Rais Jakaya Kkwete amemteua Dkt. Mwelecele Malecela (pichani) kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa leo na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, uteuzi huo unaanza Desemba 14, 2010.
Dkt. Malecela ana shahada ya juu ya uzamivu ya vimelea vya magonjwa ya binadamu katika fani ya matende na mabusha kutoka chuo kikuu cha London University, Uingereza. Amefanya kazi NIMR kwa miaka 23 sasa na kushika nyadhifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mkurugenzi na Uratibu na Kukuza utafiti, na amekaimu nafasi ya Mkurugenzi mkuu Nimri toka mwaka 2009
Ankal, tunampongeza dada yetu Dr. Mwele lakini ningependa kama itawezekana utupatie full CV ya huyu mwana mama. Hakika anastahili hongera.
ReplyDeleteNae kasubiri sana kutajwa, hatimaye.
ReplyDeletemdau wa mwanzo, ukishapewa cv yake itakusaidia nini katika maisha yako ya baadae? Humjui hakujui, kutaka kujua zaidi ya yaliyoelezwa juu ya huyu bibie ni ushambenga tu!
ReplyDeleteWe annoy wa 3 huna akili hujui kusoma CV ya mtu inakusaidia kupata challenge na kukupa hamasa watu wengine mna uelewa mdogo sana, any way hongera Dr.Mwele, naona wapare wote wa NIMR kwishnei maana taasisi imejaa wapare utafikiri tupo same?
ReplyDeleteGo Mwele! HONGERA!
ReplyDeleteANONY WA 3 ACHA USHAMBA YANI UMEJIONESHA JINSI ULIVYO KILAZA.CV NI KITU CHA KAWAIDA AMBACHO HUTOA MOTIVATION NA MWANGA KWA WENGINE KATIKA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA MAISHA.WASOMI WOTE HUWA TUNAANGALIA CV AU PROFILE ZA WATU WALIOFANIKIWA KATIKA MALENGO YAO AU WALIO KATIKA NAFASI NZURI AS INSPIRATION.LAKINI KWA AKILI YAKO YA MAJUNGU UMEKURUPUKA KAMA KENGE MTONI.HONGERA SANA DR MWELE.
ReplyDeleteUliyekuwa unata cv, majibu yako tu yameonyesha ulikuwa na green monster haya Dr Mwele leo kawa mpare, makubwa mbadilishe na dini pia. Wanatolewaga wanaume hapa wameteuliwa lakini husikii watu wakiomba cv.
ReplyDeleteHongera Dr Mwele. Kazi njema.
ReplyDeleteHongera sana na kila la heri!!
ReplyDelete(US Blogger)
We anon unayesema wapare waliopo NIMR wamekwisha mshamba mkubwa wee, wapare wameingia na vyeti vyao, Dr. Mwele sio mshamba kama wewe wakujali ukabila yeye anajali uchapaji wa kazi. Nenda shule ukalimike!!
ReplyDeletewewe mdau wa Fri Dec 31, 09:35:00 PM na amdau wa Fri Dec 31, 10:53:00 PM,, kama kweli unategemea kusoma cv za watu ndio mnapate motivation basi nyinyi ndio washamba na wenye akili finyu. unless kama bado ndi kwanza mnaanza shule na hamjawa na muelekeo wa nini mnataka kufanya katika maisha yenu! otherwise cv ya mtu sioni itakusaidiaje wewe katika maisha yako ya baadae, na wala sioni ni vipi cv ya mtu itakubadilishia maisha yako. Kinachokubadilishia maisha yako ni determination yako juu ya malengo yako na sio kukaa na kutobolea macho cv za watu
ReplyDeleteEh, Ain't she cute?
ReplyDelete