Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe akielezea sakata hilo la wasanii kupata viwanja kijiji cha Kisegese.
Home
Unlabelled
Wasanii wametapeliwa viwanja kisarawe?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe akielezea sakata hilo la wasanii kupata viwanja kijiji cha Kisegese.
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani hata sisi tunangoje ahii dea kumbe ni uwongo. Tumetuma ndugu yetu aende kuangalia shamba kabla hatujaleta hela na anakwenda kesho jumamosi. Tumeahidiwa heka 100...Gees
ReplyDeletehao ni wasanii wa kitu gani music ama ?
ReplyDeletepole sana wasanii wetu kwa kuingizwa mjini
ReplyDeleteBongo tambarale bwana!!
ReplyDeleteBongo usanii kwa kwenda mbele. Wasanii wamefanyiwa usanii..LOL .
ReplyDeleteHiyo ndio asante ya ku-kampeni sasa imekula kwenu. Tanzania ina wenyewe bwana. Ubinafsi unasumbua wengi sana ndio maana nchi haiendelei na matabaka ya watu wenye nazo na wasio nazo. Poor Tanzania mungu turehemu. Sasa nyie mlikua mnapewa kwakigezo kipi???
ReplyDelete