

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
safi sana stand up for your rights
ReplyDeleteNamna hii maendeleo yatakuja! Hongereni sana wananchi kwa kudai haki zenu bila woga. Lakini wajameni, maji sh. 300 Kijijini?!!
ReplyDeleteWe have been independent for 45+yrs and still water and electricity is a problem ............. what a shame.
ReplyDeleteThis shows that the villagers are well organised, so why dont they go a step further.
ReplyDeleteThere are plenty of able bodied men who am sure can dig a well and then collect money and buy a well-head hand pump, and that will solve their problems Aluta Continua
wakatabahu
any revolution start in small pace and then get bigger and bigger. siku moja watanzania tutajiuliza kwanini tulichelewa kutatua matatizo yetu kwa kushinikiza. kama umelala serikali will never wake you up. mapinduzi yanaanzia kijijini ni ajabu.
ReplyDeleteHII NI VIZURI SANA. KUNA WAZEE WA VIJIJI PALE ARUSHA SEHEMU ZA OLOSIVA SAKINA AMBAO WAMEKUA WAKITUMIA MAJI WALIYO PATA KWA MISAADA YA NJE KUPITIA SERIKALI KAMA VITEGA UCHUMI VYAO. UKITAKA KUYAPATA HAYO MAJI NYUMBANI KWAKO LAZIMA UTOE HONGO KUBWA. UFISADI MTUPU. I HOPE SERIKALI ITACHUNGUZA HILI JAMBO. WENGINE TUNAOGOPA KUTOA HII SIRI ILI TUSINYIMWE MAJI. KUNA WATU WASIO JIWEZA WANATESEKA SANA KWA KUKOSA HATA MAJI YA KUNYWA. MJI WA ARUSHA UNAHITAJI KUKUA KWAHIYO WANGECHUKUA SEHEMU KAMA HIZO. ITAKUAJE HAWA WAKUU WA ARUMERU WANAKATAA KUTOA SEHEMU KAMA HIZO WAKATI SERIKALI NDIYO YENYE KU OWN THE LAND.
ReplyDeleteKuchimba kisima ni 3,000,000TSH .chenye uwezo wa kuhudumia wanakijiji wote,Lakini serikali inanunua gari la Mbunge kwa 40million TSH ,wakati atukioni wanachokifanya.
ReplyDeleteKumbe uhuni waweza kusaidia MARA NYINGINE!
ReplyDeletewatanania wengi wanateseka kwa kukosa maji. serikali ina takiwa kulishuhulia hili jambo kwa bidii kubwa. hapa mjini arusha maji ni shida sana. michuzi hiyo habari hapo kuhusu maji sehemu za sakina tafadhali ipeleke kwenye magazeti ya arusha.
ReplyDelete