September 2009
Siku ya tarehe 25 mwezi wa 9 mwaka 2009, itabaki kuwa ya kihistoria kwa wadau lukuki waishio maeneo maarufu ya Barcelona yaliyopo mitaa ya Mabibo jijini Dar, kufuatia bonge la shoo baabu kubwa iliyofanywa na wasanii kibao underground wa fani mbalimbali kwa ushirikiano na Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na shughuli za maendeleo ya wasanii chipukizi hapa nchini la Music Mayday Tanzania.
Unaweza kufeli kabisa kuelewa jinsi mashabiki walivyomiminika kushuhudia laiv mashairi,vina na umahiri wa kuigiza toka kwa wasanii kibao wakiongozwa na The motherland laivu bendi inayoundwa na damu chipukizi za akina Rogers Lukas, Malfred, Kala Jeremiah na wenzao. ‘Kwa watoto ilibidi kuweka ulinzi maalum’.
Shoo hiyo iliyoandaliwa na Music mayday Tanzania chini ya wawezeshaji MASHUJAA GROUP, ilikuwa ni maalum kwa ajili ya kuendesha tamasha la kupiga vita matumizi na ubwiaji wa madawa ya kulevya hasa kwa vijana ambao kwa hakika ndilo taifa la leo. Hapa ni katika vikao vya vijana kujadili athari za madawa ya kulevya


Kusema kweli motherland ni noma. Watu walitamani kukwaa jukwaani kuwadedesha akina kala, hawa jamaa ni mfuniko ile mbaya. Hiki ndo kichwa cha Music Mayday ambacho ni Afisa wa miradi ya huduma kwa jamii, ambacho pia kilicheza big role katika kufanikisha tamasha hilo, anti Prisca. Anawashukuru wanajamii wote wa Barcelona kwa muitikio mkubwa walioonesha. Chini Kwa heshima na taadhima ilibidi watoto waachiwe jukwaa ili kuwapa shavu wasanii baada ya watoto hao kutaka kolabo na wasanii hao. Palikuwa hapatoshi.
Huku ndiko kuigiza, maana hawa jamaa wa Elizabeth theatre group waliact mpaka watu wakataka kutoa machozi. Usijaribu hawa wanaigiza tu, na kumbuka; ‘kuwa teja siyo Dili’.
Malfred ‘HUYU’ Kashikilia zawadi ya CD yenye albam yake kwa mtu ambaye angeweza kuimba nyimbo zake bila kuchapia.










Kwa wanaopenda kwenda kusoma Malaysia
WWSL watakupatia ushauri ni chuo gani na kozi gani ya kuchukua.
Tuna uzoefu na mazingira na tunaijua Malaysia, sio kila chuo kinafaa hivyo basi tutakupatia chuo chenye ubora na elimu bora kwa gharama nzuri.

