





(Picha na Muhidin Sufiani)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Polisi mpo wapi? angalia watu mananing'inia katika magari mnawaachia je huu si ushabiki?
ReplyDeleteTANZANIA MAISHA BORA KWA KILA MTU. WANANCHI HAO WANAONEKANA WAKO VYEMA KABISA NA MAISHA YAO NI MSWAANO KABISA. WATEGEMEE KUENDELEA KUISHI KATIKA HALI HIYO YA MAISHA KWA KUICHAGUA CCM TENA KWANI NDIYO IMEWAFANYA WAWE NA MAISHA YA HALI HIYO TANGU UHURU WA TANGANYIKA MWAKA 1961.
ReplyDeleteNa mchina naye CCM?
ReplyDeleteHussein Bashe mumesema si raia, mchina Raia?
(US Blogger)
MSAADA TUTANI JAMANI, NAOMBA KUFAHAMU NI BLOG GANI IPO INDEPENDENT KATIKA KUTOA HABARI ZA VYAMA VYA SIASA YAANI HAIPENDELEI CHAMA CHOCHOTE, NAHITAJI KUPATA HABARI ZA CHADEMA NINAAMINI KUNAKITU WANAKIFANYA WAKATI HUU SOMEWHERE AMBAKO MICHUZI NA TIMU YAKE HAWAFIKI
ReplyDeletemasikini
ReplyDeletewe michuzi unaboa sana..wewe ni mdini na mbaguzi na hufai kuwa mpashaji hbr..huwezi ukawa waweka za ccm tu na cuf kidogo tena vile waona cuf sio threat kwa ccm..mbona huweki hata kidogo mambo za chadema..kwakweli nimeamua nikuambie..hatushi namna hiyo..weka na mambo ya chedema...dr slaa amechana sana juzi hujaandika kitu
ReplyDeleteBradha mwambieni huyo Kamanda wa Vijana taratibu hapo aangalie asije akamtoa UDHU Mhe. Bilal kwani mwenzie kafunga!
ReplyDeleteMikono hiyo isije ikagusa mwili. Iguse shati tu.
vinginevyo atamfungulisha mwenzie bure!
WATU WAZEEEEEEEEEEEEEEEE???? MADARAKA KUACHIA HAWATAKI. ANAWAYS, TUTAFIKA TU.
ReplyDeleteKwao muhimu juu kuna shati la sisiemu, maisha bora ndio hayo.
ReplyDeleteMungu tusaidie