Mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM,Dk. Bilal akizungumza na wanachi wa Wilaya ya Nanyumbu baada ya kuingia mpakani mwa wilaya hiyo na Masasi leo
Kamanda wa Chipukizi wa Wilaya ya Masasi, Fatuma Rajab akimvisha skafu Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal alipokuwa akiingia mpakani mwa Wilaya ya Masasi akitokea Wilaya ya Newala leo mchana
Mgobea Mwenza wa urais, Dk. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na wananchi na viongozi wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Masasi, baada ya kuingia mpakani mwa wilaya hiyo na Newala, leo
Baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Newala Mkoa wa Mtwara, wakiwa katika magari kwenye msafara wa kumsindikiza Mgombea Mwenza wa nafsi ya urais, Dk Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akitoka Wilaya hiyo kuelekea Wilaya ya Masasi leo asubuhi
wananchi wa Kijiji cha Lukuledi Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara, waliojitokeza kumsikiliza mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia na kuwanadi wagombea Ubunge wa Jimbo la Lulindi,Bwanausi Dismas na Mariam Kasembe wa Jimbo la Masasi leo
Kamanda wa Chipukizi wa Wilaya ya Masasi, Fatuma Rajab akimvisha skafu Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal alipokuwa akiingia mpakani mwa Wilaya ya Masasi akitokea Wilaya ya Newala leo mchana
Mgobea Mwenza wa urais, Dk. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na wananchi na viongozi wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Masasi, baada ya kuingia mpakani mwa wilaya hiyo na Newala, leo
Baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Newala Mkoa wa Mtwara, wakiwa katika magari kwenye msafara wa kumsindikiza Mgombea Mwenza wa nafsi ya urais, Dk Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akitoka Wilaya hiyo kuelekea Wilaya ya Masasi leo asubuhi
wananchi wa Kijiji cha Lukuledi Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara, waliojitokeza kumsikiliza mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia na kuwanadi wagombea Ubunge wa Jimbo la Lulindi,Bwanausi Dismas na Mariam Kasembe wa Jimbo la Masasi leo
Wananchi wa Kijiji cha Mangaka Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara Jimbo la Nanyumbu, wakimsikiliza mgombea mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Kijiji hicho leo mchana.
(Picha na Muhidin Sufiani)
Polisi mpo wapi? angalia watu mananing'inia katika magari mnawaachia je huu si ushabiki?
ReplyDeleteTANZANIA MAISHA BORA KWA KILA MTU. WANANCHI HAO WANAONEKANA WAKO VYEMA KABISA NA MAISHA YAO NI MSWAANO KABISA. WATEGEMEE KUENDELEA KUISHI KATIKA HALI HIYO YA MAISHA KWA KUICHAGUA CCM TENA KWANI NDIYO IMEWAFANYA WAWE NA MAISHA YA HALI HIYO TANGU UHURU WA TANGANYIKA MWAKA 1961.
ReplyDeleteNa mchina naye CCM?
ReplyDeleteHussein Bashe mumesema si raia, mchina Raia?
(US Blogger)
MSAADA TUTANI JAMANI, NAOMBA KUFAHAMU NI BLOG GANI IPO INDEPENDENT KATIKA KUTOA HABARI ZA VYAMA VYA SIASA YAANI HAIPENDELEI CHAMA CHOCHOTE, NAHITAJI KUPATA HABARI ZA CHADEMA NINAAMINI KUNAKITU WANAKIFANYA WAKATI HUU SOMEWHERE AMBAKO MICHUZI NA TIMU YAKE HAWAFIKI
ReplyDeletemasikini
ReplyDeletewe michuzi unaboa sana..wewe ni mdini na mbaguzi na hufai kuwa mpashaji hbr..huwezi ukawa waweka za ccm tu na cuf kidogo tena vile waona cuf sio threat kwa ccm..mbona huweki hata kidogo mambo za chadema..kwakweli nimeamua nikuambie..hatushi namna hiyo..weka na mambo ya chedema...dr slaa amechana sana juzi hujaandika kitu
ReplyDeleteBradha mwambieni huyo Kamanda wa Vijana taratibu hapo aangalie asije akamtoa UDHU Mhe. Bilal kwani mwenzie kafunga!
ReplyDeleteMikono hiyo isije ikagusa mwili. Iguse shati tu.
vinginevyo atamfungulisha mwenzie bure!
WATU WAZEEEEEEEEEEEEEEEE???? MADARAKA KUACHIA HAWATAKI. ANAWAYS, TUTAFIKA TU.
ReplyDeleteKwao muhimu juu kuna shati la sisiemu, maisha bora ndio hayo.
ReplyDeleteMungu tusaidie