Nimechoka kuona
1. Watu wanatoa misaada.
2. Picha za kufuturu.
3. Picha za siasa hasa CCM.
4. Mauzo ya magari
5. Picha za wanasiasa hasa Rais JK
6. Picha za harusi.
7. Maoni ya walala hoi wasio na elimu hata ya sekondari lakini wana Shs. 500 ya intaneti.
8. Designer wa Nguo wa Bongo. (mpaka ualikwe Paris,Ufaransa kuonyesha mavazi ndio nataka kukusoma)

Nataka kuona
1. Biashara gani inalipa Bongo.
2. Jinsi gani wasomi wanasaidia uchumi.
3. Lini barabara zitajengwa ili ipunguze foleni.
4. Picha za Warembo wa ukweli.
5. Contact za wafanyabiashara wanaokuja juu Tanzania.
6. Serikali wanataka wasomi gani kuwapa kazi.
7. Nini ishu ya uraia wa nchi mbili mpaka sasa?
8. Interview za wanasiasa wanaoongelea matatizo ya Tanzania na wanafanya nini na walifanya nini kusaidia watanzania wa hali ya chini.

Maraha ni Pesa.
USA (karibu na Mungu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 91 mpaka sasa

  1. KAKA WA USA,

    AKSANTE SANA KWA MAWAZO MAZURI NA UNAWATAKIA MEMA WANANCHI NA UNAONESHA UNA UCHUNGU NA NCHI HII JAPOKUWA UPO UGHAIBUNI.

    TATIZO LILILOPO NI LA WASHIKA DAU WENYEWE KURIDHIKA NA HALI ILIYOPO KANA KWAMBA MUNGU NDIVYO ALIVYOWAANDIKIA. TATIZO LETU WENGI HUPENDA KUZUNGUMZIA KILE KINACHOONEKANA KWA MACHO AU KUSIKIKA. HATUNA MSUKUMO WA KUFANYA JAPO UVUMBUZI WA MAMBO MAPYA NA TATIZO HILI LIMECHUKUA NAFASI HATA KWA WASOMI WALIO WENGI. NDIO MAANA UTAONA KUWEPO KWA TOFAUTI NDOGO SANA BAINA YA MAONI YALIYOTOLEWA NA MSOMI NA YALE YALIYOTOLEWA NA MWENYE ELIMU YA CHINI. WOTE MNAKARIBISHWA KATIKA LIBENEKE, LAKINI TOA MAONI TU PALE UNAPOONA UNAYO HOJA YA KISOMI KUTOKANA NA MADA HUSIKA. SI VIBAYA WATU KUUZA NA KUNUNUA KUPITIA LIBENEKE LAKINI NAUNGA MKONO KUPUNGUZA SIASA KUCHUKUA NAFASI KUBWA.

    KK, Zanzibar

    ReplyDelete
  2. Mdau wa USA (Karibu na Mungu) hongera kwa hilo kwani akili zetu wabongo ndo' zimekuwa zikikita huko ulikoainisha. Ohh, twafuturisha, ohh twafanya hili kwa yatima etc, mbona sijasikia nampeleka yatima shule? Unamlisha sikukukuu hii ya leo, je nini muelekeo wa maisha yake ya baadae? Tuache kupata umaarufu kwa mgongo wa hawa yatima kwa mfano.
    Mdau UK (aka duniani)

    ReplyDelete
  3. I'm with you so annoy to read same news every single day and lot's of Election photo's!!! What's all that about????.....

    ReplyDelete
  4. Inaonyesha wewe una personal interests tu. Je ina maana walio na kisomo cha chini na wasio na mitaji ya biashara hawana haki ya kutumia libene hil??? Nafikiri kama uko serious na kufanya biashara au kupata kazi TZ tembelea mitandao mingine nina imani ipo.

    ReplyDelete
  5. We anonymous hapo juu acha uselfish, huyu aliyetoa mada ni opinions zake na ana nia nzuri tu na hii blog, hajasema michuzi aache kupost what he likes ila ametoa opinion kwamba awe anabadilisha walau blog iwe lively, hongera uliyewasilisha mada. Michuzi this is a good idea but you can take it or leave it, free to make a choice.

    Mbeba box
    Reading.

    ReplyDelete
  6. Ndugu Mheshimiwa na Mwana CCM Balozi Michuzi,

    Nashukuru kwa kunichapisha hapa. Nilidhani ulinitupa kapuni kwa kuwa imechukua siku kadhaa baada ya kukutumia ka meseji changu.

    Iddi Mbaraka na nakutakia afya njema wewe na familia yako.

    Maraha ni Pesa.
    USA (karibu na Mungu)

    ReplyDelete
  7. ni idea nzuri, nadhani watanzania bado tunamtindio wa kuona nini cha kufanya na kulidhika kama mdau aliposema hapo jui.
    but mdau wa usa(karibu na mungu) tupe pia michongo ya huko tujue tunaweza kufaidika vipi.

    mdau SK

    ReplyDelete
  8. Mtoto wa CoastSeptember 11, 2010

    Maraha asante kwa kutupiga changamoto: Hayo ni mawazo yako na una uhuru huo.
    LAKINI MIMI NA NYUMBA YANGU:-

    1. Hayo yaliyokuchosha sisi hayajatuchosha. Yaani news kwetu si tu wakati mtu anauma mbwa bali pia wakati mbwa anauma mtu nazo ni news tena za muhimu zaidi.

    2. Hakika tunakinaishwa na fikra za kuwajali tu wale wafanyabiashara wakubwa wakati asilimia kubwa ya wachangiaji katika maisha na uchumi wetu ni wafanyabiashara wadogo wenye masoko yao ndani ya nchi na hata wasio rasmi ambao hata biashara zao hazilipi ili wawezeshwe zaidi.


    3.Michuzi endelea sana kuonyesha hata picha za wananchi wakiwa na furaha katika arusi, wakifuturu, wakibatizwa, wakihitimu, wakihamia nyumba mpya n.k na siyo tu kuonyesha pekee matapeli wakipewa kipigo au watu wakilia misibani au nani ameshikwa ugoni au nani amepigana na nani barabarani. Hii si picha halisi ya Tanzania na Afrika ambayo wanahabari wengine nje wanataka kutuonyesha hivyo.


    3. Hasilani nasikitika ninapoona tunadhani kuwa anayepaswa kuongelewa ni yule mwenye sura nzuri sana wakati hakika mwenye sura mbaya ndiye anatakiwa kupewa nafasi ajue kuwa utu wake ni sawa kabisa na wale wengine.

    Kwa kifupi ninavyoifahamu hii blogu haina mwelekeo mmoja tu wa habari hivyo hata wasio wasomi na wanaoishi Tanzania lazima pia watoe maoni yao na habari zao au agenda zao zisikike.

    Je kweli blogu itakuwa inaongelea habari ya uraia wa nchi mbili tuuuuuuuu mpaka lini na tusikinaiwe na hilo?
    Mimi napendekeza pia tuongelee sasa namna ya kumtambua raia wa Tanzania na uwekaji wa kumbukumbu zake nchini kwetu.

    ReplyDelete
  9. huyu jamaa ni mshamba ndio tunawaita coconut(nje weusi ndani weupe)utasemaje USA karibu na Mungu..acha ushamba wako wa sengerema

    ReplyDelete
  10. kweli kabisa hata mimi nimechoka , kila siku mambo ndo yale yale sijuhi umiss,mara jk upo safarini ,ooh tbl wamefungua kiwanda kipiya cha ulanzi ,ooh twanga pepeta ,ooh mdau ana meremeta .HIVI KWELI AKUNA HABARI BORA ZAIDI ZA HIZI.

    MDAU PARIS
    AKA
    MSOMA NYOTA
    (huku ndo duniani)

    ReplyDelete
  11. Huyu jamaa aliyeleta mada hii ni pumbaf kweli kweli. Watu hawafanani na kila mtu ana interest zake. Much as you would like your voice to be heard applies to everybody. Eti USA ni karibu na kwa Mungu!!! Acha uongo weweeee. Nimekaa hapo miaka ishirini na niliona hell tuu. Toka nimerudi hapa Arusha ndo naona Tanzania maisha ni matamu. Ulaya. USA ni ujinga mtupu.

    ReplyDelete
  12. Kila mtu anao uhuru wa kutoa maoni yake, kama unaona hii blogi siyo ya kisomi potelea kwengine.

    ReplyDelete
  13. Mdau wa US ulieleta hii mada nakushukuru sana kwa kuona jinsi wanavyotupotezea muda kila siku. Mtu unaandaa muda wa kusoma habari nyumbani unakutana na yale yale..Hii Tanzania inahitaji vita ya walionacho vs wasionacho ndio watu wataamka..Wasomi nao ni zero wakati huu wote wanamzuka wa kuingia mjengoni kwenda kupiga mabenchi na kulala...maana sioni sababu ya Profesa kuwa mbunge..Ndio maana hata maendeleo hayaji Tanzania maana kila siku tunapanda mbegu mbovu..Hizo anwani za wafanyabiashara hata ukimwomba Ankali hakupi maana kuna ndugu yangu alimuinbox nahakumjibu hadi leo

    ReplyDelete
  14. MTOTO WA COAST WE NI MWISHO! UMENENA JITAMBULISHE TUKUFAHAMU!

    ReplyDelete
  15. MDau Mtoto wa Coast,

    Kwanza, shukurani sana kwa maoni yako. Uhuru wa kutoa maoni ni muhimu sana na naheshimu sana maoni yako. Hapo chini ni majibu yangu:

    1. Kama ulivyosema, nina uhuru w a maoni yangu. Kwangu mimi kama msomi wa biashara (MBA, UCLA), naona kuwa wafanyabiashara peke yao ndio wanaweza kuendeleza nchi sio serikali wala wanasiasa, wala nchi zinazotoa misaada.

    Kama ukiweza kuwaleta matajiri Bongo, wataendesha uchumi na kuwapa kazi wasomi na kuwapa kodi serikali ili waweze kuendeleza nchi.

    Hamna nchi hata mmoja duniani ambayo serikali imeweza kuiendeleza. Nyerere alijaribu sana lakini alishundwa. Akaenda China na Urusi kuomba msaada wa kulisha jamii. Najua kwa kuwa nilikuwa huko wakati wa uhai wake na nakumbuka kama jana mambo ya resheni, watu kufa njaa vijijini na kuomba clearance ya serikali kabla ya kusafiri. Pia nakumbuka kuuza sabuni za Urusi ambazo nilinunua Ugawaji kama unaijua. Sabuni zilikuwa na lebo ya "msaada kutoka Urusi" lakini Ugawaji ya serikali wanatuuzia sisi wafanyabiashara wadogo.

    Hali halisi ni kwamba mapepari ndio wanaweza kuendeleza nchi na sio mtu yoyote yule. Kwa mfano, kama serikali ingempa bepari ardhi kubwa ili waweze kulima badala ya kuwapa wakulima wadogo wadogo basi naamini kusingekuwa na njaa Tanzania. Mabepari wangewapa watu kazi katika mashamba yao, katika viwanda vyao vya kutengeneza juisi na kadhalika na serikali ingepata fedha nyingi katika kodi.

    Picha za harusi ni nzuri, picha za waliohitimu ni nzuri lakini haitatajirisha nchi. Kwa maoni yangu naona kuwa blog hii ni bora iangalia jinsi gani inaweza kuleta maendeleo haswa kuliko kutuletea kila siku picha za harusi na wanasiasa. Sijaona hata siku moja interview ya mwanasiasa kama wanavyofanya nchi za kitajiri. Hamna mwanasiasa hata mmoja alijetujulisha agenda yake ya kututoa katika umasikini.

    warembo wote wanaoonyeshwa hapa ni wa kutoka katika sponsa wa kilevi. Lazima ustushwe kama unaona nchi yote kuna biashara kubwa tatu tu : simu za mikono, ulevi na migodi. Halafu hatuelewi kwa nini sisi bado masikini mpaka leo.

    Kwa heshima zote, sidhani kuwa blog hii ina mwelekeo zaidi ya CCM. Na sidhani kuna chama chochote hapa kinachoweza kuwashinda CCM kwa kuwa wana fedha za wananchi na uwezo wa kutumia nguvu zao kupata kura. Pia, wapingamizi wa serikali hama CCM, hawana ajenda yoyote ya kutuletea maendeleo.

    Mimi siridhiki na maoni ya walala hoi kwa kuwa wanaelezea mambo bila na kuwa na elimu ya mambo hayo. Wewe kama sio daktari wa moyo, huwezi kupewa ruhusa kufanya operesheni ya moyo, utaua mtu.

