Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akifunguwa mkutano Mkuu Maalum wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa (ALAT) uliofanyika jana jioni katika ukumbi wa ST. GASPAR mjini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal katikati, akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa (ALAT), baada ya kufunguwa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Jumuiya hiyo uliofanyika jana jioni katika ukumbi wa ST. GASPAR mjini Dodoma.Picha na Amour Nassor-VPO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...