Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) Dk. Chrisant Mzindakaya (kushoto) akiwa na Makamu Mwenyekiti wa baraza la biashara ya China na Afrika na Mwenyekiti wa Schuan Hongda Corporation Ltd, Bw. Liu Canglong, kabla ya mkutano wao na waandishi wa habari kuhusu kupatikana kwa wawekezaji kutoka China wa Miradi ya Chuma na Makaa ya mawe ya Mchuchuma na Liganga. Mkutano ulifanyika jiji Dar leo.

Dkt Chrisant Mzindakaya na Mkurugenzi Mkuu wa NDC Bw. Gideon Nassari wakiwa na ujumbe wa kampuni ya Schuan Hongda Corporatio kutoka China ambao wamekuja kuwekeza kwenya miradi ya Chuma na Mkaa wa mawe ya Mchuchuma na Liganga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Oh nooo I hope wataangalia pande zote za sarafu kabla ya kuweka hii contract.. Wakianza kuchimba na wanavyojua tena wanataka chuma kwa nguvu huko kwao mazingira yetu ndio yataisha.

    Viongozi mliochaguliwa angalieni maisha ya watoto wenu ya baadaye sio hii hela ya leo tu...

    ReplyDelete
  2. Hii ilikuwa inakuja tu. Ila hizi contract ziwekwe hadharani ili wote turidhike nazo. Maana haya madini ni miliki ya wananchi wote sio serikali peke yao!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...