Picha na Mtandao wa Vijana
Wasudan Kusini wapatao milioni 4 kuanzia Jumapili iliyopita Januari 9 wanapiga kura kuamua hatma yao, je Sudan Kusini ijitenge na Kaskazini na kuwa taiofa huru ala la.
Uamuzi wa kufanyika kura hiyo umo kwenye makubaliano ya amani ya 2005 yajulikanayo kama CPA. Kwa mujibu wa jopo la Umoja wa Mataifa la kuangalia kura hiyo hadi sasa mambo yamekwenda salama salimin, bila purukushani yoyote kubwa ya kutia dosari. Upigaji kura unakamilika Jumamosi hii Januari 15 na kitakachosubiriwa ni kutangazwa kwa matokeo.
Kwa mahojiano kamilia basi bofya
http://www.unmultimedia.org/
au
http://www.facebook.com/
au
http://twitter.com/redioyaum
au moja kwa moja kwenye mahojiano yenyewe
http://www.unmultimedia.org/
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...