

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kama hutafanya haya hata Baclays utakanyaga:-
ReplyDelete1.Ngono mara kwa mara
2.Kujituma
3.Nidhamu
4.Fanya mazoezi kwa bidii.
Kaka nakutakia mafanikio mema na jitahidi uwe mfano wa kuigwa.
Nizar amedhibitisha kwamba vijana mnaweza kwenda mpaka ngazi ya kimataifa bila kupita wale waharibufu wa soka la Tanzania.
ReplyDeleteNinyi vijana ambao mnataka kucheza soka la kweli lakini mnalala mnawaza Red na Green.
Mtaishia kwenye makundi ya kuhujumu timu zenu na baadae muwe makomandoo wa timu.
One of greatest players that we have.Jamaa ni mzuri sana.all the best for him
ReplyDeleteNizar!! kweli umetulia.hakika wewe unapita njia aliyoshauri captain wa kongo....unaheshimu mpira, unaupa hadhi inayostahili.jitahidi..upate timu zaidi ya hiyo...hiyo ndo kazi yako...usijaribu kuwa bishoo...kama wachezaji wengi wa tz...uwe kama akina messi, rooney..kazi kazi tu baba..wanapesa lakini wanajituma kama hawana hata ya msosi..MUNGU akubariki...uwe mfano kwa watoto wetu...love u so much
ReplyDelete