SEMINA YA NENO LA MUNGU
UMOJA CHURCH
Dallas, TX.
Rev. Yohana Maginga

Kwa niaba ya Kanisa la Umoja, ninapenda kukukaribisha kuhudhuria kwenye semina ya neno la Mungu itakayoongozwa na Mch. Yohana Maginga, wa kanisa la Christian Missions Church – Birmingham Alabama.

Semina hii itafanyika katika kanisa la Umoja Church
Jumamosi March 13, kuanzia saa 11 Jioni na Jumapili March 14 kuanzia saa 12 jioni.

Tafadhali wasiliana na Uongozi wa Kanisa kwa maelezo zaidi.

214 554 7381 au 682 552 5402

WOTE MNAKARIBISHWA!!!

UMOJA CHURCH
12727 HILLCREST RD
DALLAS TX 75230

“ …LET THE WEAK SAY, I AM STRONG.” (JOEL 3:10)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wow, brother Yohana, mhubiri wetu pale chapel USCF Mlimani 1996-1999, pia alikuwa mwinjilisti katika missions mbalimbali, nakumbuka zaidi ile ya Kisarawe. God bless you, keep the fire burning!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...