MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MAJIMBO YA ILEMELA NA NYAMAGANA BW. WILLIAM KABWE AMETANGAZA WAGOMBEA WA CHADEMA KUWA WASHINDI WA MAJIMBO HAYO. KWA NYAMAGANA MH. EZEKIA DIBONGO WENJE AMEPATA KURA 38,131 NA KUMSHINDA MH. LAWRENCE MASHA WA CCM ALIYEPATA KURA 27,883.
JIMBO LA ILEMELA MSHINDI NI MH. HAINES SAMSON NAYE AMEZOA KURA ZAIDI YA 30,000 NA KUMSHINDA MH. ANTHONY DIALLO ALIYEPATA KURA 26,870
Safi sanaaaaaaaaaaaaaa! mwanza tumeachana na mafisadi ya sisiem
ReplyDeleteU go Boys....Love this...pole pole tutafika...nyooo..sasa tuangalie hiyo % waliyosema watashinda nayo iko wapi....
ReplyDeleteChaNge is coming to TZ. John mashaka president 2015
ReplyDeleteIs this for really? Masha and Diallo out? Ama kweli aliye juu mgojee chini iko siku atashuka tu! Makubwa! Asante sana Michuzi, endelea kutupa habari na kutukata kiu... Ubarikiwe. Mdau UK
ReplyDeletejamaa halikua analinga sana hata hapa new york safi sana nyamagana
ReplyDeleteTanzani Tanzaniaaaa nakupenda kwa moyo woteee. Nchi yangu Tanzaniaaa,jina lako ni tamu sanaaaa. Nilalapo nakuota wewe,niamkapo ni heri mama weeee. Tanzania Tanzaniaaaaaa
ReplyDelete