Wasiliana nasi kwa address hiyo
hapo kwenye tangazo au tuma mail kwa
no image
Kaka habari za kazi,
Mimi ni swali moja naomba msaada watu wanipe ushauri wenu tafadhali sana.
Ni hivi, mie bwana nina mwanaume ambaye nampenda sana, nahisi na yeye ananipenda pia, lakini nimengundua kuwa alikuwa ameoa lakini yeye alikuwa hajawai kuniambia chochote kuhusu kuoa, ila nimengundua mwenyewe.
Sasa swali ni je, nimuache au niendelee naye? lakini kwa sasa najua hawapo pamoja tena.. ila kinachoniuma ni kwamba mbona alinificha siku zote mpaka mimi mwenyewe ndio nimengundua.
Asante sana-
Naomba ushauri wenu wadau
Mary
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola na Spika wa Bunge la Jamhuri la Tanzania Mh. Samwel Sitta (kulia) akipozi na Spika wa Bunge la India Mh. Meira Kumar (kati) na Balozi wa India nchini wakati wa hafla aliyowaandalia wabunge 800 toka mataifa 53 wanachama wa Jumuiya ya Madola katika hoteli ya Kibo Palace usiku wa kuamkia leo ikiwa ni sherehe ya kuwakaribisha wah. hao wanaohudhuria mkutano wa 55 wa chama hicho. mwakani mkutano huo unatarajiwa kufanyika Kenya
Katibu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Dk William Shija (shoto mbele) akipozi na kamati ya wabunge wanawake wa chama katika hoteli ya Arusha Corridor
Wah. wakiserebuka katika hafla ya kuwakaribisha iliyoandaliwa hoteli ya Kibo Palace usiku kuamkia leo
kikundi cha ngoma toka Endulen kikitumbuiza wageni
wafanyakazi wa ofisi za bunge wakiandaa vocha za msosi kwa wageni
baadhi ya wafanyakazi wanaofanikisha mkutano huo
MC Angela Bondo (shoto) akipata maelekezo toka kwa maafisa wa bunge wakati wa hafla ya usiku kuamkia leo hoteli ya Kibo Palace
wanafunzi wa shule ya St. Jude wakifanya rihezo chini ya usimamizi wa Mh. Samwel Sitta na wabunge wa Tanzania wa CPA
katibu wa bunge Dr. Thomas Kashillilah akibadilishana mawazo na wafanyakazi wa ofisi za Chama cha Mabunge ya Jumiya ya madola
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola Samwel Sitta
hoteli ya arusha Corridor kunakofanyika baadhi ya vikao vya CPA
Kamati ya utendaji ya CPA katika picha ya pamoja (juu) na wakati wa kikao chao (chini)
Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola Samwel Sitta akiwapokea wajumbe toka Bermuda
Wah. Wabunge wa Tanzania wanaotuwakilisha CPA katika ufunguzi wa mkutano

Chumba cha mkutano
Mh. Hubert Kim E. Swan ambaye ni kiongozi wa kambi ya upinzani katika bunge la Bermuda ni kivutio cha aina yake kwa jinsi anavyopiga pamba katika mkutano huu