    Ninachouliza ni kwamba, kwa nini baada ya miaka 40 ya uhuru wananchi bado mumeridhika na:

    1. Matatizo ya umeme na maji.
    2. Maonevu ya haki ya Mwananchi Mahakamani.
    3. Umasikini kuongezeka.
    4. Elimu duni.
    5. Barabara mbovu.
    6. Uonevu wa Polisi na wanajeshi kwa mwananchi.
    7. Kutojua Raisi wala mawaziri wake wanapewa kiasi gani kama mshahara waona pensheni zao.
    8. Siri. Kila kitu ni siri Tanzania.
    9. Nyerere. Kweli Ujamaa na Maendeleo imeleta faida? Kwa nini tunatumia mamilioni kujenga kijiji chake badala ya kutumia kununua madawa na madaftari ya watoto yatima.
    10. Afya. Kwa nini hatuna hospitali mpaka leo ambayo mwananchi anaweza kupata matibabu na tunalazimika kusafiri nje (kama tuna uwezo) kwa matibabu.

    Mimi naona Watanzania wengi wameridhika na maisha yao duni ndio maana serikali haina presha ya kuwapa maisha bora. Wenzetu akina Singapore, Malaysia na Thailand, wametumia wasomi wake na mapepari wake kuleta maendeleo japokuwa walikuw amasikini kuliko sisi tulipopata uhuru wetu. Hamna Mtanzania anayoshangaa leo kwa Tanzania kuomba msaada Korea ya Kusini leo wala kuwapeleka watoto wetu Malaysia kusoma na India kuwatibu.

    Lini mtaamka?

    Maraha ni Pesa
    USA (karibu na Mungu)

    ReplyDelete
  16. Watanzania wengi tulioko nje tunajifanaya tunapata maraha mno huku ,ila uwazi ni kwamba wengi ni malooser tu na tunapendelea kujikusanya na waafrika wenzetu coz tunanyanyapaliwa...so ladies and gentlemen at home, dont listen to these bla bla..here is near to God, dunia iko huku..its all bullshit..most people wanna go home..but unfortunately they got no fair.
    Mdau.

    ReplyDelete
  17. Ndugu Anony uliyoniita Mshamba:

    Shukurani kwa kutumia uhuru wako wa maoni.

    Niliita USA (karibu na Mungu) kwa sababu napenda kusomesha na kufurahisha jamii wa blog hii.

    Ningekuwa mshamba basi nisingeweza:

    1. Kusoma elimu ya juu kuanzia sekondari (GCSE, International Scool of Tanganyika LTD), kusafiri na kusoma Marekani (B.A., (Finance), MBA (Finance) UCLA na kuongea lugha tatu za kigeni (Kifaransa, Kispanishi, na Kireno).

    2. Kufanya kazi Uingereza, Ufaransa, Spain, Uholanzi, Canada na Marekani.

    Nawatakia njema wananchi wa Sengerema nao pia wapate elimu, kazi na maendeleo kama yangu.

    Wako Mtiifu,

    Raha ni Mapesa,
    USA (karibu na Mungu)

    ReplyDelete
  18. UNAPOSEMA UNATAKA KUSIKIA YA WASOMI NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA HIYO NI DHARAU KWA SIE TUSIOSOMA NA HATUNA MITAJI MIKUBWA. WEWE TAFUTA MTANDAO UNAOFANANA NA WEWE UTUACHIE SIE MTANDAO WETU TULIOUZOEA. ANYWAY KUNA DILI IPO KUPELEKA KONDOM BUKOBA NA MBEYA UTAPATA HELA SANA.

    ReplyDelete
  19. Nilisahau kusema mwa mdau aliyeniita Coconut au Nazi kwa Kiswahili.

    Alikosea kidogo tu. Mimi rangi zambarau nje na nyeusi ndani, labda uniite kiazi kilichoungua ?

    Mdau SK:
    Wananchi wa Tanzania wanajua matatizo yote na wamesafiri kiasi ya kujua tunatakiwa tufanye nini ili tuendeleze jamii yetu. Tatizo kama wadau wengi waliosema ni kuwa sisi ni wavivu na tunataka serikali iweze kutatua matatizo yote bila ya kupigania walete maendeleo kwa wananchi. Mara ngapi umesoma gazetini Waziri au Raisi anatuambia " kilimo no bora, tukilima vizuri tutatokomeza njaa" lakini hatuambii kuwa hawatatupa matrekta lakini watanunua Mashangingi. Lakini watu watapiga makofi kama wameona Nabii fulani. Ujinga wetu ndio unaendeleza umasikini. Kwa hivyo, hama huko tayari kusimama na kuomba haki yako ya kuishi vizuri kama binadamu, huwezi kupata maendeleo. Simama, na omba kwa nguvu zako zote, haki yako ya kuishi vizuri. Haki yako ya kuwa na maji safi, umeme, nyumba bora, kazi nzuri, hospitali nzuri, barabara nzuri, na sehemu nzuri ya kupumzika jioni. Michuzi analalamika kila siku bustani ya uhuru imefungwa kwa wananchi lakini hakuna hata mtu mmoja aliyelalamika serikalini kwa nini sisi wananchi hatuwezi kustarehe hapo jioni na familia zetu?

    Maraha ni pesa
    USA (karibu na Mungu)

    ReplyDelete
  20. 1. hamna biashara inayolipa bongo zaidi ya kuwa kwenye uanasiasa, govermental tendas au biashara yako imekubalika na wenye nchi.
    2.wasomi wamekimbia nchi maana ujuzi wao hauthaminiwi na serikali.
    3.barabara hazitajengwa kamwe hili tatizo litaendelea siku zote.
    4.warembo wa ukweli hawana muda wa kujishaua kwenye mablogu.
    5.contact za wafanyabiashara wanapeana wenyewe kwa wenyewe hawataki kushare na wewe.
    6.Serikali haikupi kazi labda uwe una undugu japo itasaidia.
    7.uraia wa nchi mbili wakupe ili iweje? nchi yao watapitisha tu sheria za kujinufaisha wenyewe.
    8.that kind of politician just dont exist!
    lastly you are really naive for a person residing in the US!

    ReplyDelete
  21. Mdau hapo juu katoa point lakiini badae kanikata. USA karibu na MUNGU?????????? Rudi kwenu shinyanga . Ndio matatizo ya kutokaa dsm, umetoka kijijini kwenu umepitiliza hadi ulaya.kwa taarifa yako sasa hivi bongo kuna kila kitu na watu sasa hivi hatutukuzi kwenda wapi sijui. BONGO KILA KITU: rudi hata likizo basi mdogo wangu. Your too let. US is nothing now days , utabakia kulea mataahira na aged people there watu huku tuna kula maisha na status kubwa tu wewe huko hakuna anayekujali huna status yoyote kwenye jamii hata ununue macaridlaki mia moja. U HEAR ME???????????? Ukome.!!!!!!Michuzi usiibanie hii coment itawasaidia na wengine rafiki zake.

    ReplyDelete
  22. ANZISHA BLOG YAKO UWEKE HIVYO UNAVYOTAKA KUONA. USIDANDIE JASHO LA KAKA MICHUZI NA KUTAKA AWEKE VILE UNAVYOTAKA. UKISHAANZISHA ONA BASI NI JINSI GANI BLOG YAKO ITAPATA UMAARUFU ...... Tusijisahau, hii ni blog ya Michuzi, umaarufu ni wake, ukiichoka acha kuitembelea. Kaka Michuzi, usiwe na wasi wasi mie ni mmoja wa watu ambao baadhi ya picha au makala hazikidhi mahitaji yangu , lakini kila nikiamka, napitia Michuzi kwanza kabla ya kustaftahi, na mara nyingi nimepata habari au picha zinazokidhi mahitaji yangu.

    ReplyDelete
  23. Kati ya watu ambao shule haijawasidia ni wewe unayejiita unaishi karibu na MUNGU, Huna fikra nzuri kabisa! YAANI NI SAWA NA MTU Alikwenda chooni kujisaidia kisha ka kipande kadog ka kinyesi kakabaki kwenye nguo bila yeye kujua.

    Umetoa maoni mazuri ukaharibu mwishoni.

    Sasa kaka, Umefanya nini kusaidia nchi yako na Elimu yako? unakimbilia na kusifia nchi za watu unadhani walijengewa na watu wengine si walipendezesha nchi zao wenyewe na wewe rudi, inaonyesha una mawazo mafupi, tena huenda huko hukufika kwa kutumia nauli yako mwenyewe na kujisomesha kwa hela yako, huenda ulitumia pesa ya serikali ndo maana huoni uchungu wa nchi yako.

    Huna Songi wewe, ukitaka kaa huko huko uwe mtumwa wa wazungu.

    ReplyDelete
  24. Wadau wanaodai kuwa kwetu Shinyanga na aidha nina maisha duni na nafanya kazi mbovu au kwamba nirudi nyumbani. najubu:

    1. Nimekuja nyumbani mara tatu (1990, 2000, 2009) kujaribu kuanza biashara na maisha mapya. TRA wamenisumbua kila mara. Kila nikipeleka makaratasi yangu ya kulipa kodi, naambiwa kuwa nadanganya na wanataka kodi zaidi bila ya kuonyesha wapi nadanganya au kuwa na kihtibitisho chochote. Kila mmoja anataka cchochote. Hamna haki za mfanyabiashara wala mwananchi wa hali ya chini. Mtu akikuibia fedha katika biashara, ni hasara huwezi kuipata fedha yako mahakamani. Ndio maana wazungu wa madini wanaokuja Bongo wanaandikiana na serikali kutumia mahakama za nje kutatua matatizo ya kibiashara kwa kuwa mahakama za Tanzania hazitoi haki haraka au bila chochote.
    Kwa kifupi, nimepoteza fedha za mradi wangu milioni mia mbili za madafu na kuamua kurudi marekani.

    2. Mimi ni mzaliwa wa Dar es salaam. Nimeishi DSM maisha yangu yote na sio kijijini wala shamba.

    3. Wanaosema rudi nyumbani... nimekusikieni. Lakini Kila siku watanzania wanataka kuondoka Bongo. Elimu yao haithaminiwi. Biashara zao zimebanwa na TRA. Huwezi kutaka kukaa nchi ambayo kila siku ni dhiki: maji, umeme, madawa. Nimekuja juzi tena kutembea na sijaona tofauti yoyote zaidi ya majengo mepya. Barabara ni zile mlizojengewa na Japan na nchi nyingine. Uwanja wa mpira mmejengewa na China lakini mnajisifia kama mmejenga wenyewe. Mpaka leo, China pia inasaidia TAZARA.

    Naomba mniambia tangu uhuru, kuna kitu gani muhimu serikali yetu imeweza kusaidia jamii? Haki za binadamu kuheshimika? elimu bora? vyuo vikuu bora? Mauzo ya nje yamekua? uzalishaji wa ndani umekua?
    Nchi imeacha kuomba misaada ya kulipa bajeti ya nchi? GDP na GNP imepanda na asilimia ngapi mwaka hadi mwaka?

    4. Kikazi, silei wala kusafisha vizee kama baadhi ya wadau wanavyonisema. Nina kazi yangu binafsi. Nauza "akili" consultancy. Korea ya Kusini, Malaysia, Indonesia, Canada, marekani Japan na Singapore wanatumia ujuzi wangu kutafuta masoko nchi za Afrika, Marekani ya Kusini na Uarabuni. Sio lazima nifanye kazi na Wamerekani kwa kuwa naishi hapa. Mauzo ya mwaka jana ni dola milioni mbili. nategemea mauzo ya milioni tano mwaka huu. Nina Wamarekani 12 wanaofanya kazi kwangu.

    Mdau anayesema Tanzania kuna status, mimi sitafuti status ila fedha. Sihitaji kuendesha Mercedez wala Hammer, na hapa, ofisi ya Bunge zipo wazi kwako. Kama nahitaji kuonana na meya, Mbunge hata na Waziri, unapewa nafasi kama wewe una fedha za kuwapa watu kazi na kuleta kodi. Sauti yako kama mlipaji kodi kubwa inaheshimika, sihitaji kumjua mtu kupata fursa ya kuongea na kiongozi.

    Mifano ya Biashara ambazo nitashindwa nyumbani:

    Naongelea kwa malaki sio dola 100. Kwa sasa, fedha za Kijapani ziko juu, serikali yao itaingilia kati kushusha thamani kwa kuwa mazao yao yanakuwa ghali kuuzika nje. Nimenunua dola moja kwa yen 85 na kununua dola milioni mbili. Yen inategemea kushuka thamani mpaka Yen 115 mwisho wa mwaka huu. Faida ya Yen 30 kwa kila dola nitakayoiuza sokoni.

    Je, biashara kama hizi, unaweza kusoma katika The Guardian au Daily News? Au, ni rahisi kufanya biashara kama hizi katika internet Tanzania bila ya usumbufu wa serikali au ukosekaji wa fedha ya nje sokoni? Umeme je? Biashara bila umeme haiwezekani.


    Mdau anayesema mimi ni Naive. Je, unafikiri mimi sisomi na kujua matatizo ya Tanzania au ni Naive kwa kuwa nataka mema kwa nchi yangu bila ya kujua kuwa wazee huko hawataki maendeleo na watu wamefurahi na status quo?
    Pia, napinga kuwa wanasiasa wazuri na wanaoipenda nchi zao hamna Tanzania. Wapo ili wamebanwa.

