Home
Unlabelled
IJUE KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ungetuwekea kwenye word document au pdf ingekuwa ni njema kabisa, maana inakuwa rahisi kudownlaod na kuprint! Hata hivyo asante
ReplyDeleteTafadhalini jamani someni hii katiba ili tunapojadiliana tujue tunasema nini. Na ningeshauri mheshimiwa Rais au, jopo linalohusika na mipango ya wali ya kutafuta watu watakaohusika na tume ya kubadili au kurekebisha ( kuweka nyongeza) katiba kuwa na watu kutoka makundi mbali mbali, wanawake, vijana wanaume, wasomi na wasio wasomi tajiri na masikini. Sisi watu wa kawaida ( tusiokuwa wanasheria, tutaeleza kitu tunachozania kinapungua katika katiba, wanasheria wataandika katika ile lugha yao isiyosomeka)
ReplyDeleteWaswahili mmeshaanzaa. mara oooh pdf sijui PPF mara wodi sijui nini. Acheni ufala nyie. Anko kawaaanikia katiba muisome na kuijadili mmeanza maneno maneno. mnboa basi tu hamjui...
ReplyDeleteInaeleweka
ReplyDelete