no image
Kaka Michuzi pole kwa kazi!
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 35,nna mpenzi wangu ambaye ameachika mara mbili,yaani ameshaolewa mara mbili na kuachwa.Hivi sasa nnae mimi natarajia pia kumuowa,mimi nnae mke,pindi nikibahatika kumuowa atakua mke wa pili au mke mdogo.Jambo linaloniumiza kichwa ni kwamba hajatulia,yaani ana wanaume wengine nje.
Mara ya mwanzo tulipokutana alinambia yeye ameachika na muda huu hana mwanaume yeyote,nilimuamini kwani ilikua naenda nyumbani kwani bila ya wasiwasi wala woga.Kwa muda wote huo sikuona ishara yoyote mbaya ilikua ananipa penzi motomto.
Baada ya kupita kama kipindi cha mwezi mmoja niliona mabadiliko,mpaka akanambia nikitaka kuonana na yeye nisifika nyumbani kwake kwani wako mama zake wadogo kwa hiyo ilikua tunakutana mbali kidogo na yeye,hata ile tabia ya kunipigia simu kila mara ilikatika kabisa na nikimpigia mimi ilikua hapokei au anakata kabisa inaweza hata zikapita siku mbili hatujawasiliana.
Pindi akiwa na safari zake ndo ananipigia nende nikampakie kwenye gari langu nimpeleke,nilijaribu kumdadisi kwa nini amebadilika,alinambia ameamua tu nanisiwe na shaka kwani yeye bado ananipenda kwa udhati wa moyo wake.
Hali ilizidi kunitia wasiwasi nikaamua kupeleleza ndipo nilipogundua kwamba kumbe kaja bwana wake ambae anaishi UK.Niliumia sana lakini ilibidi nivumilie nilijua iko siku ataondoka tu na nitamueleza duku duku langu.
Siku moja akaniaga kua anakwenda Kenya kwa ajili ya kuwasindikiza mama zake wadogo ambao wanatoka UK wamekuja Zanzibar kwa msiba,Nilimkubalia kwani huko nyuma aliniaga anakwenda Kenya kwa matibabu kumbe ilikua ndio amekwenda kumpokea huyo bwana wake wa UK na pesa ya nauli na matibabu nilimpatia.
Siku ilipofika aliondoka na kuwasindikiza wageni lakini nilijua kika kitu kwamba anamsindikiza huyo bwana wake,ruhusa nikatoa.Alikaa kwa kipindi cha wiki moja Kenya baadae akarejea Zanzibar nilikwenda kumpokea bandarini nikamrejesha nyumbani kwani,lakini kwa kipindi chote hicho hakufahamu kwamba mimi naelewa kila kitu kuhusu yeye..
Zikapita siku mbili ndipo nilipoamua kumueleza kila kitu mwanzo alikataa baadae akakiri kua ni kweli akaomba msamaha nikamsamehe kwa vile ilikua bado nampenda.Tuliendelea kuishi vizuri baada ya kupita mda kama wiki tatu akaniaga tena kua anakwenda tena Kenya kwa ajili ya kumtafutia mdogo wake chuo niliingiwa na wasiwasi kidogo ingawa nilimruhusu baadae nikagundua kua sio kweli.
Niliamua kufanya utafiti wangu tena baada ya kurejea Zanzibar ndipo nilipogungua kwamba ana mwanamme mwengine huko kenya ambae ni kigogo wa KRA.Kama kawaida yake alikataa.Siku moja niliamua kuchukua cm yake nikaona msg za mapenzi kutoka Kenya,moyo uliniuma sana kwa huna moyo huwezi hata kumaliza kusoma msg moja.
Nilimuonesha msg zake akanambia kua huyo jamaa yeye hana mahusiano nae kimapenzi ila amamdanganya tu kwa vile alimuahidi kumtafutia kazi,isitoshe huyo ni kaka wa shoga yake kwa hiyo na yeye ni kama kaka yake.
Na hivi sasa huyu kigogo wameagana anakuja Zanzibar karibuni ingawa yeye ananificha lakini nimeona msg kwenye cm yake ingawa yeye hajui kama mimi najua.Mpaka hivi sasa bado wanaendelea kutumiana msg za mapenzi na huyu bibie kila siku safari za Kenya hazimwishi.
Kaka michuzi naomba wadau wanishauri nifanyeje na mimi bado huyu dada nampenda.
Ahsante,
Mdau Zanzibar
no image
Hi Dear Clear Vybz team, It is very amazing. My name is Belinda Twala living in Johannesburg, South Africa. I’d like to xpress my appreciation to Cleav Vybz Radio (International Radio Live).
I own a Nite Club here in JBurg, Guess what? I had misunderstandings with my 2 djs they quitted, and it was about 30 minutes before to start clubbing. I was so confused. It was young man who saved my night.
“Go to www.clearvybz.com” he said then, “click on International Radio Live” hook your Computer to sound sets, you will be fine, there will be a dj running a show for you” he told me.
When I did I coudn't belive it, it was amazing.
“This is the best dj you’ve ever had before” some of audience shouted.
Again, thank Clear Vybz Radio.
I invite you in South Africa.
Belinda Twala.
President Jakaya Mrisho Kikwete with the Speaker of the House of Representatives of the USA Nancy Pelosi in her office at Capitol Hill,Washington DC. President Kikwete held talks with the speaker on bilateral issues.
no image
Sunday, October 4, 2009, 3:30pm
Gethsemane Lutheran Church
Pastor Karen Asmus-Alsnauer
mchungaji@gethsemane.org

(a joint ministry of
Gethsemane and Ascension Lutheran Churches)

Bwana asifiwe!
Praise the Lord!

Please join us on Sunday, October 4, 2009, for a Eucharist Service in Swahili and English. The service begins at 3:30pm with music and videos from a Tanzanian choir.
Holy Communion will be served and all baptized and believing Christians are invited to the Lord’s Table to share in this meal. Kim Knowle will preach the sermon. Kim served two years in the Peace Corps in West Africa and is now in her final year of seminary to become a pastor.
After the service, there will be time to greet one another and enjoy African snacks. The service is at Gethsemane Lutheran Church, 35 E. Stanton Ave., ¼ mile off North High Street behind Tim Horton’s.
If you have any questions or would like more information,
please call the church at 614-885-4319
or email Pastor Karen.

Winners in both disciplines of the Rock City Marathon planned for Sunday (October 4) in Mwanza will each walk away with a cool 1m/-.