    Narudia pia kusema nipo "karibu na Mungu" kama ni joke, kuchekesha jamii. Ukiangalia ramani, Marekani ipo juu, ndio maana kuna jokes zinasema ipo karibu na mbingu au Mungu. So, have a sense of humour my friend, you might live longer and deal with Tanzanian stress better.

    Maraha ni Pesa
    USA (karibu na Mungu).

    ReplyDelete
  25. Wadau wanaodai kuwa kwetu Shinyanga na aidha nina maisha duni na nafanya kazi mbovu au kwamba nirudi nyumbani. najibu:

    1. Nimekuja nyumbani mara tatu (1990, 2000, 2009) kujaribu kuanza biashara na maisha mapya. TRA wamenisumbua kila mara. Kila nikipeleka makaratasi yangu ya kulipa kodi, naambiwa kuwa nadanganya na wanataka kodi zaidi bila ya kuonyesha wapi nadanganya au kuwa na kihtibitisho chochote. Kila mmoja anataka cchochote. Hamna haki za mfanyabiashara wala mwananchi wa hali ya chini. Mtu akikuibia fedha katika biashara, ni hasara huwezi kuipata fedha yako mahakamani. Ndio maana wazungu wa madini wanaokuja Bongo wanaandikiana na serikali kutumia mahakama za nje kutatua matatizo ya kibiashara kwa kuwa mahakama za Tanzania hazitoi haki haraka au bila chochote.
    Kwa kifupi, nimepoteza fedha za mradi wangu milioni mia mbili za madafu na kuamua kurudi marekani.

    2. Mimi ni mzaliwa wa Dar es salaam. Nimeishi DSM maisha yangu yote na sio kijijini wala shamba.

    3. Wanaosema rudi nyumbani... nimekusikieni. Lakini Kila siku watanzania wanataka kuondoka Bongo. Elimu yao haithaminiwi. Biashara zao zimebanwa na TRA. Huwezi kutaka kukaa nchi ambayo kila siku ni dhiki: maji, umeme, madawa. Nimekuja juzi tena kutembea na sijaona tofauti yoyote zaidi ya majengo mepya. Barabara ni zile mlizojengewa na Japan na nchi nyingine. Uwanja wa mpira mmejengewa na China lakini mnajisifia kama mmejenga wenyewe. Mpaka leo, China pia inasaidia TAZARA.

    Naomba mniambia tangu uhuru, kuna kitu gani muhimu serikali yetu imeweza kusaidia jamii? Haki za binadamu kuheshimika? elimu bora? vyuo vikuu bora? Mauzo ya nje yamekua? uzalishaji wa ndani umekua?
    Nchi imeacha kuomba misaada ya kulipa bajeti ya nchi? GDP na GNP imepanda na asilimia ngapi mwaka hadi mwaka?

    4. Kikazi, silei wala kusafisha vizee kama baadhi ya wadau wanavyonisema. Nina kazi yangu binafsi. Nauza "akili" consultancy. Korea ya Kusini, Malaysia, Indonesia, Canada, marekani Japan na Singapore wanatumia ujuzi wangu kutafuta masoko nchi za Afrika, Marekani ya Kusini na Uarabuni. Sio lazima nifanye kazi na Wamerekani kwa kuwa naishi hapa. Mauzo ya mwaka jana ni dola milioni mbili. nategemea mauzo ya milioni tano mwaka huu. Nina Wamarekani 12 wanaofanya kazi kwangu.

    Mdau anayesema Tanzania kuna status, mimi sitafuti status ila fedha. Sihitaji kuendesha Mercedez wala Hammer, na hapa, ofisi ya Bunge zipo wazi kwako. Kama nahitaji kuonana na meya, Mbunge hata na Waziri, unapewa nafasi kama wewe una fedha za kuwapa watu kazi na kuleta kodi. Sauti yako kama mlipaji kodi kubwa inaheshimika, sihitaji kumjua mtu kupata fursa ya kuongea na kiongozi.

    Mifano ya Biashara ambazo nitashindwa nyumbani:

    Naongelea kwa malaki sio dola 100. Kwa sasa, fedha za Kijapani ziko juu, serikali yao itaingilia kati kushusha thamani kwa kuwa mazao yao yanakuwa ghali kuuzika nje. Nimenunua dola moja kwa yen 85 na kununua dola milioni mbili. Yen inategemea kushuka thamani mpaka Yen 115 mwisho wa mwaka huu. Faida ya Yen 30 kwa kila dola nitakayoiuza sokoni.

    Je, biashara kama hizi, unaweza kusoma katika The Guardian au Daily News? Au, ni rahisi kufanya biashara kama hizi katika internet Tanzania bila ya usumbufu wa serikali au ukosekaji wa fedha ya nje sokoni? Umeme je? Biashara bila umeme haiwezekani.


    Mdau anayesema mimi ni Naive. Je, unafikiri mimi sisomi na kujua matatizo ya Tanzania au ni Naive kwa kuwa nataka mema kwa nchi yangu bila ya kujua kuwa wazee huko hawataki maendeleo na watu wamefurahi na status quo?
    Pia, napinga kuwa wanasiasa wazuri na wanaoipenda nchi zao hamna Tanzania. Wapo ili wamebanwa.

    Narudia pia kusema nipo "karibu na Mungu" kama ni joke, kuchekesha jamii. Ukiangalia ramani, Marekani ipo juu, ndio maana kuna jokes zinasema ipo karibu na mbingu au Mungu. So, have a sense of humour my friend, you might live longer and deal with Tanzanian stress better.

    Maraha ni Pesa
    USA (karibu na Mungu).

    ReplyDelete
  26. Wadau wanaodai kuwa kwetu Shinyanga na aidha nina maisha duni na nafanya kazi mbovu au kwamba nirudi nyumbani. najubu:

    1. Nimekuja nyumbani mara tatu (1990, 2000, 2009) kujaribu kuanza biashara na maisha mapya. TRA wamenisumbua kila mara. Kila nikipeleka makaratasi yangu ya kulipa kodi, naambiwa kuwa nadanganya na wanataka kodi zaidi bila ya kuonyesha wapi nadanganya au kuwa na kihtibitisho chochote. Kila mmoja anataka cchochote. Hamna haki za mfanyabiashara wala mwananchi wa hali ya chini. Mtu akikuibia fedha katika biashara, ni hasara huwezi kuipata fedha yako mahakamani. Ndio maana wazungu wa madini wanaokuja Bongo wanaandikiana na serikali kutumia mahakama za nje kutatua matatizo ya kibiashara kwa kuwa mahakama za Tanzania hazitoi haki haraka au bila chochote.
    Kwa kifupi, nimepoteza fedha za mradi wangu milioni mia mbili za madafu na kuamua kurudi marekani.

    2. Mimi ni mzaliwa wa Dar es salaam. Nimeishi DSM maisha yangu yote na sio kijijini wala shamba.

    3. Wanaosema rudi nyumbani... nimekusikieni. Lakini Kila siku watanzania wanataka kuondoka Bongo. Elimu yao haithaminiwi. Biashara zao zimebanwa na TRA. Huwezi kutaka kukaa nchi ambayo kila siku ni dhiki: maji, umeme, madawa. Nimekuja juzi tena kutembea na sijaona tofauti yoyote zaidi ya majengo mepya. Barabara ni zile mlizojengewa na Japan na nchi nyingine. Uwanja wa mpira mmejengewa na China lakini mnajisifia kama mmejenga wenyewe. Mpaka leo, China pia inasaidia TAZARA.

    Naomba mniambia tangu uhuru, kuna kitu gani muhimu serikali yetu imeweza kusaidia jamii? Haki za binadamu kuheshimika? elimu bora? vyuo vikuu bora? Mauzo ya nje yamekua? uzalishaji wa ndani umekua?
    Nchi imeacha kuomba misaada ya kulipa bajeti ya nchi? GDP na GNP imepanda na asilimia ngapi mwaka hadi mwaka?

    4. Kikazi, silei wala kusafisha vizee kama baadhi ya wadau wanavyonisema. Nina kazi yangu binafsi. Nauza "akili" consultancy. Korea ya Kusini, Malaysia, Indonesia, Canada, marekani Japan na Singapore wanatumia ujuzi wangu kutafuta masoko nchi za Afrika, Marekani ya Kusini na Uarabuni. Sio lazima nifanye kazi na Wamerekani kwa kuwa naishi hapa. Mauzo ya mwaka jana ni dola milioni mbili. nategemea mauzo ya milioni tano mwaka huu. Nina Wamarekani 12 wanaofanya kazi kwangu.

    Mdau anayesema Tanzania kuna status, mimi sitafuti status ila fedha. Sihitaji kuendesha Mercedez wala Hammer, na hapa, ofisi ya Bunge zipo wazi kwako. Kama nahitaji kuonana na meya, Mbunge hata na Waziri, unapewa nafasi kama wewe una fedha za kuwapa watu kazi na kuleta kodi. Sauti yako kama mlipaji kodi kubwa inaheshimika, sihitaji kumjua mtu kupata fursa ya kuongea na kiongozi.

    Mifano ya Biashara ambazo nitashindwa nyumbani:

    Naongelea kwa malaki sio dola 100. Kwa sasa, fedha za Kijapani ziko juu, serikali yao itaingilia kati kushusha thamani kwa kuwa mazao yao yanakuwa ghali kuuzika nje. Nimenunua dola moja kwa yen 85 na kununua dola milioni mbili. Yen inategemea kushuka thamani mpaka Yen 115 mwisho wa mwaka huu. Faida ya Yen 30 kwa kila dola nitakayoiuza sokoni.

    Je, biashara kama hizi, unaweza kusoma katika The Guardian au Daily News? Au, ni rahisi kufanya biashara kama hizi katika internet Tanzania bila ya usumbufu wa serikali au ukosekaji wa fedha ya nje sokoni? Umeme je? Biashara bila umeme haiwezekani.


    Mdau anayesema mimi ni Naive. Je, unafikiri mimi sisomi na kujua matatizo ya Tanzania au ni Naive kwa kuwa nataka mema kwa nchi yangu bila ya kujua kuwa wazee huko hawataki maendeleo na watu wamefurahi na status quo?
    Pia, napinga kuwa wanasiasa wazuri na wanaoipenda nchi zao hamna Tanzania. Wapo ili wamebanwa.

    Narudia pia kusema nipo "karibu na Mungu" kama ni joke, kuchekesha jamii. Ukiangalia ramani, Marekani ipo juu, ndio maana kuna jokes zinasema ipo karibu na mbingu au Mungu. So, have a sense of humour my friend, you might live longer and deal with Tanzanian stress better.

    Maraha ni Pesa
    USA (karibu na Mungu).

    ReplyDelete
  27. Mtoto wa CoastSeptember 11, 2010

    UNASEMA,

    1. "kwangu mimi kama msomi wa biashara (MBA, UCLA), naona kuwa wafanyabiashara peke yao ndio wanaweza kuendeleza nchi"

    2 USA (karibu na Mungu)



    είναι είτε ανοησία ή άγνοια

    ReplyDelete
  28. Mdau ananiita Mtumwa wa Mzungu. Najibu:

    Si lazima kukaa nje kuwa mtumwa wa mtu. Mnategemea teknolojia ya mzungu kuongea na simu, kutumia internet, kuuza mazao nje, kusafiri nje (maka Master akikupa viza).

    Mpaka pale ambapo Tanzania ina sauti duniani kwa kutumia nguvu ya uchumi wake duniani, basi Tanzania, kama nchi nyingi masikini duniani itakuwa mtumwa, italazimika kutegemea wengine ili iweze kuishi na kuendelea na kulisha wananchi wake kwa kufata masharti ya Master.

    Maraha ni Pesa
    USA (karibu na Mungu)

    ReplyDelete
  29. Wadau wanaodai kuwa kwetu Shinyanga na aidha nina maisha duni na nafanya kazi mbovu au kwamba nirudi nyumbani. najubu:

    1. Nimekuja nyumbani mara tatu (1990, 2000, 2009) kujaribu kuanza biashara na maisha mapya. TRA wamenisumbua kila mara. Kila nikipeleka makaratasi yangu ya kulipa kodi, naambiwa kuwa nadanganya na wanataka kodi zaidi bila ya kuonyesha wapi nadanganya au kuwa na kihtibitisho chochote. Kila mmoja anataka cchochote. Hamna haki za mfanyabiashara wala mwananchi wa hali ya chini. Mtu akikuibia fedha katika biashara, ni hasara huwezi kuipata fedha yako mahakamani. Ndio maana wazungu wa madini wanaokuja Bongo wanaandikiana na serikali kutumia mahakama za nje kutatua matatizo ya kibiashara kwa kuwa mahakama za Tanzania hazitoi haki haraka au bila chochote.
    Kwa kifupi, nimepoteza fedha za mradi wangu milioni mia mbili za madafu na kuamua kurudi marekani.

