloquent but also with wide range of knowledge of various issues.
    I am sure they had an interview before..........mmmhhh multichoice we cant forgive you for causing a great shame to our lovely nation Tanzania.
    Anyhow,yaliyotokea iwe fundisho kwa watanzania wote.
    Multichoice mpunguze usanii na mkumbuke nyie multinational company.So please dont take things for granted.
    Kwa wasanii wa Tanzania tuache kurudhika na visifa vya hapa nyumbani international game ngumu wazeee.
    Ni hayo tuu

    ReplyDelete
  77. this food is too much pilipili,yes,yes,this food is too much pilipili

    ReplyDelete
  78. People stop blaming Kanumba. There is process to be followed before sending country representative (superstars) for such event one of it is an interview. Its straight forward that no interview was carried out between Kanumba and the responsible organization.

    I think people to be blamed those who selected Kanumba to represent Tanzania. Didn`t they know that Kanumba was not capable for that……….? Or they wanted to promote him through that way instead he did the blunder.

    To much corruption in my beloved country, that was the result of favoring someone who cannot express himself even in a simple way. Yes he is one of Tanzanian celebrity but…… please let us be serious and put corruption aside and do what we are paid for. Can one still wonder why Tanzania doesn’t win and not even expect to win Miss. World, Universe etc in the near future? How can we send people to represent us while we know they are not capable? Simply because we know them is it? If that is the case then we won’t reach any where. I cannot wait any longer to see who is representing us in BBA 4 house this year although the previous years everything went well.

    I hope this time you will send the right Girl to represent us for the coming up Face of Africa

    Have a nice w.end

    ReplyDelete
  79. Wee Anony was Fri Sep 11, 03:48:00 PM, umenichekesha sana...haahahhaaaa.

    Lakini jamani give kanumba some support, wengu mnakua tu negative naye mkiwekwa hapo hata kiswahili tu fasaha kitawashinda. unajua pia na tension ya kuona watu dunia nzima wanakuangalia live its already enough pressure. siyo kama anavyochesa sinema akikosea wanarudia, but this is a live thing, sii kazi rahisi, unaweza mweka hata professor wa English hapo jasho likamtoka.

    please give the boy some support, he is our boy, if we keep breaking me do we expect he can do better, na hiyo pressure si ndiyo atatuangusha zaidi.

    ReplyDelete
  80. Bandugu wapenzi nimeangaliaga hii leo nikuje tena kwa fashi hii nibaelezee gishi vile mi naona kwamba batanzaniii bingi bana laumu likampuni la multi choice kwa kupelekana na Kanumba badala ya bengine kama banaFA,na bengine wale wanajua zaidi kingereza.
    mimi kule kongo najua zaidi fransee na lingala basi.
    sas vile mi nasema wooooote wamelalamika juu ya hii maneno, wanakatabia ka uchafu hata majumbani kwao maana wanasafisha mazingira tu anapokuja mgeni, wanakula kuku siku za sikukuu tu,wanakula matunda mpaka waandikiwe na daktari hili nimeliona baada ya kutathmini maoni ya wengi walio agensti na Kanumba. sasa kama kuna mmoja wenu nyie wazushi kanuna ajitokeze tubadilishe mada tulumbane.
    Yaani nyie nyie ,hata masikio hamana MPOTO a.k.a mjomba amewaambia 'siri mnasema bayana mnaficha' na mnautukuza uzungu kwa kuukana Uafrika'
    KANUMBA peta kiulaini mwanangu kama unanawaaaaaaa!!!

    ReplyDelete
  81. the food with too much pilipili was from his movie DAR 2 LAGOS.me nilihis labda ni utan kumbe ni ukwel.na nmegundua movie za wabongo hawafanyi editin.sasa hili liwe fundisho.KANUMBA pole sana but penye nia pana njia nadhan kilichobak komaaa tu mshikaj utoke zaid.uwaonyeshe wabongo unaweza.me n hayo tooo ila duh HATARI..watu wanasubr mtu aharbu ndo wapake loh...ALL BLAMES TO MULTI CHOICE.

    ReplyDelete
  82. Bro Michizi,do you think those people selected Kanumba didn't know that he was not capable of speaking English? do you realy beleave it? hell ! No ! i dont !!! the knew exatle what they were doing and they did it just for the sake of him they only wanted to make him well knwon na ni lazima atakuwa amekata fungu kubwa kwa kina (Lucy k) si twaijua bongo yetu kwa kukata mkwanja ndo wenyewe.

    ReplyDelete
  83. Jamani Wa Bongo tunafanya vizuri kwenye mashindano ya miss Universe. labda hatujawa namba moja lakini tunafanya vizuri tu. Kanumba ametuwakilisha wa TZ tulio wengi... msanii kioo cha jamii... jamani twendeni sinza pale kwenye Inglish skuli na tulio mikoani twendeni shule za karibu. Hadi siku tutakayokuwa na mapesa ya kutosha kutoomba misaada nchi tajiri, tukubali Kiingereza ni Kiswahili cha Dunia.

    ReplyDelete
  84. eh bwana tuwache tu ingelikuwa zamani tungesema alikimbia umamande..mm nayojuwa vijana wengi wakibongo wamefika mnbaka vyuovikuu na wengine walipelekwa nchi jirana kusoma ngeli lakini waliporudi ni vilelele tu vigugumizi nyie wachenitu..midomo itachamka tu..

    ReplyDelete
  85. wabongo mmezidi majungu.Some people need to mind their own business.You should stop blamming kanumba because it's not fair.Can you speak english urself,this is fully of rubbish and insane. People you should find something 2 do rather than writting nonsense.And stop all this roumours that passes around.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...