Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania Emanuel Ole Naiko akiwa kwenye picha ya pamoja na warembo wa Vodacom Miss Tanzania, kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli Charles Bekon, Kushoto kwake ni Meneja Mawasiliano wa Vodacom Tanzania na Hashim Lungenga Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania.warembo hao wanatarajia kwenda Arusha kesho.
Home
Unlabelled
Vodacom Miss Tanzania Waagwa leo kwa safari ya mbuga za wanyama Arusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Utakuta Hiyo Safari Ya Arusha unaweza Ukashangaa wanaongoza na timu hiyo hiyo Kina Ole Naiko, Huyo alieitwa "Lungenga" na mkurugenzi wa Mawasiliano Vodacom!! Sasa hapo c kutengeneza mazingira kweli!!!! Hivi we Lungenga Unafunga kweli wewe!! Astaghafirullah!! Astaghafirullah!! Astaghafirullah!!
ReplyDelete