    2. Mimi ni mzaliwa wa Dar es salaam. Nimeishi DSM maisha yangu yote na sio kijijini wala shamba.

    3. Wanaosema rudi nyumbani... nimekusikieni. Lakini Kila siku watanzania wanataka kuondoka Bongo. Elimu yao haithaminiwi. Biashara zao zimebanwa na TRA. Huwezi kutaka kukaa nchi ambayo kila siku ni dhiki: maji, umeme, madawa. Nimekuja juzi tena kutembea na sijaona tofauti yoyote zaidi ya majengo mepya. Barabara ni zile mlizojengewa na Japan na nchi nyingine. Uwanja wa mpira mmejengewa na China lakini mnajisifia kama mmejenga wenyewe. Mpaka leo, China pia inasaidia TAZARA.

    Naomba mniambia tangu uhuru, kuna kitu gani muhimu serikali yetu imeweza kusaidia jamii? Haki za binadamu kuheshimika? elimu bora? vyuo vikuu bora? Mauzo ya nje yamekua? uzalishaji wa ndani umekua?
    Nchi imeacha kuomba misaada ya kulipa bajeti ya nchi? GDP na GNP imepanda na asilimia ngapi mwaka hadi mwaka?

    4. Kikazi, silei wala kusafisha vizee kama baadhi ya wadau wanavyonisema. Nina kazi yangu binafsi. Nauza "akili" consultancy. Korea ya Kusini, Malaysia, Indonesia, Canada, marekani Japan na Singapore wanatumia ujuzi wangu kutafuta masoko nchi za Afrika, Marekani ya Kusini na Uarabuni. Sio lazima nifanye kazi na Wamerekani kwa kuwa naishi hapa. Mauzo ya mwaka jana ni dola milioni mbili. nategemea mauzo ya milioni tano mwaka huu. Nina Wamarekani 12 wanaofanya kazi kwangu.

    Mdau anayesema Tanzania kuna status, mimi sitafuti status ila fedha. Sihitaji kuendesha Mercedez wala Hammer, na hapa, ofisi ya Bunge zipo wazi kwako. Kama nahitaji kuonana na meya, Mbunge hata na Waziri, unapewa nafasi kama wewe una fedha za kuwapa watu kazi na kuleta kodi. Sauti yako kama mlipaji kodi kubwa inaheshimika, sihitaji kumjua mtu kupata fursa ya kuongea na kiongozi.

    Mifano ya Biashara ambazo nitashindwa nyumbani:

    Naongelea kwa malaki sio dola 100. Kwa sasa, fedha za Kijapani ziko juu, serikali yao itaingilia kati kushusha thamani kwa kuwa mazao yao yanakuwa ghali kuuzika nje. Nimenunua dola moja kwa yen 85 na kununua dola milioni mbili. Yen inategemea kushuka thamani mpaka Yen 115 mwisho wa mwaka huu. Faida ya Yen 30 kwa kila dola nitakayoiuza sokoni.

    Je, biashara kama hizi, unaweza kusoma katika The Guardian au Daily News? Au, ni rahisi kufanya biashara kama hizi katika internet Tanzania bila ya usumbufu wa serikali au ukosekaji wa fedha ya nje sokoni? Umeme je? Biashara bila umeme haiwezekani.


    Mdau anayesema mimi ni Naive. Je, unafikiri mimi sisomi na kujua matatizo ya Tanzania au ni Naive kwa kuwa nataka mema kwa nchi yangu bila ya kujua kuwa wazee huko hawataki maendeleo na watu wamefurahi na status quo?
    Pia, napinga kuwa wanasiasa wazuri na wanaoipenda nchi zao hamna Tanzania. Wapo ili wamebanwa.

    Narudia pia kusema nipo "karibu na Mungu" kama ni joke, kuchekesha jamii. Ukiangalia ramani, Marekani ipo juu, ndio maana kuna jokes zinasema ipo karibu na mbingu au Mungu. So, have a sense of humour my friend, you might live longer and deal with Tanzanian stress better.

    Maraha ni Pesa
    USA (karibu na Mungu).

    ReplyDelete
  30. Mdau UK (ADA-IFM, MBA FINANCE UK)September 11, 2010

    Big uppppp MDAU MARAHA NI PESA, Ningependa ni kusahihishe kitu kimoja tu, ni kwamba ni karibu miaka 50 sasa tangu tujipatie uhuru na sio 40 maana imebaki mwaka mmoja tu lkn Umasikini ni wa kutupa. Mara nyingine napata mawazo na nafikiri labda tungewaacha wakoloni waendelee kututawala, maana nikiangalia miuondo mbinu ni ileile ya wajerumani tena iko ktk hali mbaya ajabu. Reli, bandari etc vyote aliviacha mjerumani. Ma hospitali majengo ni yaleyale ya mjerumani. Yaani nashindwa kupata picha sijui tuna matatizo gani na sisi wananchi ni kama tumelaaniwa tuko kimya, na ushindi wa kishindo kila uchaguzi!!

    ReplyDelete
  31. Mdau umetoa maoni yako na ingawa nakubaliana na baadhi yake tu lakini nayaheshimu.
    Ningependa nikupe ushauri wa kuanzisha libeneke lenye kulenga mambo unayopenda kuyaona zaidi. Hii blog imekuwa ikipokea habari kutoka kwa wadau wa kila namna, ukianzisha libeneke unaweza kupata watu wenye mawazo yanayofanana nawe wakasaidia kuchangia mambo unayotaka kuyaona zaidi.

    ReplyDelete
  32. Kula tano ....maraha ni pesa.Bongo watu wanapigika lakini kazi kujipa moyo....BONGO NEW YORK.....Hovyooooo.
    Cha Chandu - Rawalpindi.

    ReplyDelete
  33. mdau uliyetoa mada hii hatuna shida na kujua elimu yako wa nchi ulizotembelea huo ni ushamba kuna watu wanasafiri kila siku na nchi mbalimbali hajitangazi kuna maprofesa na ma doctor pia hawajitangazi sembuse wewe na kielimu chako cha ufugaji na ukulima kijiji kimekusomesha ndo mana matangazo kibao .FUNGUA LIBENEKE LAKO weka profile zako na mambo utakayo tuache na libeneke letu la michuzi tumelizoea .

    ReplyDelete
  34. Mdau Mtoto wa Coast uliyeniita mjinga n.k kwa Kigiriki, jibu lako:

    Είστε αδαή εκείνο. Είμαι πλούσια και ευτυχισμένη.

    Maraha ni Pesa
    USA (karibu na Mungu)

    ReplyDelete
  35. Inaponiuzi ni hapo tu mtu anapotaka kuwaamsha wabongo wanagoma kuamka na sababu hizi hizi za kujifanya wajuaji wakati hawajui ndio zinawafanya kudanganyika na wanasiasa kwa miaka 40 iliyopita mdau umenifurahisha sana uliposema mtu anakosa kwenda secondary ila anapata 500 kuingia mtandaoni kwa saa moja anachofanya nini, hakina manufaa yoyote.watu wanataka kuangalia picha za kucheza ngoma, mwanamziki toka abroad(wanaoletwa wote wamejichokea baada ya kula maunga unataka kufundisha nini watoto wa watz? sasa tutabadilika vipi jamani napata hasira navyoangalia watu ngozi zimewapauka ndala imemtoboka hana matumaini ya kuishi miaka kumi ijayo labda hajui hata kwanini anaishi lakini amekazana kushangilia mwansasiasa anavyomfanyia mazingaombwe tutaamka lini jamani??? maendeleo si magari nyumba bali yanatakiwa yaanzie kwenye fikra zetu kama mdau hapo juu kasema yeye na familia yake haijachoka kuangalia matangazo ya nani kaoa sijui nini hivi ni vidogo vidogo vidogo sana jamani kuna makubwa ya kuangalia na kama kuna wenzetu wameenda nje wakaona na kujaribu kutuelimisha tuyakatae tunayodhani ni potofu lakini kama kuna kitu dhamira zinatuonyesha kweli hiki kitu ni potential tuchukue na ndivyo watu wanavyojifunza na kujua kumbe hiki ni haki yangu si favour kukipata watu wakijua hilo na kuungana mabadiliko kwenye nchi tutaanza kuyaona sababu fikra tutakuwa tumebadilisha na kuona nini ni haki yetu na nini lazima nipate

    ReplyDelete
  36. KULA TANO .....MARAHA NI PESA,WAPE WAPE VIDONGE VYAO WAKIMEZA WAKITEMA SHAURI YAO....Bongo New York mavi yao.
    Cha chandu - Rawalpindi

    ReplyDelete
  37. wewe mdau wa USA hii ni glob ya jamii siyo glob ya biashara. inalenga hasa matukio ya jamii yetu ya Tanzania including arusi,futari,siasa na matangazo kama vya kuuza magari na mambo ya hapa na pale. kama unataka glob ya biashara si uanzishe ya kwako utafute wafuasi wako just like Rev. Terry Jones did...hujakatazwa, or acha kuingia humu kabisa.

    Hii glob inatembelewa na watu wa kila aina, wenye elimu tofauti na ndio maana ina hizo contents.

    unasema umesoma UCLA Finance etc, but if you ask me i will tell you, upeo wako wa kufikiri na ku-reason ni mdogo sana. Me and you have same academic credentials and from very reputable universities in the USA, na niko karibu na Mungu kama wewe vile vile, but guess what,i totally disagree with your opinion. It is more of a personal interest than jamii. Hii ni blog ya mambo mchanganyiko na kupashana habari za hapa na pale.

    Mdau

    ReplyDelete
  38. mimi chichemi

    ReplyDelete
  39. Mdau Maraha ni Pesa.

    Changamoto ni nzuri ila nataka kukumbusha kwamba unayo nafasi ya kuwa sehemu ya solution.

    Fanya maarifa ya kumtumia ankal unayotaka kuyaona naye atabandika, kama wana siasa wanafanya jitihada ya kupeleka ya kwao na wewe hufanyi jitihada za kupeleka unayoyataka hapo inabidi ukubali kwamba na wewe una nafasi ya kuleta mabadiliko na bado hujaitumia.

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  40. Ni mawazo mazuri watanzania wenzangu anayoyasema huyu jamaa pamoja na majigambo yake yana maana. Ni vizuri tujifunze kuyakubali na kuyafanyia kazi mawazo ya namna hii tunaweza kupiga hatua. Miaka 50 nchi haisongi mbele na bado mnampinga mwenzetu. Hii ni aibu jamani.

    ReplyDelete
  41. sasa wewe mdau wa kwa karibu na mungu mbona sasa unapigia mahesabu paycheck ya mwenzio. kama kweli wewe ni msomi kama unavyosema why don't you be creative na ku-create kitu unachotaka. siyo kwamba unachotaka wewe ndo mwenye blog naye anataka hicho hicho, au unaweza kwenda kwenye forums zingine like jamiiforum where those things are discussed, but never reach solutions. halafu unataka mambo ya dual citizenship yawe discussed kwa kina, it is a good topic but huoni kama utakuwa bias.....kuna watu wameshanyimwa visa mara 10 na wana machungu, kuna watu hata ndege hawajawahi kupanda utawaambia nini, au utafailia nchi nzima?

    me like blog ya jamii just the way it is kwa kweli.

    ReplyDelete
  42. Mdau,

    Nakusifu, basi kwa kuiokoa nchi na kusensitize baadhi ya waliokuwa wameoshwa ubongo hata hawaelewi haki zao, (business as usually!) tumia baadhi ya hizo pesa kunufaisha TZ, anzisha globu tena wakati huu wa kampeni haraka sana, utumbo wote uanikwe nje, tutumie link

    ReplyDelete
  43. eti nimechoka kuona, nataka kuona...sijui unamwamrisha nani? seriously, u sound kama baba anaamrisha watoto wake

    ReplyDelete
  44. TRUE STORY MDAU WA USA.
    MICHUZI AMEKUWA ANATUMIA BLOG YAKE KWA KUIPIGIA CCM KAMPAINI, HALAFU ANAIITA BLOG YA JAMII. MAWAZO MAZURI, KAMA HII NI BLOG YA JAMII TUWEKE MAMBO YA JAMII, SIO KUANGALIA PERSONAL INTERESTS AU KULALIA UPANDE MMOJA.