Co-ordinator of the event Philipo Simon said in Dar es Salaam yesterday that the runners in both categories will each get 500,000/- while the third placed winners will be given 300,000/- each.

He said the 21 kilometre race will start at the Kirumba Stadium while the other races will start in town and end at the stadium. Other events on the day include a five-kilometre fun race, three-kilometre classic corporate race and a two-kilometre race for people with physical disabilities.

The marathon organized by Capital-Plus International Limited has been sponsored by Air Tanzania Company Limited (ATCL),Aquarock mineral water, Isamilo Lodge (Mwanza), National Social Security (NSSF), New Africa Hotel and 1&1 Internet Solutions Ltd.

He said that over 10,000 runners are expected to compete in the event; the biggest sporting gala in the lake Zone.

“We have got confirmations from Mwanza,Mara,Tabora,Dar eSalaam,Shinyanga,Manyara,Singida, Kilimanjaro,Arusha,Zanzibar and Kagera”,he said.

He said that runners from the neighbouring countries like Kenya,Burundi,Rwanda and Uganda have also asked to compete in the marathon.

“As the days go by, we have been receiving calls from different parts of the country and some neighbouring countries”, he said.

Simon said that the route was measured last month by an official approved by the International Amateur Athletics Associations (IAAF).We expect the race to be very entertaining.

He said that the other races will start in town and pass through many streets before heading to the stadium.

He said that runners from all over the country as well as neighbouring countries are expected to compete in the grueling event.

The theme of the marathon, according to Simon is “Promoting domestic tourism through sports”. “We see Mwanza as a potential in promoting the domestic tourism .However, these attractions have not been promoted fully”, he said.

He mentioned some of the tourism attractions as Saa Nane Island, Rubondo and the huge hanging rocks in Lake Victoria. Phillipo said that the marathon has been backed fully by the Ministry of Natural Resources and Tourism as well as other stakeholders in the tourism sector like the Tanzania Tourism Board (TTB).

He said that registration forms are available at Isamilo Lodge in Mwanza, CCM Kirumba Stadium, Capital- Plus International Limited, Athletics Tanzania (AT) headquarters in Dar es Salaam and Pizzeria Restaurant in Mwanza.

Also they can be downloaded from
http://www.rockcitymarathon.com/.
Jumatatu wiki hii JK alifungua jengo jipya la Ubalozi wa Tanzania mjini Washington DC lililonunuliwa kwa dola milioni 10.415, sawa na shilingi bilioni 13.5.
Akihutubia wakati wa sherehe za ufunguzi, Rais Kikwete alisema jengo hilo mbali ya matumizi ya ofisi, lakini pia ni ishara ya kisiasa na kidiplomasia kuonesha kuwa uhusiano wa Tanzania na Marekani unakua vizuri.


Akizungumza wakati wa kumkaribisha Rais Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Member, alisema jengo hili ndilo kubwa kuliko majengo yote ya balozi za Tanzania duniani.


Kwa mujibu wa Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Balozi Ombeni Sefue, jengo hilo la ghorofa sita lina eneo la futi za mraba 26,240 na litagharimu dola 367,593.54 (shilingi milioni 477) kulitunza kwa mwaka.

Kutokana na kuwepo katika eneo zuri katikati ya Jiji la Washington, serikali imeuagiza ubalozi kupangisha ghorofa tatu ili mbali ya kipato kwa serikali, upangiashaji huo usaidie kulitunza jengo hilo kwa gharama.

Awali mtathimini anayetambuliwa kisheria, Riley & Associates LLC, alikadiria jengo hilo kuwa na thamani ya dola milioni 11,200,000, wakati Jiji la Washington lilitoa thamani ya dola milioni 11,456,200 kwa ajili ya makadirio ya kodi kwa mwaka 2009.

“Tumefanikiwa kulipata jengo hili kwa bei rahisi zaidi kuliko thamani yake, hivyo tumeokoa dola 1,585,000,” alisema Balozi Sefue na kuongeza: “Tulifuata taratibu zote ambapo wizara na ofisi zote husika za Tanzania na Marekani zilihusishwa katika manunuzi.”

