Mchezaji nyota wa Vancouver Whitecaps ya jijini Vancouver huko British Columbia, Canada, akiwa anafundisha watoto kuliskata kabumbu maeneo ya Tabata jijini Dar alipokuja kuchezea Taifa Stars. Nizar amekuwa lulu kwa timu hiyo ya kulipwa na Taifa Stars, yote hii ikitokana na kujituma, nidhamu na kupenda kazi yake. Ni mfano wa kuigwa
Home
Unlabelled
nizar khalfani aendelea kung'ara nyumbani na canada
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kama hutafanya haya hata Baclays utakanyaga:-
ReplyDelete1.Ngono mara kwa mara
2.Kujituma
3.Nidhamu
4.Fanya mazoezi kwa bidii.
Kaka nakutakia mafanikio mema na jitahidi uwe mfano wa kuigwa.
Nizar amedhibitisha kwamba vijana mnaweza kwenda mpaka ngazi ya kimataifa bila kupita wale waharibufu wa soka la Tanzania.
ReplyDeleteNinyi vijana ambao mnataka kucheza soka la kweli lakini mnalala mnawaza Red na Green.
Mtaishia kwenye makundi ya kuhujumu timu zenu na baadae muwe makomandoo wa timu.
One of greatest players that we have.Jamaa ni mzuri sana.all the best for him
ReplyDeleteNizar!! kweli umetulia.hakika wewe unapita njia aliyoshauri captain wa kongo....unaheshimu mpira, unaupa hadhi inayostahili.jitahidi..upate timu zaidi ya hiyo...hiyo ndo kazi yako...usijaribu kuwa bishoo...kama wachezaji wengi wa tz...uwe kama akina messi, rooney..kazi kazi tu baba..wanapesa lakini wanajituma kama hawana hata ya msosi..MUNGU akubariki...uwe mfano kwa watoto wetu...love u so much
ReplyDelete