Rais wa TFF Sir Leodegar Chilla Tenga na Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom TAnzania Ephraim MAfuru wakimkabidhi ngao ya hisani nahodha wa Yanga Fred Mbuna baada ya vijana hao wa Jangwani kuwatungua Wekundu wa Msimbazi, Simba, bao 3-1 jioni hii neshno hapa Dar katika mchezo wa ngao ya hisani. Dakika 90 ngoma ilikuwa droo 0-0 ndipo ikaja mikwaju ya penati ambapo Yanga walitia kimiani mitatu na kipa wa Simba Ally Mustafa Barthez aliokoa mbili. Simba walikosa mikwaju mitatu, moja walopaisha na kipa wa Yanga Yao Berko toka Ghana akafuta moja
Makamu Mwenyekiti wa Yanga Davies Mosha akijidai na ngao ya hisani ambayo vijana wake wameipata kwa kuwafunga watani wao wa jadi 3-1

Yanga Imara - Daima mbele, nyuma mwiko
aiayayayaaaaaaa yayayayayaaaaaaaa

Mashabiki wa Sima wanadai
ati mgonjwa kaanza kunywa uji....




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 21 mpaka sasa

  1. Ukitaka kujua tofauti ya wachezaji wa sasa na zamani weee mcheck Sir Tenga na huyo nahodha wa Yanga,......Sir Tenga kipande cha mtu na huyo nahodha utasema ni wale Yosso wa zamani.uuuwiiiiiii.
    mdau wa London.

    ReplyDelete
  2. MNYAMA CHALIIIIIII!!! KUDADADEKI.

    ReplyDelete
  3. YANGA UREEEEEEEEEEEEEEE PAMOJA MAN U MWANZO MZURI CHAMA LANGUUUUUU

    ReplyDelete
  4. Ebwanaa eeeh! Young African taifa kubwa asikwambie mtu man... Mmmh! haya sasa wale simba wote ni full kufyata mkia mwaka huu, hahahaha hihihi Yanga ni raha jamani ^_~

    ReplyDelete
  5. Hiyo Watajuwa Wao Kama kaanza kunywa uji au Shurba ya Futar ila Wanaume Ndio Wanaanza Kuvipanga Vitu Kabatini Tunaanza na Ngao Kisha.....

    ReplyDelete
  6. hizo ngao jamani!! hiyo ngao hina thamani gani mbona mbaya hata havutii !!

    ReplyDelete
  7. CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

    ReplyDelete
  8. mimi nilijua tuu yaani davis mosha kaingia mtu wangu mambo yatakua swafi kabisa davis uongozi wako unaanza na mapema yanga juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu zaidi

    ReplyDelete
  9. DK SLAA OYEEEEEEEEEEEEEE!!!!

    ReplyDelete
  10. YANGA taifa kubwaa!!! mziki mnenee..tunatusha balaaaaaaaa!!

    Simba tumwatenda kijinsia,mmefyata mkia kimyaaaaaaa!!

    Mmmmm! Jangwani Raha tupuu

    ReplyDelete
  11. trouble makerAugust 19, 2010

    Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
    Ebwanaeeeeeeeeee! Yanga ipo juuu vibaya mno mtu wangu yaaani wamepiga soka mwanzo mwisho. Simba kumuona Berko tu Roho juu penat wanapasia mwamba.

    ReplyDelete
  12. The trouble MakerAugust 19, 2010

    Watu Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  13. Puga haooooooooooooooooooooooooooooooo! hayo ndo mambo ya Jangwani

    ReplyDelete
  14. heee michu we yanga?

    ReplyDelete
  15. Khaaaa! hiyo ngao mboni aibuu! toka enzi zilee, Voda tafuteni kitu yakueleweka!

    ReplyDelete
  16. Mdau wa London, Huyo anaitwa Fred Mbuna ni bwana mdogo sana ana kama miaka 18 tu hivi.....ila ndiye mchezaji aliyedumu yanga kwa muda mrefu ...haaaah haaaaaah.

    ReplyDelete
  17. YANGA BOMBAAugust 19, 2010

    ALAMBA!ALAMBA SIMBA AAM!AAM!

    ReplyDelete
  18. Yaani Jangwani ndoo hiyo imeanza kaka luku yako imeisha Jengo gizani tena na sisi tutakufikia tu. kama ujui habari ndo hiyo. Check fans wa Yanga wajanja njano juu Jeans chini yaani ful wajanja see ur self katika photo...

    ReplyDelete
  19. lugha, kha!!!!!!!!! si tuandike kiswahili tu jamani??? lugha za watu kama hatuzimudi tuwaachie wenyewe! manake hata mwenye blog kaharibu ....angalieni headline ya picha ya mwisho.LOH! sasa tuelewa wanavunja fast[wanafuturu] au wanashangiliw "well earned break" after scoring au????naomba msaada kwa hili.halafu comments zetu wadau ndio kabisaaaaaaaaaaaaa hazieleweki . LOL!

    ReplyDelete
  20. Ukitaka kujua ukweli wa hilo mdau wa london nikuwa Tenga umri umeenda kwa hivyo uzito umeongezeka kama ni urefu Tenga amesimamila kwenye kitu (kama ngazi ndiyo yupo kwa juu), tofauti na kijana huyo ni mdogo na pia tizi kila siku, vijana siku hizi wanajitahidi kutokana na posho zipo nyingi katika michezo hasa mpira wa miguu, asanteni.

    ReplyDelete
  21. Hilo ni kombe la mbuzi lakini tayari kelele hata maji hatunywi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...