    ReplyDelete
  45. Mdau USA(karibu na mungu)
    mimi niliposoama maelekezo yako nikaona ni kam mtu ambaye unataka kurudi nyumbani vile tena baada ya kukaa usa kwa mda mrefu. sasa unawasiwasi utaaanzia wapi ndo maana unataka blogi hii ibadilike kukidhi mahitaji yako sio rahisi blog hi ni ya jamii na harusi,mahafali,ulimwende ni sehemu ya matukio ya jamii . kwanza kabisa hii blog hutoa habari kadidiri zinavyotokea sasa wewe kwavile unataka habari za wafanya biashara maarufu basi waaandikwe tu atakama walioneka mtaa wa azikiwe wakiingia gari?.halafu sikupenda unavyojifanya wewe uko juu sana na kudharau watu wakipato kidogo sasa kaa chonjo Arizona law inakuja huko uliko na hao unawaowadharau ndo watakuhifadhi . na hiyo MBA unayosoma unapoteza hela bure !!!!!!!!!!!!!!!!
    Mdau USA(proudly Tanzanian)

    ReplyDelete
  46. Mdau wa USA karibu na mungu,yote uliyoyazungumzia yawezekana na ukweli ndani yake ila labda kwa kukusahihisha tu,nawe unatuchosha unapoacopy na kupaste maelekezo yako kama ilivyojirudia hapo juu,labda ulete mada nyingine,pia nawe ni miongoni mwa watanzania mnaoendeleza kuididimiza nchi yetu kwani kwa mujibu wako mwenyewe ndani ya mmiaka 20 umerudi ktk nchi yako Tanzania mara 3 tu hivyo kwa hesabu za haraka haraka umelipishwa kodi nadhani ya kiwanja cha ndege na vijimizigo vyako vya used ambavyo baada ya kuonekana si personal effects jamaa wakakuchanja hata hivyo ili maendeleo yaje mnatakiwa wasomi kama nyinyi mje bongo na muingie bungeni kama wanavyofanya wenye uchungu na wabongo wenzao kama Zitto Kabwe,Mnyika,Sugu,yule kijana aliyemuangusha mzee Malecela na hata yule jamaa mwenye elimu ya darasa la 4 aliyewaangusha vigogo kadhaa kule Njombe kwa tiket ya CCM pia vijana kama Januari Makaamba,bwana Murtaza Mangungu yule tapeli wa mjin aliyepigwa stop kurudi USA na UK ambaye naamin iwapo upo hapa USA unamjua kwani huko bongo alimuangusha mpk mzee Londa,pia yupo huyu Nkamia ambaye ni radio presenter mzur huku nje amerudi na kuwania ubunge bongo,badilika na uje kila mara bongo uchangie maendeleo.

    ReplyDelete
  47. Yote watajua lakini tumechoka kuoan matawi ya CCM MARA MOSCOW MARA UK YAMEHUSU NINI HUMU JAMANI,HALFU MBONA MAALIM HATUMUONI KAMA ANAVOPAMBWA WAHESHIMIWA WA KIJANI? HUMU NDANI NI KIJANI NA MASHATI YA MAGEREZA TU HAKUNA LENGINE

    ReplyDelete
  48. As/alykumu,naungana na wewe bwana wa karibu na mungu,umeandia maneno mazuri na yasio mazuri kwa kweli,hivi unapowabagua watu kwa itikadi ya elimu eti wana sh 500 na hawana hata elimu ya secndary nakuona ni mshamba tu,yaani asie na elimu hawezi kusema kitu au kuchangia maendeleo?we wakuja nini,au kufika usa ndo umekuwa na kauri za kipumbavu namna hiyo?hivi hujaona wewe Tz mtu hata darasa halijua lkn anamwajili msomi wa chuo kikuu?we unaishi dunia gani?hujamuona mtu amesoma lkn maisha anayoishi mungu anajua!are you slave of white people!rudi bongo ulime mihogo,kunguru mweusi wewe!maisha ni ujanja na si kusoma na kuikimbia nchi yako kama ulivyofanya wewe!kwa kuuza vitu vya ndani vya baba yako na kukimbilia usa!unajua kuna watu vichwa vilikuwa vinachemka darasani ila kutokana na mambo fulani wamefailed na wazazi wao hawana pesa kuwaendeleza kielimu!lkn wewe ulikuwa mbumbu but baba yako pesa anayo amekuendeleza kielimu,then utamwambia yule asiyesoma ni mjinga!au uliingia usa kama mkimbizi?acha dharau punguani wewe!nakuomba siku ukija Bongo hebu dondoka Deira Dubai tuonane!

    ReplyDelete
  49. Kuna msemo unaosema kuwa UNAWEZA KUSOMA LAKINI USIELIMIKE mdau Maraha ni pesa inaonyesha umesoma lakini bado kichwani kuna pumba fulani zinazokufanya usielimike ,nyie ndio wale vipofu waliofumbuliwa macho na kuonyeshwa mara moja Tembo baadae kila wanachoulizwa wanasema kinafanana na Tembo.eti USA karibu na mungu mmmhhhh dogo rudi tena shule uanze upya.(2) inashangaza pia msomi kama wewe uliye karibu na mungu kushobokea na kulazimisha blog ya Michuzi (ambae ni form 4)kuweka matakwa yako ingebidi uanzishe blog na uweke hayo matakwa yako na itapendeza sana kama utaiita PEPONI Blog .
    mdau Raha si Pesa
    Nagasaki JAPAN.

    ReplyDelete
  50. Sasa wewe unatumia nguvu nyingi sana kutuhabarisha mambo yako, mara shule yako, mara kazi zako, eti unjibu hoja, hapo mdau umechemka, kama sifa yako ni elimu ya biashara na kuwa muuza akili, basi ulipaswa kutambua kuwa hapa ni mahala ambapo hayo ambayo wewe huyataki, basi sisi ndo tunakimbilia kuyasoma na kuyajadili. Hiyo haina maana kuwa hatuna fikra nyingine, bali hayo mengine tuna mahala pengine pa kuyapata, kayatafute na wewe huko. Kwani ankal alikwambia ameanzisha hii blogu ya jamii kwa ajili ya hayo mambo yako tu? Tena nilidhani kwa sababu wewe u mujuaji wa hayo mambo, basi uanzishe libeneke la yaho tu, tutakufuata huko pindi tukihitaji kuyajua hayo. Hatushindi kwenye hii blogu mchana kutwa, hizo habari usizozitaka ndo zinatuleta huku, halafu baada ya hapo tunaendelea na mambo yetu. Kwako wewe kupewa anuani za kufanikisha biashara ndo dili, kwangu mimi kujua kiwanda cha ulanzi kimefunguliwa mby ndo dili, sasa mbona wataka kunilazimisha nifikirie kama wewe? Chambua linalokuhusu uchukue, lisilokuhusu liache, linamuhusu mwingine. hata mwelekeo wa siasa chafu hizhiz nao wafaa kujulikana, inategemea unaangalia mambo kwa namna gani, kujua ubovu ni vizuri, ingawa wewe hukujaliwa kuona hilo, umeyaona tu ya mabepari na kuendeleza nchi, ni vizuri tu, ila kwa mtazamo wako. Tunayajua maendeleo ya nchi, tunajua nini kinahitajika ili tuendelee, ila hapa ni mahala tunapotaka kupata habari hizi, tafadhali anzisha libeneke la kwako lenye mlengo huo unaotaka. Wenzako humu humu wamepata hizo habari wanazotaka, kwa sababu wanachuja wanayoyataka. Mambo yako ya elimu, maisha, kazi hayawezi kukutoa ushamba, jitambue....

    ReplyDelete
  51. Sasa wewe unatumia nguvu nyingi sana kutuhabarisha mambo yako, mara shule yako, mara kazi zako, eti unjibu hoja, hapo mdau umechemka, kama sifa yako ni elimu ya biashara na kuwa muuza akili, basi ulipaswa kutambua kuwa hapa ni mahala ambapo hayo ambayo wewe huyataki, basi sisi ndo tunakimbilia kuyasoma na kuyajadili. Hiyo haina maana kuwa hatuna fikra nyingine, bali hayo mengine tuna mahala pengine pa kuyapata, kayatafute na wewe huko. Kwani ankal alikwambia ameanzisha hii blogu ya jamii kwa ajili ya hayo mambo yako tu? Tena nilidhani kwa sababu wewe u mujuaji wa hayo mambo, basi uanzishe libeneke la yaho tu, tutakufuata huko pindi tukihitaji kuyajua hayo. Hatushindi kwenye hii blogu mchana kutwa, hizo habari usizozitaka ndo zinatuleta huku, halafu baada ya hapo tunaendelea na mambo yetu. Kwako wewe kupewa anuani za kufanikisha biashara ndo dili, kwangu mimi kujua kiwanda cha ulanzi kimefunguliwa mby ndo dili, sasa mbona wataka kunilazimisha nifikirie kama wewe? Chambua linalokuhusu uchukue, lisilokuhusu liache, linamuhusu mwingine. hata mwelekeo wa siasa chafu hizhiz nao wafaa kujulikana, inategemea unaangalia mambo kwa namna gani, kujua ubovu ni vizuri, ingawa wewe hukujaliwa kuona hilo, umeyaona tu ya mabepari na kuendeleza nchi, ni vizuri tu, ila kwa mtazamo wako. Tunayajua maendeleo ya nchi, tunajua nini kinahitajika ili tuendelee, ila hapa ni mahala tunapotaka kupata habari hizi, tafadhali anzisha libeneke la kwako lenye mlengo huo unaotaka. Wenzako humu humu wamepata hizo habari wanazotaka, kwa sababu wanachuja wanayoyataka. Mambo yako ya elimu, maisha, kazi hayawezi kukutoa ushamba, jitambue....

    ReplyDelete
  52. Hi Guyz,
    Waliochanganyikiwa ni wengi na hii blog pia inawahitaji, naomba msipoteze muda wenu mwingi kumjadili kwa ni wazi yuko under influence ya kuchanganyikiwa.

    Hii 'Globu' ni 'Globu' ya jamii na wenyewe ni sisi, wale pamoja na nyie. Mh Balozi siku zote ametuasa kwa kwamba hii 'globu' haina ubaguzi wa aina yeyote, haichagui wala haibagui kwani atakayetuzika hatumjui. Hivyo basi hizo kelele za mlango wa kutaka kutuletea ubaguzi na matabaka humu ndani ya 'globu' hazina nafasi asilani.

    LIDUMU LIBENEKE!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  53. Maraha Sio Lazima Pesa TZ (mbali na Mungu).September 12, 2010

    Mdau wa Maraha ni Pesa
    USA (karibu na Mungu).
    Nashangaa umerudi USA badala ya kukaa hapa hapa na kushiriki katika kubadilisha mfumo wa biashara uliopo, ungeweza kushirikiana na wadau wengine na kwa kupitia vyombo vya habari basi labda leo wafanyabiashara wengine wengeweza kufaidika na elimu na mchango wako, sasa unakimbia nyumbani badala ya kupigana kijeshi na kuleta haki? Si kweli kwamba Mahakama za Tanzania hazitoi haki, unless kama unamtumia lawyer bomu! Hayo makampuni ya madini yanajua jinsi yanavyopenda kupewa tax exemptions, ila sasa wabongo tunasema, HATUDANGANYIKI! Iwe umekuja kama mwekjezaji wa kizungu au umelelewa na wazungu na unaleta zako za kutudharau!
    TRA haijabana biashara ya aina yoyote, kasheshe ni watu kama nyinyi, mmekaa huko ulaya mnalipa kodi na kufuata sheria zote wasemavyo wazingu wenu, ila kasheshe mkirudi kwenu mnataka mpigiwe magoti na msamehewe kila aina ya kodi bila kujali kuwa kodi ndio mfuko wa serikali. Nakubali umeme, maji na huduma za jamii ni bomu, sasa kama ni bomu unatusaidia nini kutukimbia kurudi kwa wazungu wako? Kwani huko hayo mambo yamejengwa na mawe? Sie tunasema kama uko na sisi uwe na sisi, tumepata uhuru sawa miaka 40 iliopita, lakini nakuuliza UK na USA wao walipata uhuru lini? Je unategemea kama umetawaliwa na watu usiowajua kwa miaka zaidi ya mia, hao wakoloni wakabadilisha mfumo wako wote wa maisha, nakuuliza kwa wewe unategemea unahitaji miaka mingapi ku recover? Jibu ni mingi mno, sababu tayari umepoteza identity yako, kila mwananchi anafuata dini tofauti, uvaaji, ulaji na hata lugha bado inakuwa ya kikoloni! Mdau wewe rudi tujenge nchi na acha visingizio vya kitoto kwa kuogopa majukumu nyumbani kwako!
    Hizo biashara zote ulizozisema zinaweza kufanyika kama kweli wewe una nia na maendeleo na nchi yako, wewe hata ukae uko UK au USA miaka 100, bado watakuita mtu mweusi, bado hutakubaliwa kuwa huko ni nyumbani kwako, jenga kwako ujisifie na sio ugenini baba, kwao watakuita nyani kila kukicha hata uwe raisi wao au bilionea mdau.
    Tunakusubiri mdau natumaini utabadilisha mawazo!

