Wanachama wapya wa CCM wakiapa baada ya kukabidhiwa kadi Mpya na Mjumbe wa Kamati Kuu, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika Mkutano uliofanyika kwenye uwanja wa Kashaulili Mjini Mpanda Kaimu Kamanda wa Vijana wa CCM Taifa, Mh. Kingunge Ngombale Mwiru akizungumza baada ya kumtawaza, Mjumbe wa Kamati Kuu wa CCM, Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda kuwa Kamanda wa Vijana wa CCM wa Mkoa wa Rukwa , kwenye uwanja wa Kashaulili Mjini Mpanda
Kaimu Kamanda wa Vijana wa CCM Taifa, Mh. Kingunge Ngombale Mwiru, Kingunge Ngombale Mwiru akimtawaza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda kuwa Kmamanda wa Vijan awa CCM, Mkoa wa RUkwa, kwenye uwanja wa Kashaulili Mjini Mpanda
Kaimu Kamanda wa Vijana wa CCM Taifa, Kingunge Ngombale Mwiru, Kingunge Ngombale Mwiru akimkabidhi bakora wakati alipomtawaza, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa Kmamanda wa Vijana wa CCM, Mkoa wa RUkwa, kwenye uwanja wa Kashaulili Mjini Mpanda
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa zamani wa Mpanda, Mzee Edward Nsalamba, wakati alipokwenda kumsalimia nyumbani kwake eneo la Kashaulili Mjini Mpanda. Wengine kutoka kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda, Mbunge wa Viti Maalum Janet Masaburi, Mbunge wa Sumbawanga Mjini , Paul Kimiti na Mbunge wa Kuteliwa na Kaimu Kamanda wa Vijana wa CCM Taifa, Kingunge Ngombale Mwiru
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa zamani wa Mpanda, Mzee Edward Nsalamba, wakati alipokwenda kumsalimia nyumbani kwake eneo la Kashaulili Mjini Mpanda






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 28 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 19, 2010

    hahahahaha, kamanda wa vijana?.. kwani ujana unaanzia miaka mingapi mpaka mingapi, tujitahid kuona aibu basi ya ngoswe mwachie ngoswe.. mmmh na kingunge nae kamanda wa watoto, Tanzania hii

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 19, 2010

    OOoh my God..!! Nilitarajia kamanda wa vijana kuwa na umri wa kati ya miaka ya 18 na 35, kumbe I was wrong. Nini hasa maana ya "kamanda wa vijana", kwani si anapashwa kuwa kijana kwa definition sahihi ya ujana ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 19, 2010

    Mimi nashangaa,eti makamanda wa vijana akiwemo Pinda na Kingunge ni wazee.
    Hivi kweli wazee wa CCM hadi ukamanda wa vijana wapo.Vijana wenyewe wako wapi?Kwa nini ukamanda wa vijana wasipewe vijana wenyewe wapate uzoefu wa uongozi?.Nazidi kushangaa Pinda Kamanda wa vijana,Kingunge kamanda wa vijana.Wanapaswa kuwa makamanda wa wazee.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 19, 2010

    "Kaimu Kamanda wa Vijana wa CCM Taifa, Mh. Kingunge Ngombale Mwiru"
    Ah! Kwa mtaji huu kila mtu kijana humo ndani ya CCM! Sasa wazee akina nani? Au walewasokuwa na madaraka wala shule? Maana wale ndo huwa CCM inawatumia kuwaeleza mambo yasokuwa na kichwa wala miguu, halafu utasikia eti Rais alikuwa akiongea na wazee wa mkoa.....!
    Kigumu chama cha mapinduzi.......
    Kiitikio: Kigumuuuuuuuu........

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 19, 2010

    Hata Michuzi ni CCM tu huyu...

    Ametupa comments zote zilizotolewa kuhusu hao mastar waliopozi kwa CCM na sasa amefunga comment link....
    Well utake usitake ukweli utasemwa.....
    Kama CCM unawapalilia basi sema tu hii no blog ya CCM na sio ya Jamii kama unavyoiita....

