Hatutoshangaa hata kidogo ukituambia kwamba siku hizi unapowaongelea kina Michuzi ni vyema ukafafanua zaidi unamuongelea yupi. Kuna Ahmad na kuna Muhidin, na pia kuna Othman. Leo sisi tunamuongea Ahmad. Ukitaka kujua memngi tembelea Bongo Celebrity
BOFYA HAPA
Vile vile unaweza kupata mahojiano ya
wadau wengine lukuki hapo Bongo Celebrity
BOFYA HAPA
BOFYA HAPA
Vile vile unaweza kupata mahojiano ya
wadau wengine lukuki hapo Bongo Celebrity
BOFYA HAPA
Namuona DOGO hapo. Katuliaa.
ReplyDeleteAnatuburudishaga kwenye JIACHIE kule.
Mwambie tu ajifunze zaidi kutofautisha matumizi ya herufi R na L katika sentensi zake.
Vinginevyo anajitahidi kwa kweli
Huyu ndio yule aliyekuwa anakaa Mbweni? Au ni Othman?
ReplyDeleteMBONA HII NI KAMA KOPI YA MUHIDINI WANAKIJIJI MNASEMA GANI HAPA
ReplyDelete