Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Haya ndiyo maneno sasa. Tumezipuuzia lugha zetu za mama kwa muda mrefu tukidhani kwamba hazifai na hazina maana. Wakati umefika sasa wa kuanza kuzitumia katika mazingira rasmi.

    Nimefurahishwa na tangazo hili!!!

    ReplyDelete
  2. tangazo la ukimwi sawa.. lakini mbona huyo mujomba hapo pembeni kama anakula "kitu cha Arusha" taratiiibu. Tutapona kweli kwa mwendo huo?

    ReplyDelete
  3. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  4. Utamu wa Muwa, lazima umenywe maganda. Jamaa anasikilizia utamu wa muwa. Ni kama ukila pipi kifua

    ReplyDelete
  5. woow,nimependa hii sana tu especially ni nyumbani shinyanga,binafsi naipenda sana lugha yangu ya kisukuma....wabeja baba!lol

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...