    ReplyDelete
  54. Mdau wa Sat Sep 11, 01:57:00 PM ametoa maoni kwa kirefu, maoni mengine yakishtua.
    Kweli mapepari ndio wanaweza kuendeleza nchi na sio mtu yoyote yule? Mabepari/makupe/mabwanyenye ndio wanaopakua dhahabu iliyokuwepo Tanzania katika maeneo ya Nzega, Geita, Kahama. Nenda kijiji cha Kakola jirani na Bulyanhulu ujionee. Kumekuwa na mabepari wanapakua dhahabu pale kwa karibu muongo mmoja. Katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi kijiji kinajaa makahaba, muda mwingine panakuwa mahame. Hakuna maendeleo yoyote kwa mkazi wa Kakola na vijiji jirani.
    Kuna maoni tena nayaona kwamba wafanyabiashara peke yao ndio wanaweza kuendeleza nchi. Hapa labda ufafanue ufanya biashara upi unauzungumzia. Kama ni hawa wachuuzi, madalali na walanguzi (middle men) basi hawasaidii lolote kwa sababu hawaongezi uzalishaji. Kama unamaanisha wafanyabiashara kwa maana ya wazalishaji wakubwa basi hapo umenena maana kila mzalishaji anakuwa mfanyabiashara. Maendeleo yanakuja kwa kuzalisha goods and services. Shida ni kuwa Watanzania wameaminishwa kwamba mafanikio yanakuja kwa kuwa mfanyabiashara mchuuzi, ndio maana watu wanauza hata visivyouzwa. Mtu nimetoka nyumbani naenda Kariakoo halafu kuna mtu anashinda kutwa nzima ananihamasisha niende Kariakoo. Si kosa lake yule, ndio mbegu iliyopandikizwa kwenye fikra zake kwamba anasaidia kuleta maendeleo ya nchi kwa kupiga debe.
    Uzalishaji una sura nyingi, kinachotakiwa ni excellence.
    Mdau umetamba kwamba una donge nono la kukutosha. Kwa donge nono hilo unaweza kukaa bongo na kufanya mambo yako kama ukitaka. Mtandao ndio huo kuna mkongo wa mawasiliano, suala la maji unagonga borehole na suala la umeme unafunga mtambo wa solar.
    Shukrani kwa kufungulia mazungumzo ya mambo ya maana.

    ReplyDelete
  55. Mdau Karibu na Mungu.Hongera sana na kwa kujaribu ku share your vision na Watanzania wenzetu.Pole sana kwa frustrations ulizopata ulivyo fika Tanzania.Nakubalina na maoni yako yote 100%.Sisi tukiwa kama watanzania inaumasana kuona ndugu zetu na wananchi hawapati vitu ambavyo ni basic ili waishi maisha yalio bora.Nimerudi Last week kutoka Tanzania.Nilipata nafasi ya yakusafiri kutoka Nairobi hadi Dar kwa gari ndogo.Nilisikitika sana kuona bado watanzania wengine wanaishi kwenye nyumba za nyasi.Watoto wanatembea bila viatu,nguo zimetatuka.Lakini wabunge wanapewa millioni 7 kwa mwezi.Haki iko wapi? Tafathali endelea kuwaamsha waliolala kwani hawajui sio lazima kukubali kunyanyasika.
    Keep up the good work.

    ReplyDelete
  56. Bana nyie msituletee zenu za kuleta huko watu wa ughaibuni....kwani hii blogu inawahusu nyie, kwanza you are all traitors....msirudi huku. Wakati Bongo ilipokuwa imechoka mlikimbia...wavujajasho tumeijenga nchi yetu ndo mnajidai kuwa na interest ya kupata taarifa za biashara.

    kisha mje kugombea ubunge huku...forget you all.

    ReplyDelete
  57. Mdau unanifurahisha sana. Kuna baadhi ya watu ambao pengine wamechemsha kuishi mtoni au wana bifu na watu wa Marekani na Ulaya au sehemu nyingine nje ya Tanzania wanaamua kuwaambia Wadanganyika kuwa eti tunashindwa kurudi nyumbani kwa kuwa hatuna nauli. Kwani hiyo nauli ni kiasi gani mpaka sisi tushindwe kuja home kwa sababu ya kukosa nauli? Mshahara wa wiki mbili unatosha kabisa kunileta home na kurudi huku. Binafsi siji kwa sababu ya usumbufu wenu na kwa kuwa kwa kuja huko nitapoteza pesa nyingi kwa kutofanya kazi na ninyi kutaka niwabebe kwa kuwa naishi USA.

    Uongo achani, kudanganya watu kwa mambo msiyoyajua muache watanzania. Huyu mtu anayejifanya kuwa anaishi huku na eti maisha magumu kiasi hana nauli ya kurudi bongo ni mnafiki wa hali ya juu na ni muongo kufa.

    Sijui lakini ngoja niwaachie wenyewe na maisha yenu ya kudanganyana bila sababu na watu lkujifanya wataalamu wa mambo wasiyokuwa na ujuzi nayo. Mtaendelea kukandamizana wenyewe kwa wenyewe, mimi naishi ninavyotaka USA na ninaipenda kuliko. ningelipenda bongo iwe kama huku lakini bahati mbaya kila anayejaribu kuwashauri viumbe ninyi huishia kutukanwa na kuitwa limbukeni.

    Nakusifu mdau kwa kuamua kutoa changamoto kwa bwana michuzi, bali pia nakupa pole vilevile kwa kuwa wabongo si watu wa kushauriwa, utaishia kutukanwa tu, hasa ikiwa tunapata nafasi ya kujiita Anonymous, hapo ndo zaidi.

    Wewe kula life yako mtoni, watoto wa mbwa waache waendelee kuokota, hata uwaalike kwako bado watataka kubweka na kuokota majalalani. Na ndiyo maana wale wote wenye maisha duni kuliko watu wote ndo wakwanza kuishabikia CCm na viongozi wake na ndo sababu kila siku ipo madarakani. Mabadiliko watanzania hawayataki.

    Kuhusu kuondoa umasikini na magonjwa, usisumbuke kudhani kuwa hata ukitoa pesa yako watu watasumbuka kusaidia masikini na wanaougua kwa kuwa hao masikini na wagonjwa ndiyo mitaji ya mafisadi, ni lazima wawep[o ili mafisadi waweze kuomba misaada ya kuitafuna nje ya nchi. Wakiwapa elimu au kujenga mashule na kuwaajili watapata wapi watu wa kuwatumia?

    Hivyo wanavyofanya ndo hivyo, wape futari, pilau, ubwabwa, vyandarua, achana nao. Ukipata mradi mwingine unatumia pesa kwa manufaa yako, unawaita masikini haohao, unawapiga picha ukiwapa ubwabwa tena unapeleka kwa wafadhili wanakupa fedha.
    Sasa ukielimisha hawa watu ukawapa ajira na kuwatoa umasikini, wewe utakula wapi? Na watu lazima wawe hohehahe ili viongozi wetu waweze kuomba misaada nje mzee. Hakuna sababu ya kuelimisha watu hawa, wala kuwapa ufumbuzi wa kudumu wa matatizo yao, wakijanjaruka bwana mkubwa atakula wapi?

    ReplyDelete
  58. Mdau USA
    umejieleza sana na inaelekea unfanya vizuri sana yaani unauwezo pesa kwako sio shida .Je umefanya kitu gani nyumbani kuonyesha mfano kwa Watanzania. Maana hapa USA utaona matajiri wana foundation zao kusaidi watoto/vita esp Africa/njaa /hospital/shule etc sasa wewe umefanya nini badala ya kusema unataka kuona ulivyovitaja?

    ReplyDelete
  59. at tast kaoneka wa kuongea ukweli,wabongo tubadilike ili tuibadilishe nchi yetu,huyu jamaa anachokisema ni kweli,big up mzeewa states!!endelea kusema kweli.

    ReplyDelete
  60. Mimi naona hao wadau hasa waliopo nje ya nchi waache kulalama na wawe na utamaduni wa kurudi nyumbani kujionea mambo yalivyo na sio kutuma lawama.

    wengi ya watanzania waliokimbilia ughaibuni wanatafuta kila namna kuponda na kufanya kama vile nyumbani hakuna lolote linaloendelea ili ku justify kujilipua kwao!!.

    Ukiwachunguza sana wengi walioondoka kwa nia ya kusoma hawajasoma na hata waliosoma ni wachache wana vyeti husika na wenye mwelekeo!!

    hata ukimshauri ndugu jamaa kurudi ama kufanya biashara nyumbani huwa wana visingizio lukuki, mara ooh rushwa nyingi, mara naweza rushwa..yaani visingizio visivyo na pua wala mdomo..

    Mtu kama umesoma na una vyeti vinavyoeleweka njoo nyumbani maana kwa watu waliorudi mpaka sasa sijaona aliyekosa kazi na nikisema kazi ni kazi ya maana kweli maana wapo wawekezaji wengi kwa sasa, wazawa na wasio wazawa.

    sasa tunaelekea uchaguzi mkuu hivyo sioni kwa nini kusiwe na habari za uchaguzi..

    Kuna blogu nyingi siku hizi ambazo hata ankal ameorodhesha ambazo waweza pata habari mbalimbali za nchini hivyo jaribuni kuzitembelea pia.

    MI NAONA NI WAKATI WA WA TZ UGHAIBUNI KUJARIBU KUJA NA KUJIONEA NA SIO KUPIGA MAYOWE!!!

    ReplyDelete
  61. mdau wa us sipendi kusema karibu na kwa mungu kwa kuwa kwangu ni kama na kufuru bara langu la africa...kuna mambo mengi sana umesema mengine ni ya maana sana na mengine yana nipa wasiwasi kidogo lakini ni maoni yako kwa hiyo sina lakuongeza la muhimu ambalo ningependa ulikumbuke ni kuwa hii ni blog ambayo kwangu mimi naiona kama gazeti la udaku utasoma habari ambazo zilimpendezesha muandishi utapata habari ambazo yeye anaziona ni habari lakini ningependa ukumbuke kuwa sii kila mtu anaweza kuridhika na habari ambazo unaweza zipata katika blog hii na ningumu sana kwa mwenye blog kufuata maoni yako kwa mfano mambo mengi unayo yataka wewe kuyapata katika blog hii ni ngumu,hapa mambo ambayo watakuwa wanazungumzia ni ccm nani kafunga harusi,gari linauzwa vitu ambavyo kwa mtuu aliye ridhika na umaskini wake ndioo anavyo taka kwa kuwa kama mtu ukifanikiwa kutoka njee ya tanzania walau hata kwa miezi sita ndipo utakapo gundua wabongo wameridhika na shida zao na wanahisi kila kitu kipo bongo lakini ukweli ni kwamba sisi ni nchi ya tatu toka mwisho kwa umaskini na hakuna hata nusu ya vitu vilivyopo katika nchi za dunia ya kwanza siyo majengo,siyo barabara,siyo huduma,siyo ustaharabu,hata uwajibikaji pia wenzetu wako juu sisi tumekalia maneno yasiyo na maana kujisifia kwa vigorofa vya kariakoo ambavyo kama kunaweza tokea tetemeko ni msiba mkubwa sana kuhusu wasomi kurudi nyumbani hiyo ni ndoto maslai yako wapi ili turudi mazingira mabovu ya kazi yasiyo ridhisha nani anataka kuishi kwenye ulimwengu wa maneno zaidi kuliko vitendo hiyo ndioo serekali ya tanzania ambayo hata kutoa dawa ya malaria haiwezi kwa ukweli chini ya utawala wa ccm naichukia serekali ya tanzania kama ninavyo mchukia shetani mdau wa us tunaitaji miaka hamsini tena ili watanzania waweze kujua tofauti kati ya umasikini,maendeleo na utajiri....

    ReplyDelete
  62. Inawezekana "maraha ni pesa" unasema kweli, ila nakushangaa kuwa ikiwa status yako ni hiyo ya kufenya kazi/biashara internationaly tena shurti kwa kuajiri wamarekani, maisha ya bongo yakuhusu nini? Sie tumeridhia kama wabarbaigi kuishi hivi na kufanya hivi, hayo yako hukohuko uliko.
    Nilidhani kwa usomi wako ungetupa ushauri tufanyeje na siyo utusubiri sisi tukusaidie, kwa usawa wetu yetu ni slope tu maana wenzio hatuogopi TRA tunaenda nayo sawa tu.
    Huna lolote huko, na kama kweli dhihirisha.
    Mfanya biashara wa kimataifa angekuwa wewe? thubutu? Wa kimataifa ana muda wa kumjibu kila mtu pumba zake?
    Ishia huko karibu na ahera!!!!!!!!

