Home
Unlabelled
NEWS ALERT: Wanafunzi mwaka wa kwanza huo Kikuu cha Ruaha university college nako wagoma leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwani mwanafunzi akingoma darasa haziendelei? Si mwalimu awape sifuri kwenye soma alilokosa test au mtihani? Au hawa walimu wao wanashirikiana nao?
ReplyDeleteMimi ninawashauri wanafunzi waachane na migomo, hailipi hata kidogo, wenzenu tulipoteza mwaka mzima wakati wa migomo ya UDSM miaka ya mwanzo ya tisini. Mnaweza kudai hizo haki zenu kwa njia nyingine siyo kugomea masomo, hii sasa imekuwa kama fashion. Angalieni sana wadogo
ReplyDeletewasipogoma watalala njaa. bongo haiendi bila migomo
ReplyDeleteWanafunzi wa chuo changu kikuu cha Kajificheni University nao watagoma hivi karibuni.
ReplyDelete