    Basi nahii comment uitupe lakini ujumbe umeupata.

    Grow up, stop being a hypocrite, and for gods sake stop insulting people you want to take you and your blog seriously.....

    Be fair

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 19, 2010

    sexiest man alive Mizwenge Pinda! What a handsome cutie pie!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 19, 2010

    Safi sana mtoto wa mkulima.Inaaonyesha jinsi gani unakubalika.Ila angalia usikumbwe na upepo wa wingu ufisadi.Tunakuhijati sana kutuwakilisha sisi wanyonge

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 19, 2010

    Yeees!!Mmejionea mbunge wa zamani enzi za Nyerere?...chek home kwake!!Safii,apo alijenga barabara ambayo hadi leo haijafanyiwa ukarabati wowote,alijenga shule yenye vyumba vi3 hadi leo hamna jipya..alijenga zahanati ambayo leo hii madaktari wanaikimbia kwa wingi wa wagonjwa kutoka wilaya za jirani zisizo na hospitali!!Nyerere na serikali yako nitakuabudu siku zote!!poor ME

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 19, 2010

    mwaka wa uchaguzi kila goti litapigwa... tehe tehe tehe....

    ReplyDelete
  10. I like Pinda kweli ni mtoto wa mkulima viongozi wengine waige basi kutembelea watu kama hawa huku uswazi

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 19, 2010

    KWANINI WATANZANIA TUGHARAMIE SHUGHULI ZA CHAMA CHA MAPINDUZI? FUNGU LA GHARAMA HIZI LINATOKA WAPI? WASOMI NA WANASIASA TUOKOENI KUTOKA KWENYE GHARAMA HIZI HARAMU. PINDA ANAPANDA NDEGE YA SERIKALI, ANATUMIA MAGARI YA SERIKALI, ANALIPWA POSHO YEYE NA KUNDI LA WATUMISHI WA SERIKALI ANAOONGOZANA NAO NA KUTUMIA MUDA WA SERIKALI KWA SHUGHULI ZQA CHAMA CHAKE, ZOTE HIZI WATANZANIA WALIPAKODI TUNAGHARAMIA, KWANINI?

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 19, 2010

    tehe tehe tehe kamanda wa wazee CCM mbona tunadanganyana?ndo mana hakuna maendeleo wizi mtupu...!ata kipofu ataona hao ni wazee!

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 19, 2010

    Mimi ni hizo rangi za kijani hunichefua ile mbaya zikivaliwa na viongozi wenye akili kama Mhe. Pinda, huwa nafurahi tu zikivaliwa na yanga.

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 19, 2010

    CCM sounds like Prophecy these days, and THATS A VERY DANGEROUS PRECIDENCE,

    in short people are so desperate and falling towards this trend, I dont blame them, to them seems the only way out of getting a few bobs or as an investment for future pay roll, whether that being a small gift such as A kilo of rice, or receive favouritism from the CCM elites particularly during GEneral election campaign.

    FOR INSTANCE, WHEN I AM LOOKING AT THOSE PICTURES, I SEE OUR PRIME MINISTER ON CENTRE STAGE OF CCM ACTIVITY, BUT I SUSPECT THE PAYROLL FOR THIS ACTIVITY ARE NOT COMMING FROM CCM COFFERS, RATHER THAN PUBLIC FUND. AND THERE IN MY OWN OPINION THE RED LIGHT HAS BEEN CROSSED, WHAT DO YOU THINK WADAU....?

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 19, 2010

    Picha ya mwanzo inayoonyesha wanachama wapya wa ccm, hivi hao wazee walikuwepo wapi miaka yote hiyo na ndio kwanza leo wanakuwa wanachama wa ccm?

    ccm ni chama cha mwanzo katika vyama vyote vya siasa vilivyohai sasa hapa tanzania, inakuwaje hawa hawakuwa wanachama toka enzi hizo? tena nakumbusa sawa sawa huko nyuma kadi ya ccm ilikuwa ni lazima full stop.

    hawa wazee kama wengi katu ya hao waliopo hapo ni wale waliokusanywa tu kwa nguvu kufanya ionekane ni kundi kubwa limejiunga na ccm, ujanja huu tushauzoea tanzania bwana na tunajua kwani wengine tushafanyishiwa hayo!!!