    ReplyDelete
  63. Mdau unayejiita wa USA( but I hope we ni mbongo)
    Naungana na wadau wengine kwamba,ua free to choose what u like and not put ua interests infront of everybody assuming that unachoongea kinamhusu kila mtu.
    hao unaowaita hawana elimu ndo wale ndugu zako wa kijijini ambao wanajua wana ndugu yao nje ya nchi,wanajitahidi kwenda internet at least kujua nini kinatokea duniani.

    wewe kama ni professional unajua wapi kwa kupata taarifa sahihi za kitu unachotaka.for example if ua a doctor u should know where to get best medical infos and not propose that michuzi should do it coz this is what u want to hear or see.

    kama unataka kuona warembo then there are best sites all over,even if u want to see them strip for u.

    so living in US and not knowing where to get the infos u need, makes u uneducated and unprofessional like those from kijijini na mia tano ya internet, coz to me ua post makes no sense at all kwa sababu hii ni blog ya jamii na unachoona hapa ndicho kinachotokea katika jamii yetu.

    for us back home we dont want to see weusi wenzetu watokao ukerewe wamevaa heleni na kutembea matako nje wakidhani wamestaaribika.

    am sorry but i need to question ua integrity.
    Mdau
    Dodoma

    ReplyDelete
  64. Jamaa ana point, Watanzania wenzangu tuache fikra duni na mawazo mgando otherwise hatufiki popote. Tanzania hali mbaya sana kupita maelezo ila inaonekana watu wameridhika na ushenzi wote unaoendelea hapa ndo maana miaka 49 ya uhuru sasa bado hali ni mbaya na inazidi kua mbaya lakini tumeridhika masikini!!!, hatutaki mabadiliko kabisa hasa ktk nyanja ya siasa ati tunaogopa amani itatoweka nani kasema! hebu tubadilike tuache upumbavu...Kwahali hii ndo maana watu wakienda nje hawataki kurudi manake hata ukirudi utapata frustration na kufa kabla ya wakati wako kwa7bu ya uozo uliotawala kila nyanja na ukijaribu kutaka changes utakiona cha motto....Pia hakuna ubaya wowote kuita USA ni karibu na MUNGU pamoja na utani alioeleza lakini pia kuna kaukweli hapo, hata ktk maisha kwa ujumla ss huku ni kama tupo karibu na "JEHUNUM" isipokua watu wachache tu wnaokula nchi hii huku wengine tukiwa tumeridhika na kuwafurahia...Hebu nikomee hapa manake ninavyozidi kuandika ndivyo ninavyozidi kushikwa na hasrira..
    Mdau Mby

    ReplyDelete
  65. nimekubaliana na mengi isipokuwa kusema watu wasio na elimu wasitoe maoni na kwamba biashara zinazojulikana ulaya ndo zitangwe.
    Hapo ndo ukanipoteza.

    ReplyDelete
  66. kama una uchungu na nchi yako, rudi nyumbani mbona unajifichaa kwenye nchi za watu tuone utakavyopigika.

    wewe ni mshamba limbukeni... blogs mara nyingi uwa zina specific interests, kama siyo interest zako acha kutembelea, kwani blogs zipo nyingi.

    wewe ni mshamba ndio, huna lolote. limbukeni mkubwa wewe.

    ReplyDelete
  67. TUNA TATIZO MOJA TU WATANZANIA NALO NI LA KUSHABIKIA SANA BILA KUWA NA FACTS KWA MABO MENGI YANAYO TU FACE, SI WAKTI WOTE BUT AY LEAST MOST OF THE TIME. HEMBU TUPENDE KU ANALYSE MAMBO NA SI KUWA NYUMA YA WATU WENGINE SIKU ZOTE.MADA KUU HAPO IKO WAZI LETS BE CRITICAL ON ISSUES AMBAZO ZITATUSOGEZA MBELE NA SI KILA MARA KUWA NYUMA. PISHA ZA HARUSI, ZA SIASA NA WAREMBO WETU WASIOPEWA HESHIMA MBELE YA USO WA DUNIA NA KUISHIA KUSHINDWA SIKUZOTE HAZIFAI.LETS COME UP WITH SOMETHING STRATEGIC KWA MANUFAA YA NCHI YETU PLEASEEEEEEE!!!!

    ReplyDelete
  68. USA karibu na Mungu??! Swali la kwanza nikuulize, wewe ushawahi kurudi nyumbani kweli? Rudi Tanzania ndio ujue wapi karibu na Mungu,,you are living in absolute hell.
    na kama umechoka kuona watu wakifanya vitu ( kusherekea harusi, kutoa misaada)...easy..usiingie kwenye hii blog. It's not about what you wanna see or what you are tired of!! Nobody is here to please u!!

    Alafu eti unasema, walala hoi, ambao hawana elimu ya sekondari,,,wewe na elimu ya juu uliyonayo imekufikisha wapi!! si bora huyo ambae hiyo 500 ni ya kwake, kaifanyia kazi kwa jasho lake... shukuru kwa ulicho nacho, sio udharau wengine kwasababu hawana!!
    and plus,,unaona picha za wanasiasa kwasababu tunaelekea kwenye uchaguzi,sioni sababu gani watu wasizipost wanavyopenda.

    Just for the record, incase you didn't happen to know, this is a "blog" more like a social network... like facebook and twitter and the rest. People can post whatever it is that is going on in the community. Hutaki kuviona, usiingie!

    ReplyDelete
  69. Kaka,

    Asante sana kwa maoni yako-Yes, "change" always is GOOD. Kuhusu biashara nyumbani, ushauri wangu; Badala ya MABIASHARA makubwa, fikiria biashara ndogo ndogo. Jaribu biashara za vitu ambavyo watu wanahitaji kila leo. Peleka IDEAS mpya nyumbani. Peleka SOLUTIONS Tanzania...where there is problem, bring solution, I think that the best way to do business. Kuna potential Kubwa Tanzania-AFRICA kwa ujumla. Unajuwa during financial crisis in the world, African economy grew 7%, only second to Asia while other continents suffered. The growth came from biashara ndoo ndogo.

    Kuhusu TRA, Ukifanya biashara Tanzania, tumia familia Yako (of course if you TRULY trust someone). I am on my third INVESTMENT in Tanzania, and YES, they are all small businesses. I know a lot of Tanzanians who live abroad and make money home and abroad.

    Bro you can respond to me, we can share Ideas.
    M.H.

    ReplyDelete
  70. We maraha ni pesa, you are just one self-conceited scumbag. Kama hutaki kuona watu wakifuturu (I'sure you are a bigot) basi nenda blogspots nyingine: hamna aliyekulazimasha uje hapa limbukeni mkubwa wewe. Saying of the wise: (1) Showing off is a fool's idea of glory, na (2) Humility is a sign of superior intellect combined with love. Mimi nimekaa USA miaka 18 na I'm very very successful lakini sitathubutu kujiona kuwa mimi ni bora kuliko wengine. Kama sipendi blogu yoyote nahama. Hukulazimishwa kuja hapa wewe nincompoop.

    ReplyDelete
  71. Watu wanaosemaga bongo kuna kila kitu wananiudhi sana au ni washamba na hawajatoka nje ya nchi kabisa. Maneno mengi lakini ikija kwenye reality chek ni zero. Bongo kila kitu ukiongea na mtu ohh umeme leo hatuna, maji sijui nini, mara internet minutes zimeisha sijui nini. Kila siku maneno tuuuu lakini mikate ya shilling 1700 tu inawashinda. Mahospital hamuna dawa kabisa, barabara hazipitiki halafu munang'ang'ania bongo kuna kila kitu...Tokeni mufungue matongo toongo na muache longo longo. Kama hujui unalosema basi kaa ...You can't compare God with a tooth fairy.

    Kusema USA ni karibu na Mungu hiyo imepita mpaka lakini ukweli unasimama pale pale. Maisha bora kwa watu wachache the rest njaa tupu, tabu tupu, no future na hata hao wachache nao maisha yao ni sawa na chai iliyotiwa chumvi. Hela zipo lakini huduma wasiwasi. Mtu ukiumwa mpaka upelekwe nje la sivyo maisha yako yako matatani sasa na mahela yako ukiumwa ghafla ndio inakuaje? hayo mahela yako yatakusaidiaje?....

    Acheni huyu mtu awaeleze ukweli....AMKENI. Wasomi wote wanakimbia nchi...kwanza mmngetakiwa kusema asnteni sana kwa kutufungua mamcho...wanajaribu kueleza nini kinahitajika ili nyie masikini manaoonewa mkomboleke baada yake mnaanza kulalamika na kusema tuachie nchi yetu...Tutawaachia kwa vile huku tuliko ushungu tulionao ni wa kumiss ndugu na jamaa ambao tunawaona mara moja kila miaka michache au mpaka tuwanunulie ticket waje huku lakini zaidi ya hayo life is 1000% better mseme msiseme ukweli ndio huo.

    ReplyDelete
  72. NA PIA TUMECHOKA KUONA WATU WAKO KWENYE PARTY KILA SIKU, EBWANA MDAU WA US SAFI SANA HOJA YAKO

    ReplyDelete
  73. HONESTLY, USA IS CLOSER TO HELL IF U ASK ME.....

    ReplyDelete
  74. Inasikitisha sana kuona wabongo tunakuwa watu wa kukurupuka tu kutoa hoja bila kuwa na data kama Neeam alivyosema. Michuzi nimetoa maoni yangu jana umeyachunia, leo narudia tena, ubane pia, nikulaumu na wewe.

    Mimi natumia mfano hai wa kifo cha P-Diddy wa Bongo. Jamaa kaenda kwa kaka yake siku kabla ya kifo chake na kuamua kureach out kwa tatizo lililokuwa likimsumbua siku za karibuni kuwa anapotembea anaona nyota. Brother mtu kama watanzania 99.9% walivyo akaamua kutumia ujuzi wake wa udaktari njaa na kumwambia marehemu kuwa hilo ni jambo la kawaida tu na hutokea hasa unapokuwa umechoka sana hivyo jamaa asihofu apumzike tu atakuwa sawa. "Seriously?"

    Hivi niambieni, kweli ni jambo la kawaida mtu kuona nyota akitembea? Na hivi ninyi ni watu wa namna gani mnajifanya kujua kila kitu? Na kila jambo kwenu ni mzaha tu? Hata masuala yanahusu maisha ya watu?

    Huu ni mfano hai na hakuna mtu ataona kama kuna jambo lolote baya limefanyika. Na hii ndiyo inayotokea humu na hapa kila siku. Hata mtu uje na hoja nzuri namna gani ya kuwanufaisha wabongo basi utakuwa kituko hasa kutoka kwa watu ninyi mnaojifanya mnajua kila kitu hata kama si taaluma yenu na wala hamjawahi kuenda shule.

    Hamjali kama maoni yenu yataleta madhara kiasi gani kwenu wenyewe na kwa ndugu zenu wa damu, ni watu wa kukurupuka tu na hoja zisizo na kichwa wala miguu na mnaposababisa madhara mnabisha kufa.

    Iweje mtu uanze tu kutoa ushauri wa kidaktari kwa mtu mwenye tatizo la kiafya na kudharau symtomps za mgonjwa? Halafu tunapokufa kwa uzembe wenu mnataka kumsingizia Mungu kuwa ndiyo kazi yake.

    Wabongo acheni upuuzi huu, mtu akiwajia na jambo mlifikirie kwa urefu na mapana na kama limewazidi kimo lipelekeni kwa wataalamu wa suala hilo si kuamua kung'ang'aniza kujua ilihali hamjui chochote. Wengine mnatoa tu maoni na kurudia hoja zilizokuisha kujadiliwa na kutolewa majibu kuonesha kuwa hamsomi hata maoni ya wenzenu kbla ya kupayuka.

    NASIKITIKA SANA wandugu.
    Michuzi ichunie na hii.

    ReplyDelete
  75. HUYO JAMAA KESHAPATA PAYCHECH YA MABOX MAWILI BASI HAPO MTAMKOMA YUKO NA HEINNEKEIN ZAKE NA KAWEZA KUNUNUA JORDAN BASI SASA ANAWEZA KUIAMBIA DUNIA KILA KITU.
    MAISHA YA UGHAIBUNI NI YA KUBUNI KWA WATZ WENGI. MSIDANGANYWE NA PICHA, WATU HUJITAYARISHA KUTABASAM USONI LAKINI NDANI UKWELI WANAUJUA.
    WENGI WANASHINDWA KURUDI BONGO KWA KUOGOPA AIBU YA KUONEKANA HATA SHULE HAIKIPANDA BAADA YA KUKAA MIAKA KADHAA HUKU WAKIDANGANYA WANAFANYA DEGREES.
    WENGI WAMETUMBUKIA KWENYE ULEVI, UZINZI, NK.
    JN SHORT MAISHA MAZURI NA YA UHAKIKA YAPO BONGO ASIWADANGANYE MTU.

    ReplyDelete
  76. Michuzi aliyenifurahisha ni huyo aliyemsema mus kwa kigreek nae akamshituakia akamjibu chini nikaweka google transalator mbavu sina.(You wajinga moja. I'm matajiri na furaha) (Είστε αδαή εκείνο. Είμαι πλούσια και ευτυχισμένη)

    ReplyDelete
  77. Wewe mwanablog hapo chini Kama hujasoma - hujasoma (hata dini zinasema - Aliyesoma hawezi kuwa sawa na asiyesoma). Ndio maana ndio zote zimeamrisha watu wasome. Kwa hiyo kama imekuuma kajiandikishe shule za jioni ufanye mitihani (Kwani zile shule za Taasisi - Zanaki Jioni hakuna siku hizi?).

    Lazima Blog izungumzie Maendeleo ya watu na jamii. Uboreshaji wa maisha ndio njia pekee ya kukabiliana na matatizo ya msingi yaliyopo Tanzania. Kama kichwa chako kina pumba endelea kufurahia picha za harusi na kampeni za CCM.

