Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Wakili wa kujitegemea, Mabere Marando akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati wa mkutano wake na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 38 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2010

    Atakuwa anafuata yale mahera aliyotoa Mzee Sabodo juzi!!! hihihi

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 22, 2010

    CHADEMA KIMESHAKUWA CHAMA MBADALA

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 22, 2010

    kula tano kaka, na bado wanakuja mpaka kieleweke

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 22, 2010

    Huu ni Umalaya na Uchangudoa wa Siasa....hawa watu hawana misimamo kwahiyo hivyo vyama haviwezi kukomaa...leo TLP, kesho CCM, another day CMJ...sasa mbona ni vurugu? Halafu huyo Mabere Marando mbona kaongezeka hivyo kalikuwa kamekaukiana....kuna nini? Lazima kuna ulaji mahali tena wa CCM....

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 22, 2010

    Wawaaaa!! Hongera Mabere Nyaucho Marando.

    Safiiiiiiiii sana hiyoo!!
    CHADEMA tusonga kwa sana.

    CCMafisadi...presha inapanda presha inashuka!! tutawashika pabaya mwaka huu.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 22, 2010

    Hii imekaa vizuri

    Sasa JK na wanzako tunataka mdahalo mwaka huu. sio mnakimbia kimbia tu kila mwaka.

    Kama mnajiamini na mko safi mbele za waTZ na wanachama wenu..msikmbie mdahalo.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 22, 2010

    Mambo si hayo. na bado kuna wengine wanafuata. Huraa Marando!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 22, 2010

    Chonde chonde Silaa na wenzako, mkataeni huyo jamaa anakuja kuwavuruga huko kama alivyoivuruga NCCR-Mageuzi. Hilo ni pandikizi la mimiem.

    Mdau
    Mbezi Louis

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 22, 2010

    Hongera sana mzee Marando kwa uamuzi mzuri. Tunahitaji wasomi wanaoongozwa na fikra zao, sio kukumbatia habari za CCM kwa ajili ya maslahi. Mtu anayechagua kujiunga na upinzani katika hali hii ya ukandamizaji kutoka chama tawala, ninamhesabu kama mtu mwenye uchungu na nchi, na hali ya watanzania, bila kuweka mbele maslahi yake binafsi, kama wengi wanaoshabikia mfumo wa chama tawala.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 22, 2010

    hawa watu ndo wanachafua vyama vya upinzani wakisha tozwa uko CCM kugombea huongozi wana jiunga chadema. miaka yote mlikuwa wapi adi leo siku ya uchaguzi ndo mnakimbilia chadema !!

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 22, 2010

    I GUESS ANAKWENDA KUWA MGOMBEA MWENZA

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 22, 2010

    wachanga ni wezi tu !!akuna cha chadema wala nini hapo hanalake analo tafuta !!

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 22, 2010

    karibu saaana kwenye chama halisi cha WATANZANIA, lakini plz usije ukaleta malumbano na kuua chama..!

    ALL IN ALL ITS A WISE DECISION ..KARIBU

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 22, 2010

    braza mabe wewe ungerudi CCM tu, huko hamna mpango.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 22, 2010

    Mzee wa Mizengwe, na Kuharibu anataka kuwaharibia na CHADEMA sasa!!

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 22, 2010

    Uuuuuuwiiii!!! Sasa CHADEMA basi!!!! hawa jamaa ndio walioiua NCCR wakati ikiwa kwenye "peak" ...leo CHADEMA tena inajitangazia na kujichimbia Kaburi.
    Pole sana CHADEMA.

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 22, 2010

    CHADEMA mpepoteza kabisa mwelekeo, hivi Hamumjui Marando? Huyu Mtetea dhuluma dhidi ya watoto na aliyeua upinzani wa kweli Tanzania kupitia NCCR Mageuzi? AAAGHRRR!

    ReplyDelete
  18. AnonymousJuly 22, 2010

    maoni yangu, CHADEMA wasimpe cheo shochote cha juu huyu jamaa kwani kazi yake ni kutibuatibua mambo huko upinzani

    Michuzi usiwe unabania komenti zenye faida kwa wananchi.

    ReplyDelete
  19. AnonymousJuly 22, 2010

    Huyu naye ni "political prostitute"...this has nothing to do with haki ya kikatiba...haiwezekani kila kukicha mtu ana-switch tu kutoka hapa kwenda kule!

    Dawa ni moja tu kwa Chadema kuweka maombi yake ya uanachama pending mpaka baada ya uchaguzi...