    Michuzi usibanie hii

    Ali Sadiq
    Kwetu zanzibar, malindi. Hatuogopi mtu hapa, simba kavuka bahari kutoka bara na hasira zake kufika ufukweni tumempoza na kumpa chai, yupo hadi hii leo hajaondoka!!!

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 19, 2010

    eti wanachama wapya wa ccm, kila mtu anajua hali mbaya walizonazo zimetokana na uongozi mbaya wa hiyo hiyo CCM, kweli wajinga ndio waliwao!

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 19, 2010

    hivi unapobana meseji unadhani ccm watakupa ubunge wa viti maalum? umeweka hizo picha ili tuzisifie na kuzipigia debe ndo urushe comment? hujui kuna vyama vingi na sio kila mtu ni ccm hatuwezi kusifia pumba kila saa kama wewe ukome kubana meseji zetu bana hayo mapumbu yako meusi tii pusi wee

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 19, 2010

    Sijui ni kwa nini watu wanapiga kelele juu ya michuzi kuwa mwana ccm. ofcourse michuzi ni mwana ccm akikubali au akikana, ushahidi ni post zake zote, ni mara ngapi unaona habari za vyama vyengine hapa? ni mara ngapi umesikia amesafiri na msafara wa chama chochote cha upinzani isipokuwa ccm? safari zake zote nje zina connection na serikali tawala.

    Ni hiari yake, ni uamuzi wake kuiita blog hii ya jamii. hilo ni jina tu sio lazima awe anaitumikia jamii. infact amesema blog ya jamii lakini hajasema ni jamii gani.

    labda nyie mnaosikitika mgelianzisha "blogu ya jamii ya watanzania" au "blog ya jamii ya watanzania wasishikamana na upande wowote" n.k

    Mukrim
    MK massive
    UK

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 19, 2010

    hivi unapobana meseji unadhani ccm watakupa ubunge wa viti maalum? umeweka hizo picha ili tuzisifie na kuzipigia debe ndo urushe comment? hujui kuna vyama vingi na sio kila mtu ni ccm hatuwezi kusifia pumba kila saa kama wewe ukome kubana meseji zetu bana hayo mapumbu yako meusi tii pusi wee

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 19, 2010

    Jamani tupunguze jazba. Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachokitaka. Kama unaona hapa maoni yenu yanabanwa, njooni hapa: www.vijanafm.com

    Tufungue macho Vijana!!!

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 19, 2010

    Mnaona balaa hilo??????? wale wenye midomo mirefu wakiona watu wanalalamika kuhusu mambo kama hayo wanajifanya kutoa majibu ya ujuaji

    sasa kuna kijana hapo???????
    semeni sasa nyie makada wa ccm kuna kijana hapo????????

    na huyo aliekuwa mbunge wa zamani inaonekana alitumikia uma kwa roho safi na bila ufisadi maana huo mjengo wake sio mchezo

    ukiwa unatumikia wana jamii ni vyema nawewe mwenyewe ukajenga hukohuko unapotumikia na ukaishi na hao unaowatumikia

    leo hii utasikia mbunge wa mbeya au mbunge wa shinyanga anaishi msasani dar es salaam

    wabunge mawaziri wote wanajenga msasani mikocheni mbona wasijenge huko wanapotumikia ?????????

    haya waosha vinywa wa CCM fungueni midomo yenu kuendelea kuwatetea watu kama hao

    angalia wapiga kura wa ccm ni wale wazee ambao hawakuenda shule tokea enzi za mwalimu na ni watu ambao wakipewa khanga tu na kilo 2 za sukari basi ujuwe kura kwa ccm

    lakini na uhakika baada ya miaka 20 ijayo wazee watakuwa wametangulia mbele ya safari na vijana wa sasa watakuwa wamepata elimu bora hawatokubali kuburuzwa

    asante ankal kwa habari.