    Watu tumechoshwa na arrogance waliyonayo watu waliosoma lakini malimbukeni (hao CCM).

    Kaka Michuzi na wewe unatuboa vilevile kwani ukiweka matukio mengine - elimu; biashara; utalii na mambo mengine hutakuwa umeisaidia hiyo CCM yako? Usiangalie Blog kijuujuu - angalia Blog za nchi zilizoendelea na utajifunza mengi...Kwani ile nyingine yenye habari za biashara, watu, michezo kwanini huitumii? au umeona challenge kubwa unaona bora uendelee na huu upuuzi wa Miss Tanzania na picha za wagombea wa CCM? UNATUBOA ILE MBAYA NA AMKA, ACHANA NA HIVYO VIJISENTI WANAVYOKUPA WAGOMBEA WA CCM - UMEKUWA KIBARAKA - TUMIA TAALUMA YAKO UENDELEE!!!

    ReplyDelete
  78. ww mdau waUSA KARIBU NA MUNGU HIVI UMEONDOKA BONGO LINI???
    WE MSENGErema nini??? EBE TUAMBIE WE WA WAPI??
    UNGEKUA UNAENDA BONGO ATA KWA MWAKA MARA MOJA NDOUNGEONA ILIVO UKIKAA KWA MIEZI MIWILI TU...
    IYO ELIMU YAKO SIO SAII NAZANI NI ILE YA UCHOCHURONI EBU TUPE JINA LAKO TUSEARCH KAMA WATAMBULIKA,
    MIMI MWENYEWE NKO U.S.A NA UWA NARUDI BONGO,
    EBU ACHA ULIMBUKENI KWANZA UKU ULIENDA SABABU YA DADAKO ULIPATA MUME HIVYO WAKAWA HAWANA MTU WA KUWALINDIA CHUMBA CHAO.. HIVYO MSHUKURU SANASHEMEJI YAKO KUKUPELEKA UKO PIA KUPATA WALAU ELIM YA UCHOCHORONI..

    MAON YANGU:
    1.WADAU WENZANGU TUWE TUNASAPOT MAMBO YA MAANA, NI KWELI KUNA MAMBO KATAJA NI MAZUR MENGNE NI MABAYA NI YAKUJISIFIA HIVYO UPEO WAKE MDOGO SANA.

    2.KILA BLOG AU WEB INA MAMBO YAKE UWEZ KUNIAMBIA WEB YA USA EMBASSY IONYSHE WANAMZIK ILI UKCHEK YA MTV AU BET AU IPP MEDIA TZ, ZINAKUA ZINAUTOFAUTI..
    SOC,POL.ECON,ENT,ETC...
    KWA AYA MAFUPI NIMEELEWEKA, PIA KAMA KUNA BAYA NIMEANDIKA TUREKEBISHANE JAPO SIJAONYESHA KUIZARAU NCHI YANGU WALA WADUA WA MICHUZI...
    ILA UYO MARAA MAPESA NI LIMBUKENI KUPITILIZA

    ReplyDelete
  79. YAN UYO MDAU NI MASKINI WA FIKRA, ACHANEN NAE AKAJIUNGE NA WASENGEREMA WENZIE KULIMIA JEMBE

    ReplyDelete
  80. WAJAME EBU ACHANEN NAE UYO LIMBUKENI,
    ETI MTU MWENYE ELIMU YOTE IYO SIJUI KAIPATAJE ANAKAA KWENYE COPUTER ANATUAMBIA KUA "UKICHEKI RAMANI INAKUONYESHA MAREKANI IPO JUU DAT Y ANASEMA NI KARBU NA MUNGU..MMMMH... KAZI IPO!!!!!

    NAPENDA KUMULZA KAMA IPO KARBU NA MUNGU MBONA JUA LIKO MBALI NAO??? SASA SISI WAAFRIKA NA WAARABU TUNAOCHOMWA NA JUA TUTASEMAJE???
    we ujasoma wala nini usituzingue mana unavojisifia eti unauza ujuzi na umeajiri watu7...
    ni kwamba kwa mtu alie makini na biashara yake awez kuandika na kujibu UTUMBO KAMA WAKO KILA WAKATI JAPO UNAZO IDEA ZA MAISHA SEMA ELIMU TU HUNA NA UNAKAA SANA VUJIWENI..

    ReplyDelete
  81. BIG UP!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    MDAU "USA BLOGGER" JAPO WATU LEO WAMETOA COMMENT ZA UKWEL ILA LEO NAKUKUBALI WEWE MANA ULISHAWAI KUTOA MADA CHAFU NA MBOVU ADI NKASKIA KICHEFU*2
    KUMBE UWA MWAFANYA MAKUSUDI KULETA MADA ZA KIJINGA ILI WATU WAONGEE IVI HAMJUI MNAIPOTOSHA JAMII???

    NAKUOMBA ULETE MADA NZURI WIKI HII MANA MAWAZO YAKO ULIOTOA KWA UYO MARAA MAPESA NI YA UKEEEEE

    Mwwaaah yan adi kiss lako leo

    ReplyDelete
  82. JAMANI RUDINI BONGO NCHI YENYE ASALI NA MAZIWA MSING'GAN'GANIE KUSIFIA UGHAIBUNI AMABAPO WENGI TUNAJUA ASILIMIA KUBWA MNAISHI MAAISHA YA KUUNGANISHA, VUENI AIBU MRUDI HATA KAMA HAKIJAELEWEKA HIO MIAKA MLIYOJICHIMBIA, NJOONI TUJENGE NCHI...MUNGU YUPO HUKU PIA

    ReplyDelete
  83. Maisha ya kuhangaika kwani huko TZ kila mtu ana Benz na nyumba ghorofa? watu hawana hata pesa ya mlo mmoja na wanalipwa mshahara hautoshi hata nauli ya basi (mnaishi kwa kula rushwa na wasichana kuuza miili yao - pesa huendei Hijja wala Vatican hizo).. mnashangilia ubaridi wa maji wakati bomba huna?? acheni ulimbukeni - watu wanafanya kazi wanalipwa pesa kwa jasho lao na wanasaidia familia zao. kutwa mnaomba omba simu na raba mpya - kanunueni Samora Avenue basi?? Mashati ya kazini tunawaletea halafu eti wabeba boski - kama nchi imeoza imeoza tuu! nendeni kwenye kampeni mpewe mchele na Khanga!!! kama mnazaidi semeni -

    ReplyDelete
  84. Wewe uliyetoa mada hii kwa kweli UMEJINYEA! IMEJINYEA! UMEJINYEA! Na mama yako hayupo kukunawisha! Eti "USA karibu na Mungu" Loh! Umejinyea sasa sijui nani atakunawisha leo!

    ReplyDelete
  85. nshimimana aka dumisaneSeptember 13, 2010

    McZobizobi naona umetoa topic alafu unajijibu mwenyewe mara kumi kumi kama Mdau Pasko?

    SIKUJUA KAMA ITAKUWA HIVI.

    tukirudi kwenye topic, mimi nadhani Michuzi anafanya kazi nzuri tu-2, nimefurahi kuona picha za Doctor J.M. Kikwete kwenye Kampeni hapo Korogwe Vijijini.

    Mungu Ibariki Tanzania,
    Mungu Ibariki Afrika,.

    i love you Tanzania, japo sijafika!?

    = = =
    Buffalo,
    New York

    ReplyDelete
  86. MDAU ULIEOTOA MADA HII SINA UGOMVI NAWE, NA KUPA THUMBS UP KWA ANALYSIS ULIOIFANYA. THE BOTTOM LINE IS; UNA UCHUNGU NA NCHI YAKO.
    MUHIMU NA NAOMBA ULIELEWE WATZ TUNAPENDA KU-OVERGENERALIZE KUHUSU VITU VINGI SANA.
    MFANO: NIMEISHI USA FOR 17 YEARS NA NIMETEMBEA STATES 45 OF THE UNION. NIMEONA WATANZANIA WA AINA NYINGI TU. KUNA MILLIONAIRES WHO ARE DOING VERY VERY SUCCESSFUL, KUNA BUSINESS OWNERS, PROFESSIONALS(DR.S, PROF.S, ENGINEERS, INVESTMENT BANKERS, CONSULTANTS, DIRECTORS, SCIENTISTS, LECTURES ETC.)VILEVILE WAPO LOSERS, WAPIGA BOX,ALCOHOLICS, MALAYA NA TAKATAKA ZOTE.
    BONGO NAKO IS THE SAME STORY LAKINI CHA AJABU KWA SASA NAISHI DAR, WALIONACHO NI WACHACHE MNOO, AND THE SYTEM IS MESSED UP BIG TIME. UMEME WASIWASI, MAJI NDIO HAYO, USAFIRI FOLENI TUPU, BANKS NDIO USISEME, UNIVERSITIES ZA KUMWAGA LAKINI ELIMU NI DUNI. OOH BONGO WATU WANA HELA....NI WACHACHE MNO NA HELA NYINGI NI HELA CHAFU. JIULIZE MBONA BRAZIL WALIPOKUJA STADIUM HAIKUJAA? BIDHAA MTAANI MAFEKI KIBAO, UDHIBITI WA FAKE IMPORTS NI ZERO. SERIKALI NA WANASIASA NI POROJO KILA KUKICHA.
    CONCLUSION: WABONGO WENGI AKILI ZETU ZIMEGANDA MAY BE HADI YESU ATAKAPORUDI NDIO ZITAFUNGUKA. TUMERIDHIKA NA UJINGA NA UMASKINI. USIPOTEZE MUDA WAKO KUTUELIMISHA KWANI UNAPOTEZA MUDA WAKO BUREE. ENDELEA NA MAISHA YAKO KIULAINI. BY THE WAY I'M AN ERP CONSULTANT MYSELF, SO IF YOU NEED ANYTHING LET ME HAVE YOUR CONTACTS

    ReplyDelete
  87. nshimimana aka dumisaneSeptember 14, 2010

    Pasko bwana

    usifananishe degedege na mashetani hapo taratibu.

    Ankal please leta picha za kampeni

    = = =
    Buffalo,
    New York (karibia na Mungu?)

    ReplyDelete
  88. Ndugu Balozi Michuzi,

    Nimejibu baadhi ya wadau hapa tangu juzi. Naomba unichapishie majibu yangu ukipata nafasi.

    Shukurani.


    Maraha ni pesa.
    USA(karibu na Mungu)

    ReplyDelete
  89. if you want to recover all your lost data in tanzania talk to Data Dandlers Tanzania they will help you recover

    ReplyDelete
  90. HAPI NDIYO MAJIFUNI YANGU KUFANYA NINI NIPO NIFUNA LOAN YANGU
    Jina langu ni Mr FRANK QUEENS raia wa Marekani. nimekuwa
    iliyopigwa na 6 wavuti wa kimataifa wa mtandao wa kimataifa, wote
    ananipa mkopo baada ya kunifanya kulipa ada kadhaa
    wala kutoa chochote na hakuwa na matokeo mazuri. nilipoteza ngumu yangu
    pata pesa. Siku moja nilikuwa nikivinjari kupitia mtandao
    machozi juu ya jicho langu nilipata ushuhuda wa mtu ambaye pia alikuwa
    iliharibiwa na hatimaye ikaunganishwa na kampuni ya mkopo yenye haki inayoitwa TRIUMPH LOAN SERVICES (triumphleeb89@gmail.com au whatsapp +2349057770649) ambako
    hatimaye kupata mkopo wake, kwa hiyo niliamua kuwasiliana na kampuni hiyo ya mkopo
    na kisha akawaambia hadithi yangu juu ya jinsi nilivyopigwa na 6
    wakopaji tofauti ambao hawakufanya chochote bali kunisababisha maumivu zaidi. Mimi
    kuelezea kampuni kwa njia ya barua na wote waliniambia ni kulia
    zaidi kwa sababu nitapata mkopo wangu katika kampuni yao na pia nina
    alifanya uchaguzi sahihi wa kuwasiliana nao. nilijaza mkopo
    fomu ya maombi na kuendelea na yote yaliyoombwa kwangu
    na nilipewa kiasi cha mkopo cha Dola 210,000 kwa hii kubwa
    Kampuni (TRIUMPH LOAN SERVICES) imesimamiwa na Mr CARLO JOEL
    na hapa nina furaha leo kwa sababu JOHNSON LOAN SERVICES ina
    alinipa mkopo hivyo nimefanya nadhiri kwa nafsi yangu kwamba nitashika
    kushuhudia kwenye mtandao jinsi nilivyopata mkopo wangu. Unahitaji mkopo
    haraka kwa haraka na kwa haraka Wasiliana na huduma za JOHNSON LOAN sasa kwa
    mkopo wako kupitia barua pepe: triumphleeb89@gmail.com au whatsapp +2349057770649
    CONTACT
    JOHNSON LOAN SERVICES
    Barua pepe: triumphleeb89@gmail.com au whatsapp +2349057770649

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...