    ReplyDelete
  20. AnonymousJuly 22, 2010

    What happened to Mabere? Mbona kabadilika ivi. Wala sikumjua kuwa ni yeye.

    Alafu bado tu anrukaruka from one party to another.Si arusi tu kwenye chama cha washikaji CCM. Kwa mzee wakutabasamu

    ReplyDelete
  21. AnonymousJuly 22, 2010

    CHADEMA kuweni waangalifu sana na huyu jamaa, ndiye muuaji mkuu wa vyama vinavyokuwa tishio kwa CCM. Kumbukeni alivyoitenda NCCR yake hadi sasa imebakia kuwa chama cha Buguruni kwa Mnyamani tu!

    ReplyDelete
  22. AnonymousJuly 22, 2010

    safi sana homeboy hilo ndo chama dume lenye watu makin km wewe. hapo ndo pake homeboy

    ReplyDelete
  23. AnonymousJuly 22, 2010

    we anony 4:05 acha uzushi.angeenda CCMafisadi ungesema hayo uyasemayo?? Marando welcome to CHADEMA chama halisi cha watz

    ReplyDelete
  24. AnonymousJuly 22, 2010

    Huyo jamaa ni Shesna...jiangalieni wana Chadema

    ReplyDelete
  25. AnonymousJuly 22, 2010

    Hivi mnasema Marando aliua NCCR, lakini hamjui kuwa NCCR ipo kwa sababu yake? Yeye ndiyi mwanzilishi.

    Hamkumbuki kwamba alijivua uenyekiti na kumpa Mrema ambaye alikuwa nyota ya kisiasa wakati ule? Nani angekubali kujivua madaraka kirahisi namna ile hapo Tanzania?

    Tatu, msisahau kwamba NCCR wenyewe walimtema kwenye nafasi za uongozi katika uchaguzi wa kidemokrasia na akaishia kuwa mwanachama wa kawaida huku NCCR ikifa yenyewe?

    Mnyonge mnyongeni lakini haki mpeni. Akina Mbatia wenyewe ndiyo walimtoa Marando kwenye duru za chama ili wakiendeshe kama NGO. Acheni kusema bila kuwa na data.

    Ana haki kuhamia chama chochote kwa maslahi ya nchi na hata yake mwenyewe.

    Michuzi weka hii.

    ReplyDelete
  26. AnonymousJuly 22, 2010

    wewe uliyeandika wachaga wezi acha kukurupuka kama hujui majina ya wachaga uliza kwanza ndipo utoe maoni, mabere sio mchaga anatoka Mara,. next time do your reseach before u put u're comment. pumbafu we.

    ReplyDelete
  27. AnonymousJuly 22, 2010

    Wangejitokeza wengineo kama akina Dr. Mwakyembe na Anne Kilango-Malecela kuhamia CHADEMA, mbona ingekuwa INRI! Imekwisha! Yaani akina fulani fulani wangekuwa 'marehemu' haswa!

    Wallah, na wengine tungeunga tella (Trailer), japo kwa ujumbe wa nyumba kumi tu.

    ReplyDelete
  28. AnonymousJuly 22, 2010

    Karibu CHADEMA.
    This time mpaka kieleweke.
    Mwaka huu tunamchukua hadi Kikwete.
    Ndio kwanza mechi haijaanza.

    MUNGU IBARIKI CHADEMA

    MUNGU IBARIKI TANZANIA.

    ReplyDelete
  29. AnonymousJuly 22, 2010

    CCM wakati wa cheza ngoma za mdundiko na mdumange inafikia ukingoni.Chadema ina watu makini wasio na mzaaa mzaaa kama CCM.Tumechoka na-mambo ya kimzaa mzaa ndani ya CCM IT'S TIME FOR CHANGE IN TANZANIA POLITICS.CCM imekaa madarakani miaka 49 almost nusu karne,ni wakati wa kuwapisha wengine.

    Wakati umefika kwa upinzani kua-chana na siasa za kibinafsi na kumsapoti mgombea moja kutoka kambi ya upinzani.
    HONGERA SLAA

    ReplyDelete
  30. AnonymousJuly 22, 2010

    Kuwa na vyama vingi vya siasa tungeacha nyuma kidogo. Kama watu wanataka maendeleo tanzania wangejiunga na chama hiki tu na vingine vidogo dogo viachwe ili kiwe na watu wengi either uwe CCM au CHADEMA. Kwei upinzania ungekua mmakali. Baada ya miaka kadhaa watu wakishajua utamu wa competition ndio viundwe vingine. Bila hivyo hatuna nguvu kabisa ya kuiengua CCM regardless of who is joining and who is not.....