Kwa wastani jengo hilo limenunuliwa kwa dola 397 kwa futi moja ya mraba kulinganisha na bei ya majengo mengine katikati ya Jiji la Washington ambayo hugharimu kati ya dola 400 na 900.

Ndani ya jengo hilo lililo kwenye Mtaa wa 22 mkabala na hoteli ya Marriot, kuna picha ya Rais Kikwete na Rais George wa Marekani wakiwa Ikulu Dar es Salaam; picha ya Rais Kikwete na Rais Barack Obama wakiwa Ikulu ya Marekani, Washington DC; picha ya Rais Julius Nyerere wa Tanzania enzi hizo, akiwa na Rais wa Marekani enzi hizo, Jimmy Carter kwenye Ikulu ya Washington DC.

Pia kuna picha rasmi mbili za sura za viongozi, Rais Kikwete na Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere pamoja na picha zingine za mapambo ya fahari ya Tanzania.
no image
Vodacom Miss Tanzania 2009 Beauty Pagenty is here. Fans will have to pay 100,000/- each to watch this year`s eventy set for Ocotber 2 (Friday) at the Mlimani City Hall in Dar.
There would be only 700 VIP tickets for sale at 100,000/- each. The fee will include a sit down buffet dinner. There would be 1,500 standard tickets which would be sold at 50,000/- each. get Tickets are out there early so that fans can have plenty of time to purchase them in advance.
We don`t want anyone to miss out on what we believe will be the event of the year.
Please contact early if you want to book.,0767 333221
or Selling points
1.Steers city centre
2.Zizzou Fashion-Victoria & Sinza
3.Shear Illusion-Mliman City & Millenium Tower
4.Baraka Garden behind CRDB Azikiwe Branch
5.Hadeez Fast Food-City Centre
6.Brand House Azikiwe Street
7.Miss Tanzania Office-Mkwepu Street
8.Mwasu Fashions
no image
Wadau,
You are invited to attend the Inaugural Convention of Tanzanians in the American Diaspora which will be held in Houston, Texas on October 1 – 4, 2009 at the Renaissance Hotel Greenway Plaza.
The Deadline for Registration to participate in the Convention is Thursday,October 1st 2009 at 9pm CT.
There will be no exceptions.
For more information please visit
See you there.......!
no image
Jumuuiya ya watanzania waishiao Korea Kusini (TALIKO), kwa niaba ya uongozi napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha kuwa mkutano wetu utafanyika jmosi (Oct-03) 12:05pm ndani ya PEARL REST. & VINTAGE PUB 126-16 Itaewon-dong Yongsan-gu Seoul. -
Msiopafahamu wala msikonde huwezi potea kabisa, ni opp. na Manhattan Rest. /Goldfish Pub ukikata tu kona kulia baada ya UN Club kama unatokea Subway Satation Exit 3, Pearl Pub ipo jengo moja na Reggae Pub na Latin American Pub, kushoto ni 7eleven mart na kulia ni jengo la Cuncun Club.
Bahati mbaya ukipotea piga number hii. 010 51155703 (Manager) au 01031457025 Paul Nzuki -
Nadhani hapo ni sehemu poa kwa Chakula na kinywaji kwa bei poa kabisa! !- Muda, Agenda vyote katibu atawarushia hivi punde hivyo msikonde! - Kufika kwenu ndio mafanikio ya kikao chetu!!
Paul Nzuki
no image
NOT DEUTSCH OSTAFRIKA
Some white people tend to say that we, Africans have not fully evolved to a state of perfection that befits the criteria to be considered as human being. However the medical evidences object that, experience seem to support that very claim.
There is no need to write much as Mr. John Mashaka has already written most of it, and therefore I propose one radical solution to our intellectual lazyness, idiocy, and backwardness. First of all we must accept that, we Africans, at this stage, have been found wanting in developing our own countries, and our lives have no any sense of purpose.
Secondly, we should look for a new teacher and give them the responsibility to train us on how it should be done. We should therefore request the Germany Government to enter a colonial contract with our country, Tanzania.
We should give them the mandate to colonise and rule us in the very same way as they did in the past. They should use the old draconian ways of disciplining africans, (the use of cane). They should ensure that thrift, responsibility, self awareness, and hardworking culture are again instilled into our people until when the they think that we do fit the category of being declared human beings.
In return, they will have the contol of our resources, which together with our work force, will be used to develop both countries, Tanzania and Germany. Why did I suggest Germany? Unlike the british, the French, Italians, Belgians and other former colonial masters, (who were very busy impoverishing and stealing from their colonies); The Germans have proved to have a real interest in developing their colonies.
Its my own opinion and open to a debate
Mdau Matangalu