    ReplyDelete
  22. Mpalang'ombeMay 19, 2010

    Unajua siasa ni kama ze comedi vile, unachotakiwa kufanya kuvuta hisia za watu ili upate kila unachotaka "ULWA" au "KULA".
    Mimi pamoja na juhudi zangu zote za kufuatilia sijajua hasa "KAMANDA WA VIJANA" kazi yake nini? , Je Vijana hawa ni WANAJESHI?, maana tunajua neno KAMANDA hutumiwa jeshini. Vipi kuhusu Umri nao maana mpaka vikongwe nao ni makamanda wa Vijana, kwa nini wasiwe makamanda wa wanawake, wazazi, wazee n.k?

    Kuna uhusiano gani katika kuwa kamanda wa vijana na kugombea UBUNGE?, Maana naona mfumuko wa makamanda wa vijana umekuwa mkubwa sana 2010. Je mkoa unaweza kuwa na kamanda zaidi ya mmoja, kwa maana kama mimi pia nataka kugombea ubunge na pinda jimbo moja naweza simikwa Ukamanda wa mkoa wa rukwa pia? ili tuwe na uwanja sawa katika kura za maoni yaani kamanda kwa kamanda.

    Halafu haya majoho wanayovalishana kama sheikh anaingia kutoa hotuba ya ijumaa au mfalme Mautikitiki anajiandaa kuongoza jeshi la kulikamata jua lisizame yana maana gani hasa?.

    Maana mimi ninaona mchezo wote ni kama wa KUIGIZA TU LOL!

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 19, 2010

    Ushauri wa bure kwa CCM hasa kwa hili neno la Kamanda wa Vijana....watumie Mlezi wa vijana anagalau ita-sound poa.
    Huyu mbunge wa zamani kweli ni mzalendo halisi ambaye anaipenda nchi yake na nina uhakika aliwatumikia wananchi wake kwa moyo safi bila kuleta ufisadi. Kazi nzuri sana Mzee Nsalamba.

    ReplyDelete
  24. MZEE WA BUNJUMay 19, 2010

    MBUGE??? HUYO NDO ALIKUA MBUGE HASWA 0 PERCENT UFISADI, WABUNGE WALEO JE??? WATARUDIA MAKOSA KAMA HAYO!!!!!!!TUBORESHE MFUNGO WA PENSION KWA WASTAAFU VINGINE UFISADI KWISHA KAZI KUBWA MANAKE HAKUNA ATAKE KUBALI AZEEKE KWA TABU NAMNA HIYO

    ReplyDelete
  25. AnonymousMay 19, 2010

    HII NI BLOG YA CCM.JAMANI TUANGALIE BLOG NYINGINE .TANZANIA INA USHABIKI NA SIO UKWELI NA UWAZI.SASA HAO VIJANA NA UCCM UMETOKA WAPI KAMA SIO KUWACHANGANYA WANANCHI?SASA HIVI TUSIANGALIE MASTAA WANAKWENDA WAPI AU WANASHABIKIA NINI ,TUANGALIE UKWELI UPO WAPI TUENDELEE NA SIO KUBURUZWA TU.tuwaelimishe wananchi kuhusu hii issue sasa.safari hii ccm mna kazi .hata wamlete fifty cent na wamvalishe jezi ya ccm,hawapati kitu.

    ReplyDelete
  26. AnonymousMay 19, 2010

    MBUNGE WA ZAMANI AU ? SIJAFAHAMU NAONA KACHOKA KAMA ZAMANI

    ReplyDelete
  27. AnonymousMay 20, 2010

    Michuzi, umekosea lugha katika kichwa cha habari na hivyo umemdhalilisha sana Pinda. Sio "kutawazwa", ni "kutawadhwa". Kutawazwa (ni mambo ya chooni, linatokana na neno kutawaza.

    ReplyDelete
  28. AnonymousMay 20, 2010

    DuuH! Yaani umekuwa UFALME sasa! Huna haja hata ya kwenda shule - Wakikutunuku tu basi wewe utazeekea huko huko. Kweli tuko nyuma.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...