    ReplyDelete
  31. AnonymousJuly 22, 2010

    wengine wataongezeka....ngoja kura za maoni ziishe tu mwisho wa july huko CCM....ubunge deal!....sidhani kama ni wote wana dhamira nyingine zaidi ya kutaka kuingia mjengoni!

    ReplyDelete
  32. AnonymousJuly 23, 2010

    Bongo bana always go opposite mf, Mpira badala ya kusaidia vilabu vidogo viwe vikubwa sisi tunadhamini SIMBA na YANGA tu,Siasa Badala ya Kusapoti CUF ilete challenge kwa CCM sie ndio tunajiunga na CHADEMA. Huku ni kuua upinzani na kufanya CCM kuchukua madaraka easy. AND I KNOW THIS PEOPLE LIKE MABERE THEY KNOW WHAT THEY ARE DOING.

    ReplyDelete
  33. AnonymousJuly 23, 2010

    Watanzania wenzangu,hii ni blog ya jamii inayoendeshwa na mtu(Issa),tueitumie vizuri basi katika kuleta changamoto za maendeleo ktk jamii yetu.Mtu anapost comment bila kujiuliza amepost nini...bila kuwa na data na umakini kwa yale aliyoyaandika.
    Swala la Adv. Marando kuhamia CHADEMA ni swala la kawaida katika siasa,sasa kusema maneno ya ovyo ovyo tuu katika hili mimi kwangu naona sio sawa.

    Hongera Marando na Hongera Chadema,cha muhimu ni kujitaidi kufanya yale ambayo watanzania wengi wanayategemea na kuyasimamia,tusiwe wabinafsi na wapenda kujilimbikizia mali na madaraka,bali tutumie akili zetu kuendeleza rasirimali zetu na kuzitumia kwa maendeleo ya wote,tusiangalie Chama zaidi,tuangalie uwezo,CHADEMA ni chama chenye watu wenye uwezo na ninaamini kitayaanzisha mabadiliko ya kweli ndani ya nchi hii.CCM na serikali yake kimeshindwa mengi zaidi kuliko kilichoyaweza....kama serikali haina kipaumbele katika bajeti zake miaka yote,hakuna muujiza utakaotokea na kuleta maendeleo katika nchi yetu.

    Kwa pamoja tunaweza,tutimize wajibu wetu.

    ReplyDelete
  34. AnonymousJuly 23, 2010

    Watu woooooooote WENYE AKILI tunajua Mabere Marando analetwa KUVUIRUGA CHADEMA na kuhakikisha HAIWI TISHIO kwa CCM.
    Kama ndani ya chadema kuna wajinga, basi watamruhusu aingie kwenye vikao vyao, na huo utakuwa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA.

    CIA & KGB Joint Team Director, Washington

    ReplyDelete
  35. AnonymousJuly 23, 2010

    Huyu jamaa amepandikizwa Chadema. Marando kama vile alivyofanikiwa kukivuruga NCCR pia atakivuruga CHADEMA. Watch this space...in 3 years' time!!!!!

    ReplyDelete
  36. AnonymousJuly 23, 2010

    Mimi binafsi simwamini mtu yoyote aliyehama vyama mara tatu kwa miaka 15!!! Mhh, kuna kitu ambacho si sawa hapa.

    ReplyDelete
  37. AnonymousJuly 23, 2010

    joint team director wa washington, nakubaliana na wewe. ni wajinga tu ambao hawajifunzi kutokana na historia. ni muhimu kwa chama chochote kujua historia ya watu maarufu wanaojiunga nao na kujua vitu walivvyovifanya huko nyuma kuua vyama vya upinzani walivyovipitia. au labda chadema wana mkakati wa kumzuia asifanye damage aliyoifanya nccr ambacho kilikuwa chama imara zaidi ya chadema.

    ReplyDelete
  38. Mimi binafsi naamini CHADEMA wamejipanga vyema ili kukabiliana na yeyote yule mwenye nia ya kujiunga na chama hiki ili kukisambaratisha. Anakaribishwa saaaaaaaaaana tu kama anania chanya; ila nina hakika kuwa kama anania hasi basi hatachukua mda hapa.. lazima atatimuliwa.

    Mungu ibariki CHADEMA, Ibariki Tanzania. ( a member frm Arusha ).

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...