Hie kaka ISSA,
Nami nimeanza kublogua kupitia

wadau watapata mambo mengi humu kama, habari, entertainment, whats happening in bongo, etc.lolote na chochote kitapatikana humu. ahsante sana

Mange Kimambi

JK akifunua kitambaa kufungua rasmi jengo jipya la ubalozi jijini Washington Marekani leo asubuhi
Jengo jipya la ubalozi jijini Washington Marekani ambalo JK alilifungua leo asubuhi. Jengo hili limenunuliwa na serikali ya Tanzania kwa jumla ya dola za kimarekani $10,415,000. Chini JK akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya Balozi iliyopo katika jengo jipya la Ubalozi wa Tanzania jijini Washington Marekani leo asubuhi.Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe na wapili kushoto ni Balozi wa Tanzania Washington Ombeni Sefue

JK akisalimiana na wageni mbalimbali na mabalozi waliohudhuria sherehe za ufunguzi wa jengo jipya la ubalozi jijini Washington Marekani zilizofanyika leo asubuhi.
JK akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa jengo jipya la ubalozi jijinji Washington Marekani leo asubuhi. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu






{It is In You}

Health Justice Performance in Tanzania

A performance this Thursday October 1st7pm at Alliance Francaise Terrace

A project developed to share the wisdom of Tanzanian peoplewith the West, and brought back to invite feedback,reflection and a circular process of honoring insight.
Please come, share in this sacred moment of connection, opening, and the question of who each of us is;how we share respect, illuminating one another, and the power to ignite action.
Contact Marie:

+255 714503715,

President Barack Obama and First Lady Michelle Obama pose for a photo during a reception at the Metropolitan Museum in New York with H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, Wednesday, Sept. 23, 2009. (Official White House Photo by Lawrence Jackson)
President Barack Obama and First Lady Michelle Obama pose for a photo during a reception at the Metropolitan Museum in New York with H.E. Asha-Rose Mtengeti Migiro, Deputy Secretary-General of the United Nations, Wednesday, Sept. 23, 2009. (Official White House Photo by Lawrence Jackson)


Academia Sporting Africa of Lisbon, Spain, has offered an opportunity to Awadhi Juma Issa from the Tanzania Soccer Academy a five-day trial period at Academia Sporting Portugal. Academia Sporting Africa hopes that Awadhi will take the opportunity to show his ability and showcase the African flair.
Mdau Israel Saira
London.
hapa ni segera ambapo anko nanihii na dereva wake (mwenye nmb) wa gari la kuazima walipopata dina la mchana na wadau wa tbc one waliokuwa wakitoka a-taun kurudi dar.
maeneo ya thame ndinga likapata pancha. kazi ilikuwa kubadilisha tairi. anko nanihii: hii jeki inawekwa wekwaje vile.....
sehemu za thame gari letu la kubomu likapata pancha. libeneke lilikuwa namna ya kubadili tairi. ah, bana eeee... isiwe taabu. hivyo hivyo tu ndivyo wanafanyaga.....


ndigi iko full nondo. faya eksitingusiha na pia traiengo. ila inawekwa mita ngapi vile nyuma ya gari......


nadhani hapa ni saizi yake


dereva wangu kidoooooogo ana aidia ya nini cha kufanya
anko nanihii anashukuru kufika a-taun salama bin salimini. ila kituo cha kwanza kilikuwa barabara ya nyerere rodi kubadili mipira yote...sijui mwenye gari angetuelewaje endapo kama baada ya kuliacha gari porini kwa usiku mzima lingefanyiwa ushenzi...God is Big yuko salama.