Msaada kwenye tuta, Ankal!

Tunapenda kuwataarifu Vijana kuwa tumehama kutoka kwenye tovuti (www.vijanafm.com) na blog (www.vijanafm.blogspot.com) ya awali.
Hii yote ni katika kuboresha ufanisi;
sasa hivi tovuti na blog zinapatikana hapa:
http://vijana.fm

Tumefanikiwa kuondoa kwikwi zote baada ya zoezi zima la kuhama na mnakaribishwa kwa moyo mkunjufu kwenye kijiwe kipya.

Vijana FM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2010

    kutoka kwenye DOT.COM mpaka BLOGSPOT DOT.COM ni hatua moja nyuma kubwa sana au mmekula hela ya DOMAIN

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 28, 2010

    Mzee, wametoka www.vijanafm.com na sasa hivi tuko "VIJANA.FM"...domain ni ya DOT FM.

    Huoni au unataka kuponda tu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...